Kwanini namuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan?

Sio najisifu ila kwa miaka 47 hadi sasa nimemsliza hati za kusafiri 4. Wewe Je?
Hiyo wadanganye wengine sio mimi.

Ila naona sasa umepata ajira ile taasisi ya kusajili makampuni una pata pata muda wa kuingia JF maana pale kwenye law firm walikua wanakubana sana.
 
Hiyo wadanganye wengine sio mimi.

Ila naona sasa umepata ajira ile taasisi ya kusajili makampuni una pata pata muda wa kuingia JF maana pale kwenye law firm walikua wanakubana sana.
Itabidi siku nikulipie ticket na visa ukatoe ushamba ndugu yangu. Ukitoka kidogo nje ya Tz, akili itafunguka
 
Wabongo sijui tukoje yani huwa tunamkubali kiongozi mazima au kumkataa mazima, mtu akishakwambi anamkubali kiongozi fulani basi hukuti tena akimkosoa anakubali kila jambo kutoka kwa kiongoz huyo na humtetea kwa yale yote yenye kumkosoa huyo kiongozi.

Yani unakuta mtu kavutiwa na sera fulani kutoka kwa huyo kiongozi basi tena ndio anamuunga mkono kwa kila jambo ameshakuwa kiongozi bora na kila anachofanya ni sahihi.
 
Nidhahili umemkubali Samia kupitia point moja tu ya namba anavyojitahidi kufanya uchumi wetu uwe vizur lakini umesahau matatizo yake mengine mengi ambayo kupitia hayo ndio yanawakera sana watu mpaka wanaona hafahi kuwa rais Wala Hana capabilities tosherevu za kuwa raisi mfano hawezi kuwawajibisha mafisadi na wanadhilifu wa Mali na pesa uma, hawezi kufanya followup kwa subordinate wake na kuchukua hatuna stahiki kwa mazembe nabaya kuliko yote anabariki upigaji kwa Kila kiongozi katika eneo lake ( Kila mtu ale kwa elefu wa namba yake) ayo ni matusi kwa masikini na watu wenye Hali ya chini katika nchi hii .Huwezi sema waziwazi huo upuuzi na ukabaki salama .Nchi inashida watu nimasikini sana afu wapole sasa watanzania afu hujali Hali zao wewe unasema tu watu wale kwenye maeneo Yao? Huoo ni upuuzi na ningekua na uwezo ningeipindua hii nchi kama niger tu
 
Mkataba una shida gani?
Wewe kumbe ni mpumbavu nilikua nakuchukulia unaakili Wenda unakitu tukutazame kumbe ni mpuuzi mmoja uliejiandaa kubishana sio kuelewa.Haiwezekani Kila mtu akuambie mkataba unashida wewe useme ukataba unashida gan?
 
Wewe kumbe ni mpumbavu nilikua nakuchukulia unaakili Wenda unakitu tukutazame kumbe ni mpuuzi mmoja uliejiandaa kubishana sio kuelewa.Haiwezekani Kila mtu akuambie mkataba unashida wewe useme ukataba unashida gan?
Matusi ya nini? Sema wewe shida yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…