Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

Huo mradi angepewa Azam tu!

Hawa wafuga ndevu tangu lini wakawa na akili?
 
Ile mikataba 37.

Fom foo felia kazengua sana.
Tena yote kwa wajomba... Khaa yaani wakija wote mjini utajikuta wote Waarabu... Maana TANESCO wapo, bandari wako, misitu wako, mwendokasi kama kawaida... Mweee hapa sio kabisaa🤔🤔
 
Joto likizidi PANYA, fuko na wadudu wote watatoka mashimoni.

Spana ziendelee tafadhali🙏🙏🙏
 
Kampuni zilizopewa kuendeshwa na waarabu wa falme za kiarabu.
1. TANESCO.
2. TPDC.
3. Shirika la Posta.
4. TPA.
5. UDART
6. TFS.
7. Mbuga za wanyama.
8. Nimechoka kutaja.

Samia kauza nchi yetu kwa waarabu.
 
Mkuu usiingilie mambo ya mtu na Wajomba zake!
 
Sawa, ila usipaze sana sauti kuepusha taharuki isiyo ya lazima. Watu wengi wangali katika hali ya mshutuko.

Kama kuna unachokifahamu kifanye siri kwa sasa hadi wakati muafaka.
asante kwa ushauri,ila mm sina mamlaka ya kuregulate hisia za watu kuhusu maoni yangu juu ya jambo lolote lile,hivyo sitakiwi kutoa maoni yangu kwa kuangalia wao watajisikiaje
 
Mbona hawa Emirates wamekuja kwa kasi ya 5G?
Kwani kuna shida si wawekezaji

Au nyie mnataka mradi wenu uwafie

Haya wewe unaona nani apewe huo mradi wa mwendokasi auendeshe

Ova
 
Huo mradi angepewa Azam tu!

Hawa wafuga ndevu tangu lini wakawa na akili?
Kwani azam si jamii ile ile

Kwanini asipewe nyasungwi [emoji1]

Mkubali mkatae wenzetu kiuchumi wako vizuri,sisi tuko vizuri kwenye kukata mauno tu na kubeti

Ova
 
Na hii pia tumewapa?[emoji3064][emoji1544][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao waarabu unaweza kuta ni bortion tu, lakini usishangae kukuta ni viongozi wetu waliochota fedha zetu wanakuja kuzizungusha kwa mgongo wa kampuni ya waarabu.
Hata Richmond alikujaga muarab jeneral wa jeshi mstaafu akawa mmiliki baada ya bunge kutaka kujua mmiliki.
 
Safi sana, hope wataanza kazi soon, Wachawi acha waendelee kulalamika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…