Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doctrine ya uislam ni kwamba muislam ni ndugu kwa muislam!
Nikiwa bado mdogo hivi nikiingiz msikitini wakati wa kuswali unapiga mstari huku vidole vya mwisho miguuni vile vidogo vya mwisho vinagusana na vya mwenzako kuonesha jamaa!!
Sasa basi,utajiri uliopo nchi tajiri za kiislam ungeeenea kwa waislam wenzao bila shida yoyote na kustawi kote sana hasa kijamaa zaidi na ustawi was maisha!!
Marekani akihofia hayo yote na nchi za kibepari duniani wakaanzisha ugaidi hapo September 11 na vikundi hivyo vikazaliwa kama donda ndugu Kote duniani!!
Kanuni ni rahisi sana;-
Uislam:-ujamaa
Ukristo:-ubepari
Sisi tulioamua kuwa huru tupo mixed!!
Maneno haya aliyotamka Yesu, hakuna mwanadamu yeyote wala malaika wala kerubi wala serafi awezaye kujitamkia, isipokuwa Mungu tu.
Kimsingi Yesu alikuwa akisema: unavyoniona Mimi hapa, ndiye Mungu hasa niliye katika sura na umbile la kibinadamu.
Kabla ya maneno haya kutamkwa, Tomaso alikuwa amemuuliza Yesu swali: ^Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?^ (aya ya 5).
Jibu la Yesu linaonesha uhusiano Wake na Baba ukoje: Mimi ndiye njia, kweli na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya Mimi.
Siyo tu kwamba Yesu ni njia na kweli ya kutufikisha kwa Baba, bali hapa anatamka kwamba Yeye ndiye uzima kwa vile ndiye Muumbaji! (Mwanzo 2:7).
Isingeleta mantiki yoyote hata kidogo kudai hivyo kwamba Yeye ni njia, kweli na uzima iwapo angekuwa Mtume tu wa Mungu!
Akaongeza: ^Kama mngalinijua Mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.^
Pamoja na maneno hayo ya Kristu, yasiyokuwa na chembe ya mashaka yoyote kwamba Yeye ni nani, bado Filipo akarudia swali la msisitizo:
^Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha!^
Ni kama vile alikuwa akimwambia Yesu: ^Bwana, iwapo unazungumzia kumjua au kumwona Mungu kupitia matendo Yako, hilo mbona tunalifahamu vizuri sana. Tunachotaka sisi ni kumwona Mungu kabisa jinsi alivyo, yukoje, Yeye ni nani!^
Hii ni kweli, hasa ikizingatiwa kwamba wanafunzi hao walikuwa pamoja na Kristu muda wote, walijua historia Yake na kwamba watu wengine wote walimtambua kama nabii wa Mungu.
Maswali ya Tomaso na Filipo yasingeleta maana yoyote iwapo walikuwa tu wakiuliza kuhusu utendaji wa Mungu.
Kwamba walitaka kuoneshwa matendo ya Mungu kupitia Yesu, wakati walikuwa wameshuhudia muda wote huduma Zake mbalimbali za huruma na upendo pamoja na miujiza Yake?
Ukweli ni kwamba maswali haya ya Tomaso na Filipo ni swali na lile la Musa alipomuuliza Mungu: ^Nakusihi unioneshe utukufu Wako^ (Kutoka 33:18), ambapo akajibiwa, ^Huwezi kuniona uso Wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.^
Ni wazi kwamba Musa alitaka kumwona Mungu katika uhalisia Wake, vivyo hivyo na Tomaso na Filipo. Musa alioneshwa wema wa Mungu, huku wale wanafunzi wakioneshwa Kristo Mwenyewe!
^Filipo akamwambia, Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona Mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba? Husadiki kwamba Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani Yangu?^ (Yohana 14:8-10a).
Majibu yaleyale ambayo Yesu aliwaambia wanafunzi katika Yohana 14, ndiyo aliwaambia Wayahudi walitaka kujua hasa Yeye ni nani (Yohana 10:24-38):
^Hata lini utatuhangaisha nafsi zetu? Kama Wewe ndiye Kristo, utuambie waziwazi.^
Wayahudi walikuwa wakifahamu vyema unabii waliosoma katika Agano la Kale kumhusu Kristu. Mathalani:
Isaya 9:6 ^Maana kwa ajili yetu Mtoto amezaliwa, Tumepewa Mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani Mwake; Naye ataitwa jina Lake Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.^
Isaya 7:14 ^Kwa hiyo Bwana Mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa Mtoto mwanamume, Naye atamwita jina Lake Imanueli.^
Si ajabu Yesu alipowaambia Yeye ndiye, waliokota mawe ili kumpiga (kwa sababu Wayahudi wengi hawakuamini kwamba ndiye hasa alikuwa Masihi!)
Zingatia baadhi ya maneno aliyotamka Kristu hapa, yanayoonesha Yeye ni zaidi ya mwanadamu na malaika:
^Nami nawapa uzima wa milele^ (aya ya 28). Ni Mungu pekee ndiye awezaye kutupatia uhai au kuuondoa.
^Mimi na Baba tu umoja^ (aya ya 30). Ndiyo maana Yesu anaitwa Mwana pekee (the only begotten Son). Maneno ya Kiyunani ni monogenes, yenye maana ya mwenye asili ileile sawa Naye!
Kama unadhani Wayahudi hawakuelewa kile ambacho Yesu Kristu alikuwa akiwaambia juu ya uhusiano Wake na Baba, hebu zingatia maneno yao:
^Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu Wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.^ (aya ya 33).
Ni wazi hapa Yesu alikuwa akiwaambia kwamba Yeye ndiye Mungu hasa! Na wala siyo kwamba matendo Yake tu ndiyo yalikuwa sawa na yale ya Mungu!
^Ikiwa tunataka kusisitiza…yote ni uongo^
Ujio wa Yesu duniani katika sura na umbile la mwanadamu ni sawa kabisa na vile ambavyo Mungu aliwatokea manabii, mitume na watu Wake zamani katika maumbile mbalimbali kama vile malaika, nk. (Waamuzi 13:20-22; 6:11-23).
Mungu anaweza kujivika sura ya nafsi yoyote au kitu chochote. Kule jangwani, Mungu alimtokea Musa katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto bila kuteketea (Kutoka 3:1-6).
Yesu ni Mungu katika umbile la kibinadamu. Asili Yake ya uungu ilisitirika katika ubinadamu. Katika umbile hili ndipo wanafunzi Wake waliweza kumwona Mungu.
Hawakuishia kuona matendo tu ya Mungu, bali walimwona Mungu Mwenyewe hasa!
^Hapo mwanzo alikuwepo Neno, Naye Neno alikuwa kwa Mungu, Naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwepo kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa Huyo; wala pasipo Yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. Ndani Yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.^ (Yohana 1:1-4).
Maneno haya aliyotamka Yesu, hakuna mwanadamu yeyote wala malaika wala kerubi wala serafi awezaye kujitamkia, isipokuwa Mungu tu.
Kimsingi Yesu alikuwa akisema: unavyoniona Mimi hapa, ndiye Mungu hasa niliye katika sura na umbile la kibinadamu.
Kabla ya maneno haya kutamkwa, Tomaso alikuwa amemuuliza Yesu swali: ^Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?^ (aya ya 5).
Jibu la Yesu linaonesha uhusiano Wake na Baba ukoje: Mimi ndiye njia, kweli na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya Mimi.
Siyo tu kwamba Yesu ni njia na kweli ya kutufikisha kwa Baba, bali hapa anatamka kwamba Yeye ndiye uzima kwa vile ndiye Muumbaji! (Mwanzo 2:7).
Isingeleta mantiki yoyote hata kidogo kudai hivyo kwamba Yeye ni njia, kweli na uzima iwapo angekuwa Mtume tu wa Mungu!
Akaongeza: ^Kama mngalinijua Mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.^
Pamoja na maneno hayo ya Kristu, yasiyokuwa na chembe ya mashaka yoyote kwamba Yeye ni nani, bado Filipo akarudia swali la msisitizo:
^Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha!^
Ni kama vile alikuwa akimwambia Yesu: ^Bwana, iwapo unazungumzia kumjua au kumwona Mungu kupitia matendo Yako, hilo mbona tunalifahamu vizuri sana. Tunachotaka sisi ni kumwona Mungu kabisa jinsi alivyo, yukoje, Yeye ni nani!^
Hii ni kweli, hasa ikizingatiwa kwamba wanafunzi hao walikuwa pamoja na Kristu muda wote, walijua historia Yake na kwamba watu wengine wote walimtambua kama nabii wa Mungu.
Maswali ya Tomaso na Filipo yasingeleta maana yoyote iwapo walikuwa tu wakiuliza kuhusu utendaji wa Mungu.
Kwamba walitaka kuoneshwa matendo ya Mungu kupitia Yesu, wakati walikuwa wameshuhudia muda wote huduma Zake mbalimbali za huruma na upendo pamoja na miujiza Yake?
Ukweli ni kwamba maswali haya ya Tomaso na Filipo ni swali na lile la Musa alipomuuliza Mungu: ^Nakusihi unioneshe utukufu Wako^ (Kutoka 33:18), ambapo akajibiwa, ^Huwezi kuniona uso Wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.^
Ni wazi kwamba Musa alitaka kumwona Mungu katika uhalisia Wake, vivyo hivyo na Tomaso na Filipo. Musa alioneshwa wema wa Mungu, huku wale wanafunzi wakioneshwa Kristo Mwenyewe!
^Filipo akamwambia, Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona Mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba? Husadiki kwamba Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani Yangu?^ (Yohana 14:8-10a).
Majibu yaleyale ambayo Yesu aliwaambia wanafunzi katika Yohana 14, ndiyo aliwaambia Wayahudi walitaka kujua hasa Yeye ni nani (Yohana 10:24-38):
^Hata lini utatuhangaisha nafsi zetu? Kama Wewe ndiye Kristo, utuambie waziwazi.^
Wayahudi walikuwa wakifahamu vyema unabii waliosoma katika Agano la Kale kumhusu Kristu. Mathalani:
Isaya 9:6 ^Maana kwa ajili yetu Mtoto amezaliwa, Tumepewa Mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani Mwake; Naye ataitwa jina Lake Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.^
Isaya 7:14 ^Kwa hiyo Bwana Mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa Mtoto mwanamume, Naye atamwita jina Lake Imanueli.^
Si ajabu Yesu alipowaambia Yeye ndiye, waliokota mawe ili kumpiga (kwa sababu Wayahudi wengi hawakuamini kwamba ndiye hasa alikuwa Masihi!)
Zingatia baadhi ya maneno aliyotamka Kristu hapa, yanayoonesha Yeye ni zaidi ya mwanadamu na malaika:
^Nami nawapa uzima wa milele^ (aya ya 28). Ni Mungu pekee ndiye awezaye kutupatia uhai au kuuondoa.
^Mimi na Baba tu umoja^ (aya ya 30). Ndiyo maana Yesu anaitwa Mwana pekee (the only begotten Son). Maneno ya Kiyunani ni monogenes, yenye maana ya mwenye asili ileile sawa Naye!
Kama unadhani Wayahudi hawakuelewa kile ambacho Yesu Kristu alikuwa akiwaambia juu ya uhusiano Wake na Baba, hebu zingatia maneno yao:
^Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu Wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.^ (aya ya 33).
Ni wazi hapa Yesu alikuwa akiwaambia kwamba Yeye ndiye Mungu hasa! Na wala siyo kwamba matendo Yake tu ndiyo yalikuwa sawa na yale ya Mungu!
^Ikiwa tunataka kusisitiza…yote ni uongo^
Ujio wa Yesu duniani katika sura na umbile la mwanadamu ni sawa kabisa na vile ambavyo Mungu aliwatokea manabii, mitume na watu Wake zamani katika maumbile mbalimbali kama vile malaika, nk. (Waamuzi 13:20-22; 6:11-23).
Mungu anaweza kujivika sura ya nafsi yoyote au kitu chochote. Kule jangwani, Mungu alimtokea Musa katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto bila kuteketea (Kutoka 3:1-6).
Yesu ni Mungu katika umbile la kibinadamu. Asili Yake ya uungu ilisitirika katika ubinadamu. Katika umbile hili ndipo wanafunzi Wake waliweza kumwona Mungu.
Hawakuishia kuona matendo tu ya Mungu, bali walimwona Mungu Mwenyewe hasa!
^Hapo mwanzo alikuwepo Neno, Naye Neno alikuwa kwa Mungu, Naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwepo kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa Huyo; wala pasipo Yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. Ndani Yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.^ (Yohana 1:1-4).
Maneno haya aliyotamka Yesu, hakuna mwanadamu yeyote wala malaika wala kerubi wala serafi awezaye kujitamkia, isipokuwa Mungu tu.
Kimsingi Yesu alikuwa akisema: unavyoniona Mimi hapa, ndiye Mungu hasa niliye katika sura na umbile la kibinadamu.
Kabla ya maneno haya kutamkwa, Tomaso alikuwa amemuuliza Yesu swali: ^Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?^ (aya ya 5).
Jibu la Yesu linaonesha uhusiano Wake na Baba ukoje: Mimi ndiye njia, kweli na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya Mimi.
Siyo tu kwamba Yesu ni njia na kweli ya kutufikisha kwa Baba, bali hapa anatamka kwamba Yeye ndiye uzima kwa vile ndiye Muumbaji! (Mwanzo 2:7).
Isingeleta mantiki yoyote hata kidogo kudai hivyo kwamba Yeye ni njia, kweli na uzima iwapo angekuwa Mtume tu wa Mungu!
Akaongeza: ^Kama mngalinijua Mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.^
Pamoja na maneno hayo ya Kristu, yasiyokuwa na chembe ya mashaka yoyote kwamba Yeye ni nani, bado Filipo akarudia swali la msisitizo:
^Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha!^
Ni kama vile alikuwa akimwambia Yesu: ^Bwana, iwapo unazungumzia kumjua au kumwona Mungu kupitia matendo Yako, hilo mbona tunalifahamu vizuri sana. Tunachotaka sisi ni kumwona Mungu kabisa jinsi alivyo, yukoje, Yeye ni nani!^
Hii ni kweli, hasa ikizingatiwa kwamba wanafunzi hao walikuwa pamoja na Kristu muda wote, walijua historia Yake na kwamba watu wengine wote walimtambua kama nabii wa Mungu.
Maswali ya Tomaso na Filipo yasingeleta maana yoyote iwapo walikuwa tu wakiuliza kuhusu utendaji wa Mungu.
Kwamba walitaka kuoneshwa matendo ya Mungu kupitia Yesu, wakati walikuwa wameshuhudia muda wote huduma Zake mbalimbali za huruma na upendo pamoja na miujiza Yake?
Ukweli ni kwamba maswali haya ya Tomaso na Filipo ni swali na lile la Musa alipomuuliza Mungu: ^Nakusihi unioneshe utukufu Wako^ (Kutoka 33:18), ambapo akajibiwa, ^Huwezi kuniona uso Wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.^
Ni wazi kwamba Musa alitaka kumwona Mungu katika uhalisia Wake, vivyo hivyo na Tomaso na Filipo. Musa alioneshwa wema wa Mungu, huku wale wanafunzi wakioneshwa Kristo Mwenyewe!
^Filipo akamwambia, Bwana, utuoneshe Baba, yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona Mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba? Husadiki kwamba Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani Yangu?^ (Yohana 14:8-10a).
Majibu yaleyale ambayo Yesu aliwaambia wanafunzi katika Yohana 14, ndiyo aliwaambia Wayahudi walitaka kujua hasa Yeye ni nani (Yohana 10:24-38):
^Hata lini utatuhangaisha nafsi zetu? Kama Wewe ndiye Kristo, utuambie waziwazi.^
Wayahudi walikuwa wakifahamu vyema unabii waliosoma katika Agano la Kale kumhusu Kristu. Mathalani:
Isaya 9:6 ^Maana kwa ajili yetu Mtoto amezaliwa, Tumepewa Mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani Mwake; Naye ataitwa jina Lake Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.^
Isaya 7:14 ^Kwa hiyo Bwana Mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa Mtoto mwanamume, Naye atamwita jina Lake Imanueli.^
Si ajabu Yesu alipowaambia Yeye ndiye, waliokota mawe ili kumpiga (kwa sababu Wayahudi wengi hawakuamini kwamba ndiye hasa alikuwa Masihi!)
Zingatia baadhi ya maneno aliyotamka Kristu hapa, yanayoonesha Yeye ni zaidi ya mwanadamu na malaika:
^Nami nawapa uzima wa milele^ (aya ya 28). Ni Mungu pekee ndiye awezaye kutupatia uhai au kuuondoa.
^Mimi na Baba tu umoja^ (aya ya 30). Ndiyo maana Yesu anaitwa Mwana pekee (the only begotten Son). Maneno ya Kiyunani ni monogenes, yenye maana ya mwenye asili ileile sawa Naye!
Kama unadhani Wayahudi hawakuelewa kile ambacho Yesu Kristu alikuwa akiwaambia juu ya uhusiano Wake na Baba, hebu zingatia maneno yao:
^Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu Wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.^ (aya ya 33).
Ni wazi hapa Yesu alikuwa akiwaambia kwamba Yeye ndiye Mungu hasa! Na wala siyo kwamba matendo Yake tu ndiyo yalikuwa sawa na yale ya Mungu!
^Ikiwa tunataka kusisitiza…yote ni uongo^
Ujio wa Yesu duniani katika sura na umbile la mwanadamu ni sawa kabisa na vile ambavyo Mungu aliwatokea manabii, mitume na watu Wake zamani katika maumbile mbalimbali kama vile malaika, nk. (Waamuzi 13:20-22; 6:11-23).
Mungu anaweza kujivika sura ya nafsi yoyote au kitu chochote. Kule jangwani, Mungu alimtokea Musa katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto bila kuteketea (Kutoka 3:1-6).
Yesu ni Mungu katika umbile la kibinadamu. Asili Yake ya uungu ilisitirika katika ubinadamu. Katika umbile hili ndipo wanafunzi Wake waliweza kumwona Mungu.
Hawakuishia kuona matendo tu ya Mungu, bali walimwona Mungu Mwenyewe hasa!
^Hapo mwanzo alikuwepo Neno, Naye Neno alikuwa kwa Mungu, Naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwepo kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa Huyo; wala pasipo Yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. Ndani Yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.^ (Yohana 1:1-4).
Siiamini hata nukta.
Hii ni dini iliyoanzishwa na kuenezwa kwa Jihad. Watu walilazimishwa kujiunga Uislamu karne ya 6-13 kwa lazima na siyo kwa hiari. Kama hukutakq Uislamu enzi hizo basi panga lilikuwa halali yako.Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.
Sisemi tu kwa sababu nasema bali nasema kwa sababu zipo nadharia nyingi zinazoonesha kuwa ni kweli maeneo hayo ukumbwa na matukio ya kigaidi ama Vita.
Hata Tanzania miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na tetesi za matukio ya kigaidi maeneo ya Kibiti na jirani na maeneo hayo ambayo kwa wingi ukaliwa na watu wa Dini ya uislamu kitendo kilichopelekea Jeshi la Tanzania kuwekeza nguvu huko Kibiti na kutokomeza ugaidi huo ambao ulikuwa umeanza kumea katika maeneo hayo ya pwani ya Tanzania. Hata kijana mmoja wa kitanzania mwenye mlengo wa Dini ya kiislamu aliwahi kukamatwa Kenya akitumikia kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab.
Ukiachilia mbali hayo, Duniani ukitamka neno ugaidi alafu ukasema tutajie dini yenye kuhusishwa na ugaidi moja kwa moja hata mtoto atakutajia Uislamu. Na hii ni kwa sababu Watu wote wanaokamatwa katika matukio hayo basi ujinasibu kama wanapigania Dini ama maslahi yao ya kidini. Ukiachilia mbali kupigania Dini au Maslahi ya Kidini. Nchi hizo hizo au maeneo hayo hayo yamekuwa yakikumbwa na Mapinduzi ya kijeshi na watu hao wakitaka kusimika dola la kiislamu.
Alikadharika maeneo hayo uwa yanakumbwa na vurugu za kivita za mara kwa mara.
Hapa Afrika ukitoa Congo DRC tu ambayo haina waislamu wengi, nchi nyingi zilizobaki zenye vita za mara kwa mara maeneo hayo yenye vita ukaliwa na waislamu kwa idadi kubwa.
Ukanda wote wa Sahel, yani kusini mwa mpaka wa jangwa la Sahara, nchi kama Sudan, Niger, Mali, Burkinafaso, Chad na nyinginezo na nchi zinazokumbwa na vikundi vya kigaidi mara kwa mara. Na ni nchi zenye uislamu mwingi na kama unavyoona zinapakana na nchi za waarabu wa kiafrika ambazo kwa asilimia 90 raia wa nchi hizo ni waislamu.
View attachment 2943395
Nigeria pia ni miongoni mwa nchi inayokumbwa na matukio ya kigaidi sana hususani Maeneo ya kaskazini ya nchi hiyo ambayo ukaliwa na waislamu wengi. Nchini Nigeria wakristo wengi wanapatikana Kusini katika majiji kama Lagos, na Abuja, na waislamu wengi upatikana maeneo ya Kaskazini mwa nchi ambayo mara nyingi majimbo ya Maeneo hayo uongozwa kwa Sheria za kiislamu, pia nadhani juzi kati katika mfungo wa ramadhani watu wa maeneo hayo walikamatwa kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani na waliadhibiwa. Maeneo hayo hayo ndio kituo cha Kundi la Boko Haram na vikundi vingine vya namna hiyo.
Tukiama barani Afrika tukaamia bara la Asia ukanda ya Middle East (Mashariki ya Kati) ambapo ndiko uislamu umeanzia huko ndiko kuna vikundi vingi vya kigaidi, na karibia kila nchi ina vikundi vyake. Nadhani wengi mnavifahamu vikundi kama Hamas kilichoishambulia Israel na kuteka na kuua watu katika tamasha la mziki, na kupeleka vita ambayo imeigharimu ardhi ya Palestina ukanda wa Gaza. Vilevile haikupita miezi mingi kuna kikundi kutoka Yemen nacho kinaitwa Hauthi kikaanza kulipa mashambulizi kwa kupiga meli zinazopita ukanda wa bahari ya sham bila kujali kuwa anaepigwa ni raia wa nchi gani.
Ukiachilia mzozo huo wa Israel na maadui zake, hakuna asiyejua kundi la kigaidi lenye mlengo wa kiislamu lililotikisa Dunia kwa matukio ya kutisha kwa kuchinja, kupiga risasi au kujitoa Mhanga. Hii ya kujitoa mhanga ikapelekea Waislamu hasa waliojifunika mwili mzima kuogopwa sana kuhisi labda wamebeba mabomu ya kujitoa mhanga. Chini ya Osama Bin Laden, kundi hili liliisumbua Dunia hasa Marekani kwa kuipa Jeraha lisilosahaulika la Septemba 11.
Kwa kifupi huko Middle East (Mashariki ya Kati) kuna vikundi vingi sana vya kigaidi, vingine vinakuwaga vimelala tu, vinakuwa (Inactive) lakini viko tayari kwa mashambulizi. Na vikundi hivi ndivyo vinafanya Dola za kiislamu zinaendelea kusimama na sheria kali za kiislamu zifatwe, mfano moja wapo ni Kundi la Taliban kutokea pale Afghanistan ambalo baada ya kushika dola tu likaweka sheria kali za kiislamu ikiwemo wanafunzi kusoma madarasa kwa kuzingatia jinsia mpaka chuo kikuu yani mtoto wa kike na wakiume kila mtu darasa lake.
Kundi jingine la Kigaidi ni kundi la ISIS yani Islamic State. Kundi hili juzi kati limekiri kupiga Tukio pale Russia kwa kumimina Risasi katika Mall moja pale Moscow kwenye tamasha la mziki na kuua watu zaidi ya 150 na kuchoma jengo kwa vilipuzi. Lakini Rais wa Russia Vladimir Putin hajawaacha salama, kawadaka watu kadhaa ambao wanahusika na tukio hilo ambao wengi wao wanasema wamekodiwa kutokea nchi ya Uturuki ambayo ni yenye mlengo wa kiislamu.
Kwa ufupi makundi haya ni mengi sana na yana uhusiano wa moja kwa moja, kwa sababu mengi yanakuwa na link au uhusiano.
Kwani ndugu zetu waislamu mnapokuwa mnafundishwa Dini uwa mnapewa maelezo gani yanayowatia baadhi yenu mioyo ya kikatili, kutaka kumwaga Damu?
Hii ni dini iliyoanzishwa na kuenezwa kwa Jihad. Watu walilazimishwa kujiunga Uislamu karne ya 6-13 kwa lazima na siyo kwa hiari. Kama hukutakq Uislamu enzi hizo basi panga lilikuwa halali yako.
Hii ndiyo sababu ya vitavmaeneo hayo. No room for reasoning
Ndivyo mnavyolishwa matango pori na wachungaji wenu ??
Mambo hayo ya kulazimishwa ni ukristo , kwani kama kuna kulazimishana nyinyi nyote huku mngalikuwa waislamu kwani uislamu ulikuja mwanzo kuliko ukristo huku kwetu
angalia hii documentary ya BBC kuhusu ukristo ulivyoanza
View: https://www.youtube.com/watch?v=OnNBLLcN-fY&pp=ygUSamVzdXMgdGhlIGV2aXNlbmNl
Hakuna muislam anayeweza kuielewa bible,hata Allah mwenyewe hawezi.Ndio sababu tukaisoma Biblia na ukristo ili tuwaonyeshe imeandikwa kitu gani kinyume na mnavyopotoshwa na wasaka tonge wachungaji matapeli huko makanisani kwenu
Hakuna muislam anayeweza kuielewa bible,hata Allah mwenyewe hawezi.
Sababu kila muislam anaisoma huku amekariri Quran kwanza.
Wacha nikuulize swali,unaamini Bible,ama vitabu ndani yake ni vya Mungu???
Bible hainaga tabia ya kujitetea wala kujieleza sana,wewe soma ukiamua uiamini sawa,ukiichukulia poa ni juu yako.Tuiulize biblia yenyewe iseme
Unaongelea biblia ipi ambayo haisemi Yale yaliyoandikwa ndani yake ?Bible hainaga tabia ya kujitetea wala kujieleza sana,wewe soma ukiamua uiamini sawa,ukiichukulia poa ni juu yako.
Leo hii hakuna muislam asiyependa au asiyetaka kufunua ajue kilichopo ndani yake,ila ni ngumu kukuta mkristo anapekua Quran,iman yetu juu ya bible haina mashaka kabisa,na kama tukiipoteza hakuna kitabu kitakuwa na mantiki tena kuhusu Mungu.
Wewe unaijua biblia gani?Unaongelea biblia ipi ambayo haisemi Yale yaliyoandikwa ndani yake ?
Yaani wakristo waanzishe uislamu unaosema Yesu si Mungu , Yesu hakusulubiwa, Hakuna utatu Mtakatifu, Maria si mama wa Mungu ? Nani kakulisha matango pori yenye sumu ?Uislamu wenyewe ulianzishwa na Wakatolilki karne ya 6 ili kupambana na Dola ya Kirumi. Wakaandika kitabu wampa Muhamad halafu nyie mnadanganya kuwa aliteremshiwa kwa miaka 23. Wajinga ndiyo waliwao
Mimi ndio nilyekuuliza , nijibu kwanza swali languWewe unaijua biblia gani?
Wewe mbona hufanyi hivyo??Mimi ndio nilyekuuliza , nijibu kwanza swali langu
Wewe mbona hufanyi hivyo??
Nilikuuliza awali,unaiamini Bible ama vitabu vyake kama ni kutoka kwa Mungu??
Embu jibu kwanza hapa.
Wala hamna tatizo,ukisema utumie akili dkk 1 tu,hakuna kitu utakipokea ktk bible pale ni iman ndio inafanya kazi.Miswada sahihi
Wanazuoni wengi wa madhehebu na vikundi mbalimbali vya Kikristo wamethibitisha kuwa sehemu kubwa ya maandiko ya Biblia ina mashaka makubwa juu ya uhalisia wake.
Kwanza tukubaliane kitu,bible ina maandiko yenye wasifu wa aina mbali mbali,kuna historia za watu,manabii na mitume,hakuna sehem yeyote panapodai bible imeandikwa na Mungu.huu upuuzi unapatikana ktk Quran tu.Katika utangulizi wa Ngano za Mungu mwenye Mwili, Mtunzi ameandika yafuatayo:
"Katika karne ya kumi na tisa, Wakristo wa Kimagharibi walifanya marekebisho makubwa mawili ili kuitikia wito wa kupanuka kwa elimu ya wanadamu: imekubalika kuwa mwanadamu ni sehemu ya maumbile na ameibuka kuwa ni miongoni mwa wanamageuzi wa mfumo wa maisha duniani; imekubalika kuwa vitabu vya Biblia vimeandikwa na watu tofauti tofauti katika matukio tofauti tofauti na haviwezi kukubaliwa kuwa ni utunzi wa Mungu wa neno kwa neno.
Haya naomba msimamo wako sasa.rejea swali.Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek2F3, lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'
kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana" ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".
Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.
Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.
Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu ,katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani.