Wewe unakubali na sababu zako. Wengine hatumkubali na sababu zetu.Ingewezekana leo tuifanye siku ya mapumziko. Ni raisi mstaafu alie fanya mengi japo watu wachache humletea vijidharau visivyo na kichwa. Binafsi namkubali JK forever.
Mh Jakaya Mrisho Kikwete aishi miaka mingi zaidi.
JK ni mtu mwema.
Kura yangu anayo asubuhi na mapema.JK bado ana ushawishi hata akisema Leo agombee atashinda.
Ila kwangu mimi bado Rais Samia ndio naona atakuwa Rais Bora zaidi.Kura yangu anayo asubuhi na mapema.
Samia pia ni Rais mzuri ila ni mapema sana japokuwa NYOTA njema huonekana asubuhi lakini kama Katiba yetu ingekuwa inaruhusu wastaafu wagombee tena Jakaya na Hayati Mkapa kura zangu wanazo.Ila kwangu mimi bado Rais Samia ndio naona atakuwa Rais Bora zaidi.
Umesahau alivyokuwa akitukanwa kule bungeni na akina Mnyika, Nassar nk na Chadema yenu?Ingewezekana leo tuifanye siku ya mapumziko. Ni raisi mstaafu alie fanya mengi japo watu wachache humletea vijidharau visivyo na kichwa. Binafsi namkubali JK forever.
Mh Jakaya Mrisho Kikwete aishi miaka mingi zaidi.
Atakuwa kama akimuweka karibu Mzee Kikwete kama mshauri wake wa karibu.atakuwa Rais Bora zaidi.
Bila kumsahau Hayati Ben Mkapa.Ni kipenzi cha Watanzania akifuata Mama Samia.
Huyu Kikwete ndio ametenda mema kwenye jamii? Mataahira kweli nyie!Na wewe jitahidi utende mema zaidi kwenye jamii yako upate kukumbukwa na kuenziwa
Dikteta lazima asemweee! Na ubaya wa lile "Dude", ndio unaisababisha JK akumbukwe sana, pamoja na udhaifu wake!Alikuacha na mimba ya miezi mingapi?
RAIS Jakaya Kikwete leo Oktoba 7, 2022 anaadhimisha miaka 72 tangu kuzaliwa kwake ni jambo la kheri na tunaungana na watanzania wengine kumtakia kheri Mzee wetu wa Maisha Bora kwa Kila Mtanzania.
Sasa Swali linakuja Tarehe ya Kuzaliwa JK inajulikana ni kwa nini miaka yote hatujawahi kuona Promo kubwa kiasi hiki ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, lakini leo vyombo vyote vya habari vimeteka habari hiyo, mitandao yote ya kijamii na hata viongozi mbambalimbali kuanzia Wasanii, Watu maarufu, Wabunge, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Mawaziri kila mmoja kwa nafasi yake akimpamba Rais Kikwete na kupost picha aidha wakiwa pamoja au picha yake na maneno lukuki.
Mungu mbariki JK.
Ingewezekana leo tuifanye siku ya mapumziko. Ni raisi mstaafu alie fanya mengi japo watu wachache humletea vijidharau visivyo na kichwa. Binafsi namkubali JK forever.
Mh Jakaya Mrisho Kikwete aishi miaka mingi zaidi.
Muasisi wa udikteta nchini hata birhday yake hatukuijua.
Kipindi cha Utawala wake Ajira zilikuwa ni za kumwaga.