Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?


Oh kumbe sababu ni magari yao mabovu kutokana na utunzaji mbovu. Nashukuru kwa kunielewesha.

Ingawa nina watu wangu kadhaa wamenunu mwanza na zipo very clean… nitaendelea kufuatilia kwa watu wengi zaidi ili nisije kuingizwa chaka na gari zao
 
Ni kawaida miji mikubwa Bei zinatofautiana na miji mingine
Sio kwa kila kitu hapana
Ila upande wa magari Bei huwa kubwa kwa sababu ya madalali na vipato vikubwa pia vinachangia

Hapa nilipo magari huwa yapo juu ila nikienda nje ya mji sana yanakuwa chini zaidi
 
Oh kumbe sababu ni magari yao mabovu kutokana na utunzaji mbovu. Nashukuru kwa kunielewesha.

Ingawa nina watu wangu kadhaa wamenunu mwanza na zipo very clean… nitaendelea kufuatilia kwa watu wengi zaidi ili nisije kuingizwa chaka na gari zao
Hio ni sababu ya kijinga kusema gari mbovu, unless useme unanunua namba A mwanza.

Ila kama utanunua gari DZL leo hii Mwanza lazma utaikuta iko in clean condition. Mwanza watu wana hela ya kubadili magari so hawana tamaa. Ni jamii tu ya watu wa kule.
 

Hapa nimekupata vizuri kabisa, hii nadhani ni moja ya sababu za msingi za tofauti hizi za bei
 
Af unakuta kila dalali kaweka laki 5 juu [emoji3][emoji3][emoji3] mwisho wa siku gari unakuta bei juu sana. Gari ya 15m kwa mwenyewe dalali unakuta analiuza 18M kumbe kuna cheni ya watu 6.

Hahhahah alafu wanakwambia, AC mpaka unaganda, chuma anaisukuma mwanamke wa kihindi anataka kurudi kwao fasta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kingine gari ukiipata direct kwa mmiliki inakuwa bei chee sana. Wanachofanya Dar kuna ile wanaita kulenga, dalali anainunua gari kwa tajiri lets say kwa 8m-9m kisha anauza 11m.

Sasa wakiongezeka madalali wenzie lazma waongeze cha juu ndio unakuta gari inafika 12.5m
 

Yes! ndio maana hapo nikamuuliza mkuu hapo mbona unakuta nyingine ni very clean, na pia nna wadau kadhaa wamenunua huko na ziko very clean.
 

Dah aiseeh hapo kuipata gari straight kwa mmiliki ndio changamoto ilipo.

Unaeza kutusaidia mbinu gani tunaweza tumia kuwakepa madalali, kumpata mmiliki moja kwa moja?

Maana unaweza kuta unaliwa zaidi ya 4m na madalali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…