Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Ufitini wa nchi za magharibi ndio chanzo kikuu... Wao ndio wana sponsor rebel groups
 

Kwa hiyo Russia 🇷🇺 Venezuela 🇻🇪 na Cuba 🇨🇺 ni wasilam?
 

Je, MUNGU aliwahi kuonekana katika umbo la mwanadamu kwa yeyote?

Mwenyezi Mungu alipozungumza na Mitume kama Musa, Ibrahimu na wengine, ambayo yameandikwa katika Biblia na Quran Tukufu, je, alionekana katika umbo la mwanadamu halisi?

Kwa uaminifu kabisa, haijalishi. MUNGU Mwenyezi anaweza kuonekana kama mbwa, paka, ng'ombe au mwamba akitaka.

Kwa hivyo haihusu kutowezekana kwa MUNGU kuifanya, lakini je, MUNGU Mwenyezi angejifanya?

Kwa mfano, je, sasa hivi MUNGU Mweza-Yote anamtokea mtu fulani au viumbe vingine, kama wanyama au wadudu na kuzungumza nao moja kwa moja?

Hakika hakuna lisilowezekana kwa MUNGU. Lakini angefanya hivyo?

Kwa kweli hangefanya hivyo (isipokuwa kwa makusudi kabisa anataka kuwadanganya watu fulani kama vile Biblia inavyofafanua kwa kina juu ya mada ya roho za uwongo za Biblia ambazo MUNGU Mwenyezi anazituma ili kuwadanganya watu wa uongo) kwa sababu hiyo ingefanya uumbaji mkuu wa MUNGU Mwenyezi kukosea.

Biblia yenyewe inajibu swali hili la msingi:

Kutoka 6:3

3. Nalimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, lakini kwa jina langu, BWANA, sikujidhihirisha kwao kabisa.

Hesabu 23:19

19 Mungu si mtu, aseme uongo; wala mwana wa Adamu, hata ajute; au amesema, na hatalitimiza?

MUNGU si mwanadamu wa damu na nyama (Hesabu 23:19).


Yuda 8:16

Usijaribu kuyafunga makusudi ya Bwana, Mungu wetu; kwa maana Mungu si kama mwanadamu, kutishwa, wala si kama mwanadamu ili avutwe kwa kusihi.


Kwa hivyo ikiwa MUNGU Mwenyezi si mwanadamu, basi asingeonekana kama mwanadamu kwa yeyote. Anaweza kuonekana kama Nuru katika mwonekano wa mwanamume, pengine, lakini hangeonekana kama mtu wa nyama na damu. Hii inathibitishwa zaidi hapa:

Luka 1:11-12

Malaika wa Bwana akamtokea, amesimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia. Zekaria alipomwona alifadhaika, na hofu ikamwangukia.


Kutoka 3:2

2. Huko malaika wa Bwana akamtokea katika miali ya moto kutoka ndani ya kijiti. Musa aliona kwamba kile kijiti kilikuwa kinawaka moto hakikuteketea.


GOD is not a flesh and blood man (Numbers 23:19).
 


Njia ya Yesu

Kwanza na kabla ya yote, lazima itambulike kuwa Yesu Kristo, mwana wa Mariamu, alikuwa ni wa mwisho katika orodha ya manabii wa Kiisraeli.

Aliishi kwa mujibu wa Torati, na sheria ya Musa, na aliwafundisha wafuasi zake wafanye hivyo hivyo.

Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza: “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kuitimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.”

Kwa bahati mbaya, kiasi cha miaka mitano baada ya kuisha kwa uchungaji wa Yesu, Rabbi kijana kwa jina la Sauli wa Tarsus, aliyedai kuwa amemuona Yesu katika maono, alianza kubadilisha njia ya Yesu.

Paulo (jina lake kwa Kirumi) alikuwa na heshima kubwa kwa falsafa ya Kirumi na alizungumza kwa ufahari kwa kuwa na uraia wa Roman.

Imani yake ilikuwa ni kuwa wasio-Wayahudi walioingia Ukristo wasibebeshwe mzigo wa Torati kwa hali yoyote ile.

Mtunzi wa Matendo 13:39 anamnukuu Paulo akisema, “Na kwa yeye kila amwaminiye huhesabiwa haki katika mambo yale yote asiyoweza kuhesabiwa haki kwa Torati ya Musa.”

Kimsingi ilikuwa ni kwa kupitia juhudi za Paulo ndipo kanisa lilipoanza kufuata mkondo wa tabia za wasio-Wayahudi. Paulo ameandika barua (nyaraka), nyingi za Agano Jipya zinazokubaliwa na kanisa zikiwa ni kama mafundisho rasmi ya kiitikadi na Kitabu kilichofunuliwa.

Nyaraka hizo hazikuilinda Injili ya Yesu wala hata kuiwakilisha;135F136 badala yake amegeuza mafundisho ya Kristo kuwa ya falsafa ya Kihelleniki (Graeco-Roman).

Ifuatayo ni baadhi ya mifano ya mafundisho aliyoyafuata nabii Yesu na kuyafundisha, lakini baadaye yaliachwa na Kanisa.

Hata hivyo, mengi miongoni mwa mafundisho hayo yalifufuliwa katika ujumbe wa mwisho wa Uislamu ulioletwa na Mtume Muhammad (SAW) na yakaendea kubakia kuwa ni sehemu ya msingi katika matendo ya dini ya Kiislamu hadi leo hii.

Kusujudu katika Sala

Yesu ameelezwa katika Yesu ameelezwa katika Injili kuwa amesujudu alipokuwa akisali.

Katika Mathayo 26:39, mtunzi anaeleza tukio lililotokea pale Yesu alipoenda na wanafunzi wake hadi Gethsemane:

“Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akasema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utavyo wewe.”
 


Yesu anasemaje katika injili??


Yesu anasemaje katika Injili

Yohana 17:3 imeandikwa hivi –

uzima wa milele ndiyo huu wakujue Mungu wa pekee na Yesu uliyemtuma.

Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupata uzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Mungu ila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.

Luka 2:40 imeandikwa hivi: -

Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaa hekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.

Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu. Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bila ya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesu ni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.

Yohana 13:13 imeandikwa hivi: -

Nanyi mwaniita Mwalimu na Bwana nanyi mwasema vema maana ndivyo nilivyo.

Maneno hayo yatueleza wazi kwamba alikuwa anajua wazi kwamba yeye ni Mwalimu na Bwana ndiyo maana anawasifu wanafunzi wake, NANYI MWASEMA VEMA.

Mathayo 23:9 imeandikwa: -

Wala msimwite mtu Baba maana Baba yenu ni mmoja wa Mbinguni wala msiitwe Kiongozi maana Kiongozi wenu ni mmoja naye ndiye Yesu Kristo.

Hapa Yesu anaendelea kutuonyesha jinsi alivyo tofauti na Mungu, na yeye hayuko sawa na Mungu daima Mungu ni Baba lakini Yesu ni Kiongozi tu.

Ufunuo: 1:1-2 imeandikwa hivi: - Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu awaonyeshe watu wake…Naye akatuma Malaika akamuonyeshe Mtumwa wake Yohana…

Wakati ufunuo unatolewa na Mungu na kupewa Yesu wakati huo Yesu ameshatoka Duniani yuko Mbinguni
(kwa mujibu wa bible), lakini bado inaonyesha Mungu ndiye mkubwa Yesu bado ni wakutumwa ili awaonyeshe watumwa kuhusu mambo yao yatakayokuja kama tulivyosoma.

Zipo Aya nyingi sana zinazoonyesha wazi kuwa Yesu alikuwa halijui kabisa fundisho la tatu na wala kuhusu kuwa yeye ni Mungu.
 
Siiamini hata nukta.


Ndio sababu tukaisoma Biblia na ukristo ili tuwaonyeshe imeandikwa kitu gani kinyume na mnavyopotoshwa na wasaka tonge wachungaji matapeli huko makanisani kwenu
 
Hii ni dini iliyoanzishwa na kuenezwa kwa Jihad. Watu walilazimishwa kujiunga Uislamu karne ya 6-13 kwa lazima na siyo kwa hiari. Kama hukutakq Uislamu enzi hizo basi panga lilikuwa halali yako.

Hii ndiyo sababu ya vitavmaeneo hayo. No room for reasoning
 

Ndivyo mnavyolishwa matango pori na wachungaji wenu ??

Mambo hayo ya kulazimishwa ni ukristo , kwani kama kuna kulazimishana nyinyi nyote huku mngalikuwa waislamu kwani uislamu ulikuja mwanzo kuliko ukristo huku kwetu

angalia hii documentary ya BBC kuhusu ukristo ulivyoanza


View: https://www.youtube.com/watch?v=OnNBLLcN-fY&pp=ygUSamVzdXMgdGhlIGV2aXNlbmNl
 
Uislamu wenyewe ulianzishwa na Wakatolilki karne ya 6 ili kupambana na Dola ya Kirumi. Wakaandika kitabu wampa Muhamad halafu nyie mnadanganya kuwa aliteremshiwa kwa miaka 23. Wajinga ndiyo waliwao
 
Ndio sababu tukaisoma Biblia na ukristo ili tuwaonyeshe imeandikwa kitu gani kinyume na mnavyopotoshwa na wasaka tonge wachungaji matapeli huko makanisani kwenu
Hakuna muislam anayeweza kuielewa bible,hata Allah mwenyewe hawezi.

Sababu kila muislam anaisoma huku amekariri Quran kwanza.

Wacha nikuulize swali,unaamini Bible,ama vitabu ndani yake ni vya Mungu???
 
Hakuna muislam anayeweza kuielewa bible,hata Allah mwenyewe hawezi.

Sababu kila muislam anaisoma huku amekariri Quran kwanza.

Wacha nikuulize swali,unaamini Bible,ama vitabu ndani yake ni vya Mungu???

Tuiulize biblia yenyewe iseme
 
Tuiulize biblia yenyewe iseme
Bible hainaga tabia ya kujitetea wala kujieleza sana,wewe soma ukiamua uiamini sawa,ukiichukulia poa ni juu yako.

Leo hii hakuna muislam asiyependa au asiyetaka kufunua ajue kilichopo ndani yake,ila ni ngumu kukuta mkristo anapekua Quran,iman yetu juu ya bible haina mashaka kabisa,na kama tukiipoteza hakuna kitabu kitakuwa na mantiki tena kuhusu Mungu.
 
Unaongelea biblia ipi ambayo haisemi Yale yaliyoandikwa ndani yake ?
 
Uislamu wenyewe ulianzishwa na Wakatolilki karne ya 6 ili kupambana na Dola ya Kirumi. Wakaandika kitabu wampa Muhamad halafu nyie mnadanganya kuwa aliteremshiwa kwa miaka 23. Wajinga ndiyo waliwao
Yaani wakristo waanzishe uislamu unaosema Yesu si Mungu , Yesu hakusulubiwa, Hakuna utatu Mtakatifu, Maria si mama wa Mungu ? Nani kakulisha matango pori yenye sumu ?
 
Mimi ndio nilyekuuliza , nijibu kwanza swali langu
Wewe mbona hufanyi hivyo??

Nilikuuliza awali,unaiamini Bible ama vitabu vyake kama ni kutoka kwa Mungu??

Embu jibu kwanza hapa.
 
" (الله أَكْبَرُ من كلِّ شيء)."
 
Wewe mbona hufanyi hivyo??

Nilikuuliza awali,unaiamini Bible ama vitabu vyake kama ni kutoka kwa Mungu??

Embu jibu kwanza hapa.


Miswada sahihi

Wanazuoni wengi wa madhehebu na vikundi mbalimbali vya Kikristo wamethibitisha kuwa sehemu kubwa ya maandiko ya Biblia ina mashaka makubwa juu ya uhalisia wake.

Katika utangulizi wa Ngano za Mungu mwenye Mwili, Mtunzi ameandika yafuatayo:
"Katika karne ya kumi na tisa, Wakristo wa Kimagharibi walifanya marekebisho makubwa mawili ili kuitikia wito wa kupanuka kwa elimu ya wanadamu: imekubalika kuwa mwanadamu ni sehemu ya maumbile na ameibuka kuwa ni miongoni mwa wanamageuzi wa mfumo wa maisha duniani; imekubalika kuwa vitabu vya Biblia vimeandikwa na watu tofauti tofauti katika matukio tofauti tofauti na haviwezi kukubaliwa kuwa ni utunzi wa Mungu wa neno kwa neno.

Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek2F3, lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'

kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana" ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu ,katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani.
 
Miswada sahihi

Wanazuoni wengi wa madhehebu na vikundi mbalimbali vya Kikristo wamethibitisha kuwa sehemu kubwa ya maandiko ya Biblia ina mashaka makubwa juu ya uhalisia wake.
Wala hamna tatizo,ukisema utumie akili dkk 1 tu,hakuna kitu utakipokea ktk bible pale ni iman ndio inafanya kazi.
Kwanza tukubaliane kitu,bible ina maandiko yenye wasifu wa aina mbali mbali,kuna historia za watu,manabii na mitume,hakuna sehem yeyote panapodai bible imeandikwa na Mungu.huu upuuzi unapatikana ktk Quran tu.
Haya naomba msimamo wako sasa.rejea swali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…