Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Toleo la American Standard Version lilipewa haki miliki ya kuzuia matini yake isibadilishwe bila idhini.

Mnamo 1928 haki hiyo ilipatikana kutoka katika Baraza la Kimataifa la Elimu na Dini, na kwa hiyo likawekwa katika umiliki wa makanisa ya Marekani na Canada yaliyoshiriki katika baraza hilo kwa kupitia bodi zao za elimu na uchapaji.

Baraza hilo liliainisha kamati ya wasomi kusimamia matini ya ya Toleo la American Standard Version na kufanya uchunguzi na kujua kama marekebisho zaidi yanahitajika… [Baada ya miaka miwili] uamuzi ulifikiwa; nao ni kuwa; kunahitaji marekebisho kikamilifu katika toleo la 1901, ambalo litabakia kuwa lipo karibu na mapokeo ya Tyndale-King James kama itakavyokuwa… Mnamo 1937 na marekebisho yalipewa idhini kwa kura ya Baraza hilo."

"Wasomi thelathini na wawili walitumika kama wanakamati wa kamati iliyotakiwa kufanya marekebisho hayo, nao waliyalinda mabadiliko na kuishauri Bodi ya Ushauri ya wawakilishi hamsini wa madhehebu ili kushirikiana kufanya kazi hiyo…
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. - 2:216. Keep going
 
mkorinto umeona unafiki huu?
Kafir US leo kwa jiwe kuu la msingi🤣 daah kosa yote upate elimu.
Kumbe ndio maana wanajaha na Israel bila kujua wao ndio chanzo.

Under the leadership of Prophet Mohammad, many lives were killed or forced to convert.

Toleo la Agano Jipya la Revised Standard Version lilichapwa mwaka 1946."

Toleo la Biblia la Revised Standard Version, linajumuisha Agano la Kale na Jipya, nalo lilichapwa mnamo Septemba 30, 1952, na likakubalika sana."

Katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, idadi kubwa ya mistari muhimu kutoka katika Toleo la King James Version ya Agano la Kale na Jipya, ambayo wasomi waliiona kuwa imeongezwa katika karne za baadaye, iliondoshwa kutoka katika matini na kuwekwa katika tanbihi.

Kwa mfano, kifungu maarufu sana katika Injili ya Yohana 8:7 kinachohusu mzinzi aliyetakiwa kupigwa mawe. Inasemakana Yesu amesema: "Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe."

Tanbihi za Toleo la King James (1952) zinaeleza "Mamlaka za kale mno zinaondosha aya za 7:53 – 8:11"

Kwa kuwa mswada namba 1209 wa Vatikani na mswada wa Sinaitic ya tangu karne ya nne haina aya kumi na mbili hizo, wasomi wa Biblia wamefikia uamuzi wa kuwa maneno hayo hayatoki kwa Yesu.

Mfano mwingine ni kifungu kinachohusishwa na Yesu na kinachotumika kama ushahidi wa rejeo la Utatu katika Maandiko matakatifu. Katika 1 Yohana 5:7, Inasemakana Yesu amesema: "Kuna watatu wanaoshuhudia huko mbinguni, Baba, Neno na Roho Mtakatifu: na watatu hawa ni mmoja"

Msomi maarufu sana wa Biblia, Benjamin Wilson, anaandika kuwa; maandiko haya yanayohusu "ushahidi wa mbinguni" hayamo katika mswada wowote wa Kigiriki ulioandikwa kabla ya karne ya kumi na tano!

Kwa hiyo, katika Toleo la Biblia la Revised Standard Version, mstari huu umefutwa na kutolewa katika matini tena bila ya kuwekewa tanbihi.

Hata hivyo, ili kuwe na idadi ya mistari iliyosawa baina ya Toleo la Biblia la Revised Standard Version, na ile ya Toleo la Biblia la King James Version, warejeaji wameugawa mstari wa sita na kuwa mistari miwili.

Toleo la pili la tafsiri ya Agano Jipya (1971) limefaidika kwa tafiti za matini na isimu tangu lilipotolewa toleo la The Rivised Standard Version, kwanza lilitolewa mwaka 1946.

Kwa hiyo, baadhi ya vifungu vilivyofutwa zamani viliandikwa upya, na baadhi ya vifungu vilivyokubaliwa vilifutwa.

"Vifungu viwili, vya mwisho mrefu wa Marko (16:9-20) na kifungu cha mwanamke aliyekamatwa kwa uzinzi (Yohana 7:53 – 8:11), vilirejeshwa katika matini, zikitenganishwa kwa nafasi wazi na zikiambatana na nukuu za kauli taarifa…

Kukiwa na kuungwa mkono na miswada miwili, vifungu viwili, Luka 22:19b-20 na 24:51b, vilirejeshwa katika matini, na kifungu kimoja, Luka 22:43-44, kiliwekwa katika tanbihi, kama ni ibara katika Luka 12:39."
 
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. - 2:216. Keep going


Utunzi


Kwa mujibu wa wasomi wa Biblia, hata utunzi wa vitabu vya Agano la Kale na Injili zenyewe una mashaka.
 
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. - 2:216. Keep going


Torati

Vitabu vitano vya kwanza katika Biblia (Vitabu vya Musa) kimapokeo vinahusishwa na Mtume Musa, hata hivyo, kuna mistari mingi ndani ya vitabu hivi inayoashiria kuwa Mtume Musa hana uwezekano wa kuandika kila kitu kilichomo katika vitabu hivyo.

Kwa mfano, Kumbukumbu la Torati 34:5-8 inasema: "Basi Musa, mtumishi wa BWANA, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la BWANA. Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peroi; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo. Musa alikuwa mtu wa miaka mia na ishirini alipokufa; jicho lake halikupofuka, wala nguvu zake hazikupunguka. Wana wa Israeli wakamwombolezea Musa katika uwanda wa Moabu siku therathini; basi siku za maombolezo ya matanga ya Musa zikaisha."

Ni wazi kuwa mtu mwingine ameandika mistari hii inayohusu kifo cha Musa.

Baadhi ya wasomi wa Kikristo wamezifafanua hitilafu hizi kwa kupendekeza kuwa Musa ndiye aliyeandika vitabu vyake, lakini mitume ya baadaye pamoja na waandishi waliofunuliwa, wameweka nyongeza iliyotajwa hapo mbele.

Kwa hiyo, kwa mujibu wa wasomi hao, matini, kwa ukamilifu wake, inabakia kuwa ni Maandiko ya ufunuo wa Mungu.

Hata hivyo, ufafanuzi huu hauwezi kukubalika katika uchunguzi makini, kwa sababu mtindo na fasihi ya wahusika wa mistari iliyotomewa ni sawa sawa na ule wa matini iliyobakia.
 
Muhammad was a self appointed prophet of God. Apart from Muhammad's claim, there is no evidence whatsoever to support his prophethood.
Ndio sababu moja ya jambo ambalo muislam hatataka lifanyike ni kuhoji uhalali wa utume wa Muhammad.

Dkk 2 tu za mwanzo hutataka tena kuendelea kumwamini mtume🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Utunzi


Kwa mujibu wa wasomi wa Biblia, hata utunzi wa vitabu vya Agano la Kale na Injili zenyewe una mashaka.
Kazihoji kwanza kwenye qurani maana mlikopi bila kujuaKuhusu Maandiko yaliyotajwa ndani ya Quran.

Hii inathibitisha ulivyo mweupe kichwani. Hiyo yote unayoyakosoa le na kujifanya ni ya kutunga, ndiyo yalikopiwa na mbumbumbu wenzako wakaweka kwenye qurani. Waka filter yale yanayowabana wakaacha yanayowafaa kwa matakwa yao. Huna ujualo maana umekalilishwa tu madrasa

Quran inataja kuwa Allah aliteremsha maandiko/vitabu vifuatavyo kwa mataifa mbalimbali. Wao ni kama ifuatavy0

Maandiko ya Ibrahimu: "…Kisha tulikuwa tumewapa ukoo wa Ibrahim (Ibrahim) Kitabu (Kitabu) na Al-Hikmah (As-Sunnah – Wahyi wa Mwenyezi Mungu kwa wale Manabii wasioandikwa kwa sura ya kitabu), na tukawajaalia ufalme mkubwa. ” Quran 4:5

Zaburi za Daudi: “Na Mola wako Mlezi anawajua zaidi waliomo mbinguni na ardhini. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine, na tukampa Daudi Zabur kuliko Dawud. Quran 17:55

Torati: “Hakika tulimpa Musa Kitabu…” Quran 11:110

Injili: “Kisha tukawatuma Mitume wetu baada yao, na tukamtuma Isa (Yesu) mwana wa Maryam (Mariamu) na akampa Injili…” Quran 57:27

Wewe una akili sana kuliko Mohammed yule mentor wake allah????
 
Ndio sababu moja ya jambo ambalo muislam hatataka lifanyike ni kuhoji uhalali wa utume wa Muhammad.

Dkk 2 tu za mwanzo hutataka tena kuendelea kumwamini mtume🤣🤣
Muhammad impersonated God by fabricating revelations and then attributing them to God. These so-called revelations have permanently brainwashed and intellectually retarded the Muslims. It is no wonder Muslims are so backward.
 
Quran 6:61: “…na anawatuma juu yenu walinzi (Malaika wanaolinda na kuandika kila la kheri na baya) mpaka yanapomfikia mmoja wenu mauti, Mitume wetu (Malaika wa mauti na wasaidizi wake) huichukua nafsi yake, wala hawaachi wajibu wao. .”

Kutoka 23:20: “Mimi namtuma malaika aende mbele yako ili akulinde njiani na kukupeleka mpaka mahali pale nilipokutengezea


Quran 86:4: “Hakuna mwanaadamu ila ana mlinzi juu yake (yaani Malaika wanaomlinda kila mwanaadamu wakiandika matendo yake mema na mabaya)

Ufunuo 7:11: “Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na kuzunguka wale wazee na vile viumbe hai vinne. Wakaanguka kifudifudi mbele ya kile kiti cha enzi na kumwabudu Mungu.



Quran 42:5: …Malaika humutukuza [Mungu] kwa kumhimidi Mola wao Mlezi na omba msamaha kwa waliopo duniani..

Luka 15:10: …Malaika wa Mungu hufurahi kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja anayetubu


Quran 3:39: "Kisha Malaika wakamwita (Zakaria) akiwa amesimama katika Sala katika Al-Mihrab (sehemu ya kuswalia au chumba cha faragha), (wakasema): "Mwenyezi Mungu anakubashirieni Yahya (Yohana)..."

Luka 1: 11-13: Kisha malaika wa Bwana akamtokea, amesimama upande wa kuume wa madhabahu ya uvumba… Malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria; maombi yako yamesikiwa. Elisabeti mkeo atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Yohana
.

mkorinto
umeona ubunifu wa mtume wa myazi. Halafu mbumbumbu anakuja kuhoji uhalali wa injili.
 
Ulisoma shule ya ngumbaro ??
Yaani wakristo Wakatoliki waanzishe uislamu unaosema Yesu si Mungu , Yesu hakusulubiwa, Hakuna utatu Mtakatifu, Maria si mama wa Mungu ? Nani kakulisha matango pori yenye sumu ?
Pokea hiyo japo chungu.
 
Quran 6:61: “…na anawatuma juu yenu walinzi (Malaika wanaolinda na kuandika kila la kheri na baya) mpaka yanapomfikia mmoja wenu mauti, Mitume wetu (Malaika wa mauti na wasaidizi wake) huichukua nafsi yake, wala hawaachi wajibu wao. .”

Kutoka 23:20: “Mimi namtuma malaika aende mbele yako ili akulinde njiani na kukupeleka mpaka mahali pale nilipokutengezea


Quran 86:4: “Hakuna mwanaadamu ila ana mlinzi juu yake (yaani Malaika wanaomlinda kila mwanaadamu wakiandika matendo yake mema na mabaya)

Ufunuo 7:11: “Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na kuzunguka wale wazee na vile viumbe hai vinne. Wakaanguka kifudifudi mbele ya kile kiti cha enzi na kumwabudu Mungu.



Quran 42:5: …Malaika humutukuza [Mungu] kwa kumhimidi Mola wao Mlezi na omba msamaha kwa waliopo duniani..

Luka 15:10: …Malaika wa Mungu hufurahi kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja anayetubu


Quran 3:39: "Kisha Malaika wakamwita (Zakaria) akiwa amesimama katika Sala katika Al-Mihrab (sehemu ya kuswalia au chumba cha faragha), (wakasema): "Mwenyezi Mungu anakubashirieni Yahya (Yohana)..."

Luka 1: 11-13: Kisha malaika wa Bwana akamtokea, amesimama upande wa kuume wa madhabahu ya uvumba… Malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria; maombi yako yamesikiwa. Elisabeti mkeo atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Yohana
.

mkorinto
umeona ubunifu wa mtume wa myazi. Halafu mbumbumbu anakuja kuhoji uhalali wa injili.

hata unakijua hicho ulichokiandika ??
 
Kazihoji kwanza kwenye qurani maana mlikopi bila kujuaKuhusu Maandiko yaliyotajwa ndani ya Quran.

Hii inathibitisha ulivyo mweupe kichwani. Hiyo yote unayoyakosoa le na kujifanya ni ya kutunga, ndiyo yalikopiwa na mbumbumbu wenzako wakaweka kwenye qurani. Waka filter yale yanayowabana wakaacha yanayowafaa kwa matakwa yao. Huna ujualo maana umekalilishwa tu madrasa

Quran inataja kuwa Allah aliteremsha maandiko/vitabu vifuatavyo kwa mataifa mbalimbali. Wao ni kama ifuatavy0

Maandiko ya Ibrahimu: "…Kisha tulikuwa tumewapa ukoo wa Ibrahim (Ibrahim) Kitabu (Kitabu) na Al-Hikmah (As-Sunnah – Wahyi wa Mwenyezi Mungu kwa wale Manabii wasioandikwa kwa sura ya kitabu), na tukawajaalia ufalme mkubwa. ” Quran 4:5

Zaburi za Daudi: “Na Mola wako Mlezi anawajua zaidi waliomo mbinguni na ardhini. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine, na tukampa Daudi Zabur kuliko Dawud. Quran 17:55

Torati: “Hakika tulimpa Musa Kitabu…” Quran 11:110

Injili: “Kisha tukawatuma Mitume wetu baada yao, na tukamtuma Isa (Yesu) mwana wa Maryam (Mariamu) na akampa Injili…” Quran 57:27

Wewe una akili sana kuliko Mohammed yule mentor wake allah????


hayo maneno ya hao waliokuandikia biblia siye mimi au hujasoma ??
 
Pokea hiyo japo chungu.


pokea hii zawadi yako sio chungu ni tamu sana kwako

Ni nani walikuwa waandishi wa Biblia? Je, kweli walikuwa Manabii na Wanafunzi wa asili?

Ni wazi kwamba Kanisa lazima liwafahamu sana kwa vile wanaaminika kuwa walipata maongozi ya Mungu kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa kweli, hawana.

Kwa mfano, tutaona kwamba kila Injili huanza na utangulizi "Kulingana na....." kama vile "Injili ya Mathayo,"

"Injili ya Mtakatifu Luka,"

"Injili kulingana na Marko Mtakatifu; "

"Injili kulingana na Mtakatifu Yohana."

Hitimisho la wazi kwa mtu wa kawaida mitaani ni kwamba watu hawa wanajulikana kuwa waandishi wa vitabu vinavyohusishwa na wao.

Hii, hata hivyo sivyo. Kwa nini?

Kwa sababu hakuna nakala moja kati ya elfu nne zilizoidhinishwa inayobeba saini ya mwandishi wake.

Imekuwa tu kudhaniwa kwamba watu fulani walikuwa waandishi.

Uvumbuzi wa hivi majuzi, hata hivyo, unakanusha imani hii.

Hata uthibitisho wa ndani unaonyesha kwamba, kwa mfano, Mathayo hakuandika Injili iliyohusishwa naye:

“...Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, akamwona mtu, jina lake Mathayo, ameketi forodhani; ) akainuka, akamfuata (Yesu). (Mathayo 9:9)”

Je, "Mathayo" aliandika haya kuhusu yeye mwenyewe?

Kwa nini basi Mathayo hakuandika kwa mfano: “yeye (Yesu) aliniona, na jina langu ni Mathayo.

Ushahidi kama huo unaweza kupatikana katika sehemu nyingi katika Agano Jipya.

Kwa kweli, inaweza kuwa inawezekana kwamba mwandishi wakati mwingine anaweza kuandika katika nafsi ya tatu, bado, kwa kuzingatia ushahidi uliobaki ambao tutaona baadaye, kuna ushahidi mwingi sana dhidi ya dhana hii.
 
pokea hii zawadi yako sio chungu ni tamu sana kwako

Ni nani walikuwa waandishi wa Biblia? Je, kweli walikuwa Manabii na Wanafunzi wa asili?

Ni wazi kwamba Kanisa lazima liwafahamu sana kwa vile wanaaminika kuwa walipata maongozi ya Mungu kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa kweli, hawana.

Kwa mfano, tutaona kwamba kila Injili huanza na utangulizi "Kulingana na....." kama vile "Injili ya Mathayo,"

"Injili ya Mtakatifu Luka,"

"Injili kulingana na Marko Mtakatifu; "

"Injili kulingana na Mtakatifu Yohana."

Hitimisho la wazi kwa mtu wa kawaida mitaani ni kwamba watu hawa wanajulikana kuwa waandishi wa vitabu vinavyohusishwa na wao.

Hii, hata hivyo sivyo. Kwa nini?

Kwa sababu hakuna nakala moja kati ya elfu nne zilizoidhinishwa inayobeba saini ya mwandishi wake.

Imekuwa tu kudhaniwa kwamba watu fulani walikuwa waandishi.

Uvumbuzi wa hivi majuzi, hata hivyo, unakanusha imani hii.

Hata uthibitisho wa ndani unaonyesha kwamba, kwa mfano, Mathayo hakuandika Injili iliyohusishwa naye:

“...Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, akamwona mtu, jina lake Mathayo, ameketi forodhani; ) akainuka, akamfuata (Yesu). (Mathayo 9:9)”

Je, "Mathayo" aliandika haya kuhusu yeye mwenyewe?

Kwa nini basi Mathayo hakuandika kwa mfano: “yeye (Yesu) aliniona, na jina langu ni Mathayo.

Ushahidi kama huo unaweza kupatikana katika sehemu nyingi katika Agano Jipya.

Kwa kweli, inaweza kuwa inawezekana kwamba mwandishi wakati mwingine anaweza kuandika katika nafsi ya tatu, bado, kwa kuzingatia ushahidi uliobaki ambao tutaona baadaye, kuna ushahidi mwingi sana dhidi ya dhana hii.
Acha kupiga porojo kwa mambo usoyajua na ambayo yako juu ya uwezo wako. Kunywa maji ulegeze makali ya swaumu
 

Attachments

  • 5EB030C4-2779-44FC-B980-8F65D35473AD.jpeg
    5EB030C4-2779-44FC-B980-8F65D35473AD.jpeg
    27.1 KB · Views: 1
Acha kupiga porojo kwa mambo usoyajua na ambayo yako juu ya uwezo wako. Kunywa maji ulegeze makali ya swaumu

Tulia hata juisi tamu hujaionja , pokea na hii

Hebu tuangalie kwa undani zaidi kitabu kimoja tu cha Agano Jipya, kile cha 'Waebrania':

"Mwandishi wa Kitabu cha Waebrania hajulikani.

Martin Luther alihisi kwamba Apolo ndiye mwandishi ..

. Tertullian alisema kwamba Waebrania ilikuwa barua ya Barnaba ...

Adolf Harnack na J. Rendel Harris walikisia kwamba iliandikwa na Prisila (au Prisca).

William Ramsey alipendekeza kuwa ilifanywa na Filipo.

Hata hivyo, msimamo wa kimapokeo ni kwamba Mtume Paulo aliandika Waebrania...

Eusebius aliamini kwamba Paulo ndiye aliyeiandika, lakini Origen hakuwa wazi kuhusu uandishi wa Paulo."

source: Kutoka utangulizi wa Biblia ya King James, Toleo Jipya la sita lililorekebishwa na kusawazishwa, Masomo Muhimu ya Kiebrania/Kigiriki, Toleo la Barua Nyekundu. na kitabu kimoja cha Agano la Kale:

"Katika mapokeo, [Daudi] anahesabiwa kuwa ndiye aliyeandika Zaburi 73; wasomi wengi, hata hivyo, wanaona dai hili kuwa la kutiliwa shaka." source: Encarta Encyclopedia, chini ya "David"

Je, hivi ndivyo tunavyofafanua "kuongozwa na Mungu"?

Nilimuuliza mchungaji wa kanisa la mtaa katika kitongoji changu, juu ya injili gani iliyonukuliwa mara nyingi na kutumiwa, alijibu haraka, Injili ya Mtakatifu Yohana!

Hebu tuchunguze Matatizo ya Muktadha wa Injili ya Yohana -

Biblia asilia ilipotea!

Tazama maoni kutoka kwa Biblia ya NIV yenyewe. Hakuna aliyewahi kudai umiliki wa Injili za sasa. Wamiliki/waandishi hawajulikani.
 
Acha kupiga porojo kwa mambo usoyajua na ambayo yako juu ya uwezo wako. Kunywa maji ulegeze makali ya swaumu


Nakuwekea kwa kiengereza kutoka kwa wakristo wanaojuwa



1 John and Galatians forgeries:


Furthermore, we find even more alarming troubles with the Gospel of John itself. Since Christians believe that the writer of the gospel of John is the same one as the one who wrote 1 John, then it is important to point out the following absurdity in the authenticity of this gospel from its last and concluding chapter:


John 21:24-25

24 This is the disciple who testifies to these things and who wrote them down. We know that his testimony is true.

25 Jesus did many other things as well. If every one of them were written down, I suppose that even the whole world would not have room for the books that would be written.


"We know that his testimony is true"?!


Wasn't the disciple John the one who supposedly wrote the gospel of John?

How can he say about himself that "we know that his (the author) testimony is true"?!

Isn't this a clear and indisputable proof that the book was written by an unknown person?



The Gospel of 1 John:


Here is what the Bible's theologians and historians said about this gospel:


"....Unlike most NT letters, 1 John does not tell us who its author is. The earliest identification of him comes from the church fathers...(From the NIV Bible Commentary [1], page 1904)"


"The letter is difficult to date with precision....(From the NIV Bible Commentary [1], page 1905)"


1 John forgeries:


1 John forgeries by church fathers:

The lie of 1 John 5:7. This verse was later discovered to be a church forgery. The Roman Catholic Theologians don't believe in it, and it doesn't exist in their Bibles.

The same case where no author is really known exists in the Gospels of 2 and 3 John.
 
Back
Top Bottom