Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

Hata Richmond alikujaga muarab jeneral wa jeshi mstaafu akawa mmiliki baada ya bunge kutaka kujua mmiliki.
Exactly. Viongozi walikuwa wanatuona mafala. Halafu huyo jenerali akawa hataki kuonekana sura yake.
 
Mwekezaji huyo Mwarabu aanze haraka , huduma ya mabasi ya mwendokasi ni mbaya mno mabasi ni machache sana na yanajaza kupita kiasi. Hii ni hatari sana kwa afya mtu mwenye kifua Kikuu anaweza kuambukiza basi zima maana hata kupumua ni shida ndani ya basi.
Mabasi mengi ni express vituo vingi hayasimami kabisa kama Usalama, Mwembechai, Kagera nk.
Mabasi ya kwenda Muhimbili asubuhi ni machache sana yakuhesabu.
Yaani huu usafiri ni kero mno kwasasa waendeshaji wamefeli pakubwa , kwasasa ukiingia kituo cha katikati unaweza kukaa saa nzima bila kupata usafiri.
Kweli hiki chama chetu kimechoka hata usafiri tu wameshindwa kusimamia shame on them!
 
Ikifika hapo kila abiria atakaa kwenye seat yake
Huo ndio utaratibu tunaoutaka na kwa kuwa watakuwa na tank zao za mafuta kigamboni basi shughuli itakuwa nyepesi kuliko hawa wanaolalamika uendeshaji ni mgumu wakati barabara yote ni yao na abiria wote ni wao hawana mpinzani
 
Hivi kweli hakuna Wazawa ambao wanaweza kuwekeza kwenye Mradi huu?
Mf.Abood, Shabiby,nk
Shida ya wazawa ni uswahili tu. Kutakuwa hamna tofauti ni kama mtu aliyegeuza kofia kutoka mbele na kuielekezea nyuma.
 
Inawezekana anazungushwa kwa kuwa hajatoa 'kitu kdg' kama kawaida ya wanaoidhinisha!
Si akaombe uzoefu kwa "ze dP"
 
Kuna watu wakacoment hii thread kama mtoa thread ana akili nzuri๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚... Kiko wapi?
 
Ohooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ