HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
GentamycineGifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person.
Je, una lingine labda?
Af kaongezea na mwanga wa tochi yaanDaaaah!!! mkuu unarusha jiwe kwenye mwanga kabsaaa!
Mwakani Eid el fitri na Pasaka huenda zikawa katika siku zinazowiana, sijui utasema nn?Sikumbuki ni lini Siku za Sikukuu za Pasaka na Krismasi huwa Mvua hainyeshi karibia maeneo mengi ya nchi ya Tanzania.
Natamani na tarehe 2, 3 na 4 Mwezi May, 2022 pia Mvua zinyeshe ili nione na niamini pia kuwa kumbe hata Mwenyezi Mungu nae huwa anabalansi katika Utoaji wake wa Zawadi na Neema kwa Waja wake.
Hahahhhahahahhah oyaa wajinaaaaAf kaongezea na mwanga wa tochi yaan
Ni kwanini mnafunga usiku na kufungulia mchana mwaka mzima, ila Ramadhani tu ndio mnafunga kinyume na utaratibu, Y?Wewe acha upumbavu, unataka waislamu, wafunge kwa kufuata mistari ya bibilia sasa utakua Uislamu huo.
Leo hii kanuni licha kuwa si za Kiislamu, bali hata kwenye bibilia hakuna kipengele kinachokuagiza wewe mfuasi, kufunga mwezi mzima bila kula.
Tatizo imani yako huifuatili, ila ukiusema Uislamu vibaya unajua yesu upo na yesu karibu.
Disemba na April/March huwa ni masika maeneo mengi Tanzania,sehemu zingine huko duniani huwa kiangazi au kipupwe,hakuna mvua...sidhani Kama huyo mungu wako ni wa Tanzania tu,xmass na pasaka zingekua mwezi wa nane na wa tisa na mvua kweli ikanyesha tungeona Kuna Jambo...lakini kwa akili zako nyingi unadhani mvua hunyesha Tanzania nzima siku za pasaka na xmass!?Acha Kupoteza / Kunipotezea muda jadili Mada kama huna cha Kuchangia nakushauri tu nenda ukalale au Kacheze na Wajukuu zako sawa?
Mnaabudu jua kama wale wa Mexico wa Aztec? Au kama Mafarao waMisri?Hilo jua ndiye Allah sasa.
Nani anafunga usiku!?...au usiku huanza saa sita za usiku!?...maana mpaka saa tano usiku mabanda ya chips yapo wazi!!!...akili zenu huwa ndogo,ndiyo maana mnaabudu mtu aliyekataa govi siku ya nane baada ya kuzaliwaNi kwanini mnafunga usiku na kufungulia mchana mwaka mzima, ila Ramadhani tu ndio mnafunga kinyume na utaratibu, Y?
Jua na mwezi ni vipimo vya wakatiMnaabudu jua kama wale wa Mexico wa Aztec? Au kama Mafarao waMisri?
LInda saum Yako usishindane na toilet paperWewe acha upumbavu, unataka waislamu, wafunge kwa kufuata mistari ya bibilia sasa utakua Uislamu huo.
Leo hii kanuni licha kuwa si za Kiislamu, bali hata kwenye bibilia hakuna kipengele kinachokuagiza wewe mfuasi, kufunga mwezi mzima bila kula.
Tatizo imani yako huifuatili, ila ukiusema Uislamu vibaya unajua yesu upo na yesu karibu.
Muulize anataka waislam wafungeje!?Wewe acha upumbavu, unataka waislamu, wafunge kwa kufuata mistari ya bibilia sasa utakua Uislamu huo.
Leo hii kanuni licha kuwa si za Kiislamu, bali hata kwenye bibilia hakuna kipengele kinachokuagiza wewe mfuasi, kufunga mwezi mzima bila kula.
Tatizo imani yako huifuatili, ila ukiusema Uislamu vibaya unajua yesu upo na yesu karibu.
Hakuna ushahidi wowote wa kimaandiko juu ya easter na christimas na hakuna mahali popote pale ambapo wanafunzi ndugu na wayahud wengneo waliposherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa YESU hakuna. Bora yetu islamicSikumbuki ni lini Siku za Sikukuu za Pasaka na Krismasi huwa Mvua hainyeshi karibia maeneo mengi ya nchi ya Tanzania.
Natamani na tarehe 2, 3 na 4 Mwezi May, 2022 pia Mvua zinyeshe ili nione na niamini pia kuwa kumbe hata Mwenyezi Mungu nae huwa anabalansi katika Utoaji wake wa Zawadi na Neema kwa Waja wake.
Unaweza weka msitari unaoeleza Hilo!?..maana askofu kilaini,bingwa wa historia ya kanisa anasema ni sikukuu ya wapagani wa Roma,ambapo jua halikua likionekana kwa siku tatu,siku ya tatu likitokea wanafanya sherehe,kanisa liliposhika hatamu Roma wakaona wasitoe kila kitu Cha kipagani,wakabakiza pasaka wakaiunganisha na yesu,yesu mwenyewe alishakula pasaka...kwa ziada tafuta neno Easter kwenye kamusi ya kiingereza uone maana yakePasaka ni siku takatifu ya kumbukizi ya Masihi Yesu kristo,ndio maana mvua inanyesha kuonyesha baraka
Safina ya nuhu...huko shule hawakukufundisha kwamba mimea havistawi bila jua,na kupitia jua hutengeneza chakula chake!?Unauliza Uvundo Dampo?