Kwanini nawahusisha Mkuu wa Wilaya na OCD Lindi kwenye kifo cha mtoto wangu...

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya inahusikaje kwanza na vifo vya wanafunzi kama ni natural death?

Na nyie mmeshangaza sana kupokea mwili na kuzika katika mazingira yote yale,huwa hamuoni hata kwenye taarifa za habari wengine wanachofanya?

Chachamaeni uchunguzi ufanyike!
 
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya inahusikaje kwanza na vifo vya wanafunzi kama ni natural death?
wote tunajiuliza hivyo... hii kesi ina maswali mengi kuliko majibu... kuna maiti ngapi zipo hospitalini kwa kuwa tu zinadaiwa hivyo haziwezi kuachwa zikazikwe hadi ndugu walipe gharama za matibabu😭😭

kwa wema gani walio kuwa nao huyo OCD pamoja na MKUU wa wilaya...? wamsaidie mtu wasio mjua kweli...?

kuna kitu kimejificha...ila amini ipo siku ukweli utajidhihirisha tu...!
 
Mkuu nimekuelewa pole sana utapata mwingine Mungu ni mwema!
Ngoja tuendelee kupaza sauti hata baada ya uzi huu leta mwingine hadi Rais achukue hatua kuruhusu uchunguzi
 
Ukweli mchungu mkuu, upo right maana ni wachache wanaofaidi pie ya nchi
 
Duh hii mambo ni ngumu sana sijui umepataje ujasiri wa kuandika ilihali umekosa ujasiri wa kwenda kurepoti ila pole sana ndugu
 
Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Pole sana, bila shaka uchunguzi wa kina unatakiwa. Mashaka ni mengi kuliko majibu.
 
Kwani hii Ishu haikuishaga tu mtoa mada..Ina maana dokezo la kwanza lile haukupata muafaka
Baada ya Mkuu wa mkoa kumfajya vibaya mtoto wa kike, bafo kuna mtu ana wasi wasi na ujinga wa hawa wakuu wa wilaya na mikoa?
Kiufupi madaraka makubwa yanawapa kiburi sana
 
Hivi suala hili liliishia wapi?
Mhusika utupatie feedback
 
Huyu DC yeye ndie msimamizi wa haki na kuzuia dhuluma ktk wilaya yake.
Lakini tunaona huyu DC ndie dhulumati mkubwa wa haki za raia!
Mama SSH please anza na huyu mtu anaekuchafua na uchunguzi ufanyike.
 
Duuh ya lini hii?
 
dah aiseeeee haya mambo yanaumiza sana.....

Hii dunia si mahali salama....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…