Kwanini Mwigulu akiwa na cheo Serikalini lazima awe na timu ligi kuu?

Benki ya DTB ni ya wahindi naijua toka miaka ya 2000 huko... Mwigulu hana hela ya kumiliki timu,.... MO mwenyewe African Lyon ilimshinda, Unadhani kumiliki timu mchezo?
 
Ccm ina wenyewe
Hakikisha unapata pesa ili maisha ya familia yako yawe mazuri, huku kuhoji hoji na kulalamika haitakusaidia kitu maana walioshika mpini ndio hao kwa sasa
Umenena la maana, hakuna mwanaharakati tajiri
 
Ahsante mkuu kwa kuleta ushahidi mzuri
 
Hata PM anamiliki Namungo
 
Imani yako baki nayo ila mimi namjua alieinunua timu ya Mawenzi Market na mgao nimeupata kwa kuwa nilikuwa mwanachama wa timu.
Mkuu...kama Mwigulu aliinunua Mawenzi Market, akaibadilisha jina., kwa nini iitwe DTB( Diamond Trust Bank) DTB tumeifuatilia toka inaanza ligi, viongozi wake ni kutoka benki ya DTB. .
 
Si kweli, Singida United ilikuwa ya MO, Hata ilo basi walipewa na MO,... MO aliporudi Simba akaitelekeza Singida United, Ndio chanzo cha anguko lake....
Timu ambayo imewahi kumilikiwa na Mo befire simba ni African lion, Hiyo singida haijawqhi kumilikiwa na Mo hata kwenye udhamini tu hakuwepo. Hii singida ni ya juzi tu wakati mo tayari muda mrefu yupo simba. Kwa hiyo unaamini Mo anaimiliki singida na hakuna hata bidhaa yake moja kwenye sponsorship. Sungida ilikuwa na wadhamini wengi ila sio Mo. Nakataa.

 
Basi lao kila siku naliona limepaki kwenye petrol station Kinyerezi
 
Benki ya DTB ni ya wahindi naijua toka miaka ya 2000 huko... Mwigulu hana hela ya kumiliki timu,.... MO mwenyewe African Lyon ilimshinda, Unadhani kumiliki timu mchezo?
Acha kukaza fuvu wahindi walishamuuzia Mwigulu. Mimi nina washkaji wafanyakazi na wachezaji wa hiyo timu kabla haijauzwa.
Mwigulu hana hela lakini ana back-up ya wadau kusaidia uendeshaji wa timu. Nayajua haya kupitia mheshimiwa fulani jinsi alivyokua anawatumia wafanyabiashara kuisaidia timu fulani premier league.
 
Sisi singida big star fc tutamfunga yoyote ataekuja mbele yetu isipokuwa Yanga
 
Baada ya DTB leo kubadili jiba na kujiita Singida Big Star bado una hoja zako hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…