Kiukweli inauma, fikiria mimba, anazaliwa (mziki wa kulea) anafikia hatua anajielewa na hapo sio kwamba malezi yamesimama. Haya anaanza shule anafanikiwa kufika hadi level aliyokuwa nayo hadi umauti.Mkuu hujafanya hata upelelezi huru? Ungeenda mpaka shuleni kiujanja, tafuta wanafunzi wenzake. ..
Zungumza nao, walau watakupa picha ya juu juu.
Pole sana. Nimesikitika sana. Mungu wa Mbinguni akawe mfariji wako.
Mkuu asante kwa mchango huu makini..matatizo yote yanayotokea Tanzania kwa mtu mmoja mmoja, familia nk ambayo yanagusa mamlaka chimbuko lake ni udhaifu wa wenye mamlaka nchi inaongozwa na WATOTO..watoto kwa maana kwamba hawana sifa na uwezo wa kutekeleza majukumu ya uongozi..tunakoelekea nchi itaangukia shimoni..sidhani mtu mzima anaweza kufanya haya yaliyofanyika, awe DC, OCD, Mkuu wa shule na hao wengine!Pole sana mkuu kama mzazi inasikitisha sana, tatizo humu mmevamiwa na dot. Com,na vi tiss uchwara ambavyo vinajifanya ni semi God's, nchi imepoteza heshima na adabu yake, iam afraid hii case ina kila dalili itakua ni cold case soon, kama mzazi uamua mwenyewe how to revenge ushenzi na unyama huu, kumbuka kifo cha dada Akwilina, eti risasi imeenda juu na wakati wa kurudi ndio ikamuua ,huu ni uongo wa kinyama, kama upo nje ya royal families sahau haki yako, u need to push back mwenyewe, samahani kwa hili ila ndio ukweli wenyewe, unafiki sio mwema pole sana
Yes mkuu but why kila kitu tulalamike kwa president?,wapi taasisi zetu za kusaidia utawala bora?,kwangu President Madiba ni ICON maana baada ya kuliona hili akaunda taasisi imara zenye kujitegemea kutoka kwa executive's, hapa tungekua na IPID huyu mzazi angeenda kwao kufungua docket (hawa wana uwezo wa kuwapeleleza police and to open docket, kuwafungulia mashitaka na kuwa arrest),kwetu hapa nani ana uwezo wa ku arrest OCD?,Pia nchi ingekuwa na PP mzazi huyu angelalamika kwake kuhusu DC,na elewa PP ana mamlaka ya ki judge, uamuzi wake ni binding,hii ni cold case kama yule msichana aliyeuliwa kinyama pale Arusha few years ago na wengi humu wameshasahauhamna cha uroyal family wala nini awa watu ukiwafuata fuata haki unapata mimi nakwambia...ile meseji yake ya mwanzo wengi tulizani masikhala nikiwemo mimi.
amuandikie barua mh. Rais nakuhakikishia hili jambo litaleta mkanganyiko na watafunguliana mashitaka. kwenye hiyo barua iwe ya malalamiko tu isiwe ya madai...
NHiki nini tena huko Lindi???!!!?????
Mleta mada weka wazi habari yote kama ilivyo ili umma wote ujue nini hasa kimetokea, na ili upate msaada au ushauri unaostahili. Hakuna sababu ya kuficha ficha mambo ktk vifo au mauaji.
wa kuwadodosa kwa kina hao waliosundikiza msiba kutoka huko Lindi??? Kwenye msafara wa kuleta maiti kwa wazazi wa marehemu, Je, wawakilishi/walimu kutoka Shuleni alikosoma mwanao walikuwepo kwenye msafara?Je, Walitoa neno gani ama salamu za rambirambi??
Nakuelewa,inawezekana kabisa we ni muoga sana.ila ndugu uoga unatoka wapi mbele ya maiti ya binti yako,mtu anapata wapi nguvu ya kukukaripia huku umepoteza binti?.Hakuna atakayeniambia kitu kama binti yangu kalala na sababu sizielewi,narudia tena hakuna we ni mjinga periodKuanza nianze kwa kuwashukuru wana Jamii Forums mlio nitafuta pm kwa kunipa pole katika msiba ule mzito. Nawashukuru pia wale mlio kuja pm kunikebehi yakuwa nilikuwa nawasinzigizia nilio wataja kwa kuwahusisha na Mauaji ya A WAPI?
NANI ARIRUHUSU MTOTO ATOKE NJE YA SHULE MPAKA AKAGONGWA?
KUNA UHUSIANO GANI KATI YA MARELIA ILIYOTAJWA NA DC NA KOVU LIRE LA AJALI?
Sasa wewe unaona na haki kabisa, kwenda Bar kunywa pombe (kinyume cha sheria na unaijua hii),your above the limit na unaamua kuendesha gari you knock someone dead, halafu unataka kuniambia umeua bila ya kukusudia?,ewe Tanzania yangu why usiwe kama New Zealand ,upuuzi huu haupoMpelekee mwalimu wako huu upuuzi uliouandika ili ajione ni jinsi gani alipoteza muda kumfundisha mpumbavu
"He who claims must prove".Ndugu mimi kama Baba nilipofika hosptali nililipia pesa pale mochwari Temeke ili niuone mwili wa mwanangu kabla ya kuoshwa nilipo ingia ndani yule kijana wa mochwari alinivuruga kichwa alipoanza kunionesha miili ya maiti wengine nilipofkkia wa mwanangu niliona matone ya Damu kwenye shuka na mdomoni.
Yule kijana wa mochwari temeke kwa sauti ya ukali akanitaka nimvute mtto kutoka kwenye friza tumweke kwenye limeza la chuma mlio wai ingia mochwari mnanielewa kuna meza kama la wauza samaki wabichi mle ndani.
Basi baada ya hapo ndugu wakaingia kuosha mwili waliosha vizuri sikuambiwa na wale walio osha mwili nimekuja kuambiwa walimkuta na kovu mguuni baada ya kuwa amezikwa
Nieleweni jaman mimi nilimgomea Dc kupitia simu ya Ocd hata mkitaka ushahidi tumaweza kuupata mkasikia sauti za mazungumzo yangu na yule bwana
Baada ya kurudiwa akili nikawa sawa nilimtafuta Ocd na kumwomba aniunganishe na Mkuu wa Wilaya yule bwana Ocd kwa sauti ya kufoka mithili anamfokea mkewe nyumbani kwake aliniambia hanipi no ya Dc kama nataka kuchunguza mwili nichunguzie huko huko temeke.
Sasa utachunguza mwili ambao haukuwa na nyarraka yoyote,na je utaanzia wapi ndo nilkuwa sielewi
Ndugu zangu nasema mnaweza niona poyoyo nakubali kabisa kiukweli nilipatwa na tukio zito sanaa
Sikuwaza kabisa zaidi.
Naendelea kushukuru michango yenu ndugu
Nimeisha anza kufanyia kazi ushauri wenu
Mathalani kuwasiliana na ofisi ya IGP,ofisi ya malalamiko Dodoma lakini pia nipo katika hatua ya kufungua malalamiko ofisi ya Rais.
Ndugu mimi kama Baba nilipofika hosptali nililipia pesa pale mochwari Temeke ili niuone mwili wa mwanangu kabla ya kuoshwa nilipo ingia ndani yule kijana wa mochwari alinivuruga kichwa alipoanza kunionesha miili ya maiti wengine nilipofkkia wa mwanangu niliona matone ya Damu kwenye shuka na mdomoni.
Yule kijana wa mochwari temeke kwa sauti ya ukali akanitaka nimvute mtto kutoka kwenye friza tumweke kwenye limeza la chuma mlio wai ingia mochwari mnanielewa kuna meza kama la wauza samaki wabichi mle ndani.
Basi baada ya hapo ndugu wakaingia kuosha mwili waliosha vizuri sikuambiwa na wale walio osha mwili nimekuja kuambiwa walimkuta na kovu mguuni baada ya kuwa amezikwa
Nieleweni jaman mimi nilimgomea Dc kupitia simu ya Ocd hata mkitaka ushahidi tumaweza kuupata mkasikia sauti za mazungumzo yangu na yule bwana
Baada ya kurudiwa akili nikawa sawa nilimtafuta Ocd na kumwomba aniunganishe na Mkuu wa Wilaya yule bwana Ocd kwa sauti ya kufoka mithili anamfokea mkewe nyumbani kwake aliniambia hanipi no ya Dc kama nataka kuchunguza mwili nichunguzie huko huko temeke.
Sasa utachunguza mwili ambao haukuwa na nyarraka yoyote,na je utaanzia wapi ndo nilkuwa sielewi
Ndugu zangu nasema mnaweza niona poyoyo nakubali kabisa kiukweli nilipatwa na tukio zito sanaa
Sikuwaza kabisa zaidi.
Naendelea kushukuru michango yenu ndugu
Nimeisha anza kufanyia kazi ushauri wenu
Mathalani kuwasiliana na ofisi ya IGP,ofisi ya malalamiko Dodoma lakini pia nipo katika hatua ya kufungua malalamiko ofisi ya Rais.
Mkuu ni kuulize mlikubali kuzika? Kama mlikubali kuzika bila uchunguzi basi umetupotezea muda sana na akili zetu tuliotoa ushauri! Nauliza tena mlikubali kuzika? Kama mmekubali basi case closed
Yes mkuu but why kila kitu tulalamike kwa president?,wapi taasisi zetu za kusaidia utawala bora?,kwangu President Madiba ni ICON maana baada ya kuliona hili akaunda taasisi imara zenye kujitegemea kutoka kwa executive's, hapa tungekua na IPID huyu mzazi angeenda kwao kufungua docket (hawa wana uwezo wa kuwapeleleza police and to open docket, kuwafungulia mashitaka na kuwa arrest),kwetu hapa nani ana uwezo wa ku arrest OCD?,Pia nchi ingekuwa na PP mzazi huyu angelalamika kwake kuhusu DC,na elewa PP ana mamlaka ya ki judge, uamuzi wake ni binding,hii ni cold case kama yule msichana aliyeuliwa kinyama pale Arusha few years ago na wengi humu wameshasahau
Umesema mama ya Mtoto kupigiwa simu, mama ya Mtoto kunyangwanywa simu, mama kuelezwa Mtoto kafariki, Mama mkubwa kutaarifiwa, ndugu wengine kutaarifiwa kwamba wapokee Mwili wa Marehemu, Mwili kuletwa Usiku toka Lindi au Mtwara, Mwili kuwasili Nyumbani, ndugu kuzozana na Kyaruzi, mwishowe Mwili kupelekwa mortuary. Na kesho yake kwenda kutayarisha mwili wa marehemu, na mwishowe Mazishi.Ni kipi sijakiandika ndugu?
Ndugu, tafadhali jibu kwanza maswali yangu niliyouliza yaliyopo kwenye Comment #2 na Comment #112 hapo juu.Sikupata ningepata nisingerudi apa tena
Wlkinanani hao walikuandama pm leta ushahidi apa....wengi apa hatufahamiani leta ushahidi apa..Ndugu niliutafuta ule uzi ili nitoe update sikuuona ten nikajua umefutwa na kuna kundi liliniandama sana kupitia pm nakaisi nmekosea kuleta ile habari hap..
Pole kwenu, na sisi sote kumpoteza kijana.JE, KAMA MTOTO HAKUGONGWA NA WAKUBWA KWANINI ALIYEMGONGA HAKUKAMATWA?