Kwanini naupenda mti huu

Kwanini naupenda mti huu

Krismass na Mwaka mpya Lazima mvua ya Baraka itashuka tu.
Miti mazao Maua na Kila kitu huchanua.l sana.

Lakini sasa Idi maulid ni ukame jua Kali Majanga?!!!!

Mudy bn
 
Kuna raia moja wa Kilimanjaro anapenda kuingia jf kwa ajili yako.
Jamaa anakukubali haina mfano.
Ukiitaja jf yeye anataja Bujibuji halafu anacheeeka.

Cc Maxell Remy [emoji1787][emoji1787]
Mi sio wa kaskazini ila uncle Buji ananifurahisha sana. Nimejaribu kumchunguza ananipoteza maboya. Nikitaka kumweka kwenye walokole ananikimbia, nikimtupa kwenye walevi yupo Halafu kumbe hatupo kabisa, kwenye wazinzi hivyo hivyo, na story zake lazima ucheke
 
Kwanini naupenda mti huu.
View attachment 2415649
Kuna historia kubwa sana ya mazingira niliyoishi kwenye udogo wangu .

Miti mingi ilikua ni hii , wenyewe tuliita mi Krismas

Kuchanua kwake kuliashiria holiday-sikukuu imekaribia ,
Na shule inakaribia kufungwa ,
Vilevile Krismas haikua mbali hivyo nguo , viatu vipya vinanukia .

Ni miti maalumu sana ,
Nikiona inachanua nafarijika kukumbuka mambo kemkem yaliyo burudisha maisha yangu zama hizo .

Kiimani .
Mti huu kwangu unafumbo la imani kwa waliokata tamaa.
Mti huu hunyauka kabisa kuanzia Julai , Agost , Septemba na Octoba ....ni mti ambao hukwepa ukali wa jua na ukame kwakuruhusu kupukutisha majani yote .
Huungua kabisa na hutia huruma .

Inapofika wiki ya 3 ya Octoba miti hiyo huchanua maua , na maua huendelea kuufunika mti usio na majani .

Kiimani ,
Mungu husema nasi kupitia mazingira kuwa katikati ya dhiki uskate tamaa .

Katikati ya mateso usikose tumaini ,

Hata unahisi dunia inakuelemea Mungu huleta faraja zake kwa namna aitakayo na apendavyo.

Mti huu kwangu hunifunza uvumilivu , kusamehe na kutojiumiza kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wangu.
Heshima kwa Samson Mwasakafyuka Ndwanga
Mti huu kwangu hunifunza uvumilivu , kusamehe na kutojiumiza kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wangu.
Heshima kwa Samson Mwasakafyuka Ndwanga[emoji1752][emoji1545]
 
Screenshot_20221114-033338_WoW.jpg
 
ACACIA, Mti ulioko unyakyusani(MBEYA) ni JACARANDA ambao huchanua maua mazuri yenye rangi ya zambarau.
Acacia ni mti wa asili, mti pori ambao kwa kawaida hupenwa sana kuliwa majani yake na twiga.
Sasa huko Unyakyusani kwenu kuna Twiga?
 
Kwanini naupenda mti huu.
View attachment 2415649
Kuna historia kubwa sana ya mazingira niliyoishi kwenye udogo wangu .

Miti mingi ilikua ni hii , wenyewe tuliita mi Krismas

Kuchanua kwake kuliashiria holiday-sikukuu imekaribia ,
Na shule inakaribia kufungwa ,
Vilevile Krismas haikua mbali hivyo nguo , viatu vipya vinanukia .

Ni miti maalumu sana ,
Nikiona inachanua nafarijika kukumbuka mambo kemkem yaliyo burudisha maisha yangu zama hizo .

Kiimani .
Mti huu kwangu unafumbo la imani kwa waliokata tamaa.
Mti huu hunyauka kabisa kuanzia Julai , Agost , Septemba na Octoba ....ni mti ambao hukwepa ukali wa jua na ukame kwakuruhusu kupukutisha majani yote .
Huungua kabisa na hutia huruma .

Inapofika wiki ya 3 ya Octoba miti hiyo huchanua maua , na maua huendelea kuufunika mti usio na majani .

Kiimani ,
Mungu husema nasi kupitia mazingira kuwa katikati ya dhiki uskate tamaa .

Katikati ya mateso usikose tumaini ,

Hata unahisi dunia inakuelemea Mungu huleta faraja zake kwa namna aitakayo na apendavyo.

Mti huu kwangu hunifunza uvumilivu , kusamehe na kutojiumiza kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wangu.
Heshima kwa Samson Mwasakafyuka Ndwanga
Wewe umekulia Shinyanga au Kyela?
 
Mi sio wa kaskazini ila uncle Buji ananifurahisha sana. Nimejaribu kumchunguza ananipoteza maboya. Nikitaka kumweka kwenye walokole ananikimbia, nikimtupa kwenye walevi yupo Halafu kumbe hatupo kabisa, kwenye wazinzi hivyo hivyo, na story zake lazima ucheke
Ni jamaa flani muungwana na hana makuu kabisa.
Huyu mtu unaweza kumchukukia poa lakini sivyo.
Ana kitu cha tofauti sana
 
Back
Top Bottom