Unahitaji ushahidi sio? Kwa nini huwa kila leo mnawaongea wanasiasa wengi juu ya mambo mbalimbali huwa mnaushahidi! Huyo mtu wako ni shetani anayetabasamu! Wezi wote wa Mali za uma lazima mmuone mtu mwema maana aliwapa ulaji!Tupe ushahidi wa hilo usemalo.? Au umekazana tu kuropoka.?