GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Haya Msomi wa Tatu mwenye Hasira na Mafaniko ya Dotto Magari ambayo Yeye hana ameshakuja. Pole sana Mkuu.Dotto magari ashukuru waliomwambia atakufa masikini naye akawasikia akabadili muenendo, huwezi kuwa mteja ukakaba na kuiba alafu ukawa tajiri.