kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Kwa heshima na taadhima naomba mjadala huu ufungwe.Utu ni mtaji mkubwa, tofauti na udikteta
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa heshima na taadhima naomba mjadala huu ufungwe.Utu ni mtaji mkubwa, tofauti na udikteta
Wewe unakubali na sababu zako. Wengine hatumkubali na sababu zetu.
Dikteta lazima asemweee! Na ubaya wa lile "Dude", ndio unaisababisha JK akumbukwe sana, pamoja na udhaifu wake!
J.K made it, wapinzani ndo walimpaka matope na baadae mjomba. Na hiyo tabia isipoisha Mungu atakuja kunyoosha mkono wake juu yetu, yaani mtu mwema hatumtendei yaliyo mema, akija alokinyume tunaanza kumpigia kelele Muumba. Kumbukeni kisa Cha Yesu ndo mtaelewa namaanisha nini
Mambo kayaharibu yule Ibilisi mwenye roho mbaya.Waalimu walikuwa wanaajiriwa direct kutoka chuoni, ila Leo mpaka kuomba.
Muasisi wa udikteta nchini hata birhday yake hatukuijua.
Kabsa mkuu. Mm mwenyewe nikikaa na kutulia nasema JK unisamehe kama kuna mahali nilikuona hufai. Huwa najiuliza aliwezawezaje mbona hawa wameshindwa.. ? Mtu na nusu huyuWatu walimtukana Sana mzee kipindi Cha dikteta. Kana kwamba hakufanya lolote. Ila alivumilia Leo upendo wake umejulikana. JK aliruhusu Uhuru wa kisiasa na hata kuanza mchakato wa katiba mpya.
Watu walimtukana Sana mzee kipindi Cha dikteta. Kana kwamba hakufanya lolote. Ila alivumilia Leo upendo wake umejulikana. JK aliruhusu Uhuru wa kisiasa na hata kuanza mchakato wa katiba mpya.
Huyu Kikwete ndio ametenda mema kwenye jamii? Mataahira kw
Uzuri mm sio chadema🤣🤣🤣. Na usije niita chadema mm sio chadema wala huoaswi kujua itikadi yangu ila siwez kuwa chadema mm ni mtanzania bado sina chamaUmesahau alivyokuwa akitukanwa kule bungeni na akina Mnyika, Nassar nk na Chadema yenu?
Labda ashinde na njaaJK bado ana ushawishi hata akisema Leo agombee Urais atashinda.
Sawa.Wewe unakubali na sababu zako. Wengine hatumkubali na sababu zetu.
Kwa hiyo ulivyo popoma unasema kikwete alivyo fisadi unamwita mtu mwema? Mtu mwizi wa mali za umma na kusababisha ukosefu wa huduma za kijamii unamwita mwema! Stupid stupid!Bora sisi matahira kulilo ww mfu. Ukiwa huna akili za kutambua mema yake basi ww ulishakufa huja yaona
Tupe ushahidi wa hilo usemalo.? Au umekazana tu kuropoka.?Kwa hiyo ulivyo popoma unasema kikwete alivyo fisadi unamwita mtu mwema? Mtu mwizi wa mali za umma na kusababisha ukosefu wa huduma za kijamii unamwita mwema! Stupid stupid!