inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mvua inanyesha Tanzania tangu kabla mzungu hajaleta injiliMibaraka teletele..kuonyesha ukristo ni dini ya Mungu wa kweli wa upendo na amani kwa watu wote...sio ile ya mnyaaazimungu.
#MaendeleoHayanaChama
Kwa nini Muhammad hakukatwa Govi?Nani anafunga usiku!?...au usiku huanza saa sita za usiku!?...maana mpaka saa tano usiku mabanda ya chips yapo wazi!!!...akili zenu huwa ndogo,ndiyo maana mnaabudu mtu aliyekataa govi siku ya nane baada ya kuzaliwa
Alikuphila mpaka ukaona ana govi!?Kwa nini Muhammad hakukatwa Govi?
UsipanikiAlikuphila mpaka ukaona ana govi!?
Sikutaka kutaja ni mfungo upi (makusudi)Inahusu Mfungo wowote kwani? Upi huo?
Usipaniki
Jifunze Kuweka R na L maali husika
Ungejibu tu kwa nini Muhammad hakukatwa govi?
Umeshaelewa sasa jibuMaali ndiyo nini!?
Mi sina dini ndugu yangu, ila hata mtu akila saa tano usiku, si unalala hadi saa tano asubuhi ndio unakunywa chai, bado masaa ni yale yale tu. So Y mnapindua ratiba ya mfungo?Nani anafunga usiku!?...au usiku huanza saa sita za usiku!?...maana mpaka saa tano usiku mabanda ya chips yapo wazi!!!...akili zenu huwa ndogo,ndiyo maana mnaabudu mtu aliyekataa govi siku ya nane baada ya kuzaliwa
Kuna mdau kasema jua ndio MunguJua na mwezi ni vipimo vya wakati
Waarabu asili yao jangwa bwashekhee.Sikumbuki ni lini Siku za Sikukuu za Pasaka na Krismasi huwa Mvua hainyeshi karibia maeneo mengi ya nchi ya Tanzania.
Natamani na tarehe 2, 3 na 4 Mwezi May, 2022 pia Mvua zinyeshe ili nione na niamini pia kuwa kumbe hata Mwenyezi Mungu nae huwa anabalansi katika Utoaji wake wa Zawadi na Neema kwa Waja wake.
Wengine wanaugua akiliKuna mdau kasema jua ndio Mungu
Saa tano usiku Hadi asubuhi ni masaa(saa) 5,ni sawa na kunywa supu saa mbili asubuhi na kula ugali saa Saba mchanaMi sina dini ndugu yangu, ila hata mtu akila saa tano usiku, si unalala hadi saa tano asubuhi ndio unakunywa chai, bado masaa ni yale yale tu. So Y mnapindua ratiba ya mfungo?
Si nimekuuliza Kama alikuphila Hadi ukajua hakukatwaUmeshaelewa sasa jibu
Kwa nini muhammad hakukatwa govi?
Ndiyo kakubebesha hiyo Mimba yako Unayoimiliki hapo Tumboni mwako kwa sasa?Huu mbona kama mcharazo wa Genta.?
Mbona iko kinyume,nyie inanyesha ili mtulie nyumbani maana hamna pakwenda,Sikumbuki ni lini Siku za Sikukuu za Pasaka na Krismasi huwa Mvua hainyeshi karibia maeneo mengi ya nchi ya Tanzania.
Natamani na tarehe 2, 3 na 4 Mwezi May, 2022 pia Mvua zinyeshe ili nione na niamini pia kuwa kumbe hata Mwenyezi Mungu nae huwa anabalansi katika Utoaji wake wa Zawadi na Neema kwa Waja wake.
Utaanzaje kuswali kwenye tope kutumia mswala na huku umevaa kanzu nyeupe, hata vyura weupe siku za mvua hujificha.Sikumbuki ni lini Siku za Sikukuu za Pasaka na Krismasi huwa Mvua hainyeshi karibia maeneo mengi ya nchi ya Tanzania.
Natamani na tarehe 2, 3 na 4 Mwezi May, 2022 pia Mvua zinyeshe ili nione na niamini pia kuwa kumbe hata Mwenyezi Mungu nae huwa anabalansi katika Utoaji wake wa Zawadi na Neema kwa Waja wake.