Unaokota matakataka kwenye Internet na kuyaweka bila kutumia akili. Unatupotezea muda na kujaza server za JF na pumba
Mpelekee Mchungaji wako, kamuulize , tuletee majibuHuyo hajui chochote zaid ya kucopy na kupaste hakuna mtu anayemda wa kusoma huo ujinga wake ambao anachukua kwa watu wengine
Nitakuja huko kwenye Huo uongo wa Yesu kufa msalabaniUkielewa jambo huitaji kutumia ma-article ya watu wengine kulielezea
Unatumia lugha nyepesi na fupi ukishaona huwezi klielezea jambo kwa lugha nyepesi na fupi hujalielewa umekariri
Kuifahamu biblia inahitajika neema kubwa sana ya Mungu mfano shetani hakujua Yesu atafukukua siku ya tatu na atamnyanganya fungua za uzima wa mauti
Kufa kwa Yesu kuliandikwa kwenye biblia lakin shetan hakuona huo mstari na hakuulewa
Laiti angefahamu maandiko angemlinda Yesu kwa gharama yote asife mslabani kwa sababu kufa kwa Yesu msalaban ni hasara kubwa sana shetani
Ndo kama huyo jamaa anafikiri kusoma biblia ndo kuijua
Unajua ukikuta muislam anashupaza shingo kwamba Yesu hakufa unasikitika kwamba hajui hii ina maana gani kwetu.
Ndio sababu hata mtume wao huwa tunamuona ni wakala wa shetani sababu,yuko nyuma ya agenda kubwa kabisa kinyume na ushindi wa wokovu wa msalaba.
Unajua ukikuta muislam anashupaza shingo kwamba Yesu hakufa unasikitika kwamba hajui hii ina maana gani kwetu.
Ndio sababu hata mtume wao huwa tunamuona ni wakala wa shetani sababu,yuko nyuma ya agenda kubwa kabisa kinyume na ushindi wa wokovu wa msalaba.
Yesu asingepita msalaban work done ilikuwa equal to zero
Watu wanadhan Yesu alikuja kufanya miujiza lile sio lengo bali ni kupita msalabani
Yesu asingepita msalaban work done ilikuwa equal to zero
Watu wanadhan Yesu alikuja kufanya miujiza lile sio lengo bali ni kupita msalabani
HakikaDini ya hakh ni moja tu nayo ni uislam😁😁
mwanaharamu hata ukifichwa kwenye chupa utatoa dole tu mradi uonekane
Unaenda kucopy na kupaste article za watu wengine ila sikushangai hata muhammad ali-copy na kupaste bibliaThe KEY question
Mark
But he was silent and made no answer. Again the high priest asked him, "Are you the Christ, the Son of the Blessed?"
And Jesus said, "I am; and you will see the Son of man seated at the right hand of Power, and coming with the clouds of heaven."
And the high priest tore his garments, and said, "Why do we still need witnesses? You have heard his blasphemy. What is your decision?"
And they all condemned him as deserving death. And some began to spit on him, and to cover his face, and to strike him, saying to him, "Prophesy!"
And the guards received him with blows.
Matthew
But Jesus was silent. And the high priest said to him, "I adjure you by the living God, tell us if you are the Christ, the Son of God."
Jesus said to him, "You have said so. But I tell you, hereafter you will see the Son of man seated at the right hand of Power, and coming on the clouds of heaven."
Then the high priest tore his robes, and said, "He has uttered blasphemy. Why do we still need witnesses? You have now heard his blasphemy. What is your judgment?"
They answered, "He deserves death." Then they spat in his face, and struck him; and some slapped him, saying, "Prophesy to us, you Christ! Who is it that struck you?"
Peek-a-boo
Luke
When day came, the assembly of the elders of the people, both chief priests and scribes, gathered together, and they brought him to their council.
They said, "If you are the Messiah, tell us."
He replied, "If I tell you, you will not believe; and if I question you, you will not answer. But from now on the Son of Man will be seated at the right hand of the power of God."
All of them asked, "Are you, then, the Son of God?"
He said to them, "You say that I am."
Then they said, "What further testimony do we need? We have heard it ourselves from his own lips!
John
Pilate said to them, "Take him yourselves and crucify him; I find no case against him."
The Jews answered him, "We have a law, and according to that law he ought to die because he has claimed to be the Son of God."
Not only was there no such law but blasphemy required stoning not crucifixion!
Mimi sinaga mda wa kuusoma huu upupu wako uli-copy na kupasteJesus lies to his apostles and lies as a sales pitch to get converts.
“Believe me that I am in the Father, and the Father in me: or else believe me for the very works' sake. Verily, verily, I say unto you, He that believeth on me, the works that I do shall he do also; and greater works than these shall he do; because I go unto my Father. And whatsoever ye shall ask in my name, that will I do, that the Father may be glorified in the Son. If ye shall ask any thing in my name, I will do it." (John 14: 11 – 14)
Jesus lies about his Second Coming:
“Verily I say unto you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.” (Matthew 16: 28)
Jesus lies about the amount of and power of faith:
“He replied, "Because you have so little faith. Truly I tell you, if you have faith as small as a mustard seed, you can say to this mountain, 'Move from here to there,' and it will move. Nothing will be impossible for you." (Matthew 17: 20)
Kwako wewe ni uongo usifikiri kwamba namda wa kusoma huo ujinga unao copy na kupaste kutoka kwa watu wengineNitakuja huko kwenye Huo uongo wa Yesu kufa msalabani
Jamaa ni mshamba mno yaani anaenda kucopy na kupaste huko kwenye mtandao eti ndo utetezi wake unajua ni vitukoUnaokota matakataka kwenye Internet na kuyaweka bila kutumia akili. Unatupotezea muda na kujaza server za JF na pumba
Huyu Jagina anakopi matakataka bila kuyaelewa na kuyaweka hapa. Kitu chenye ukweli hakihitaji maelezo mengi kama yeye anavyotujazia pumba hapa.Jamaa ni mshamba mno yaani anaenda kucopy na kupaste huko kwenye mtandao eti ndo utetezi wake unajua ni vituko
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. Surah 2:216Uislamu ni dini ya amani na upendo
Make war on them until idolatry is no more and Allah's religion reigns supreme. Surah- 8:39Uislamu na ugaidi ni mbali mbali
Ni mjinga sanaHuyu Jagina anakopi matakataka bila kuyaelewa na kuyaweka hapa. Kitu chenye ukweli hakihitaji maelezo mengi kama yeye anavyotujazia pumba hapa.
Sio nyingi bali ni chache zenye machafuko,nikama zilivyo nchi zenye wakirito wengi kuwapo mashoga wengi na wasagajiNchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.
Sisemi tu kwa sababu nasema bali nasema kwa sababu zipo nadharia nyingi zinazoonesha kuwa ni kweli maeneo hayo ukumbwa na matukio ya kigaidi ama Vita.
Hata Tanzania miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na tetesi za matukio ya kigaidi maeneo ya Kibiti na jirani na maeneo hayo ambayo kwa wingi ukaliwa na watu wa Dini ya uislamu kitendo kilichopelekea Jeshi la Tanzania kuwekeza nguvu huko Kibiti na kutokomeza ugaidi huo ambao ulikuwa umeanza kumea katika maeneo hayo ya pwani ya Tanzania. Hata kijana mmoja wa kitanzania mwenye mlengo wa Dini ya kiislamu aliwahi kukamatwa Kenya akitumikia kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab.
Ukiachilia mbali hayo, Duniani ukitamka neno ugaidi alafu ukasema tutajie dini yenye kuhusishwa na ugaidi moja kwa moja hata mtoto atakutajia Uislamu. Na hii ni kwa sababu Watu wote wanaokamatwa katika matukio hayo basi ujinasibu kama wanapigania Dini ama maslahi yao ya kidini. Ukiachilia mbali kupigania Dini au Maslahi ya Kidini. Nchi hizo hizo au maeneo hayo hayo yamekuwa yakikumbwa na Mapinduzi ya kijeshi na watu hao wakitaka kusimika dola la kiislamu.
Alikadharika maeneo hayo uwa yanakumbwa na vurugu za kivita za mara kwa mara.
Hapa Afrika ukitoa Congo DRC tu ambayo haina waislamu wengi, nchi nyingi zilizobaki zenye vita za mara kwa mara maeneo hayo yenye vita ukaliwa na waislamu kwa idadi kubwa.
Ukanda wote wa Sahel, yani kusini mwa mpaka wa jangwa la Sahara, nchi kama Sudan, Niger, Mali, Burkinafaso, Chad na nyinginezo na nchi zinazokumbwa na vikundi vya kigaidi mara kwa mara. Na ni nchi zenye uislamu mwingi na kama unavyoona zinapakana na nchi za waarabu wa kiafrika ambazo kwa asilimia 90 raia wa nchi hizo ni waislamu.
View attachment 2943395
Nigeria pia ni miongoni mwa nchi inayokumbwa na matukio ya kigaidi sana hususani Maeneo ya kaskazini ya nchi hiyo ambayo ukaliwa na waislamu wengi. Nchini Nigeria wakristo wengi wanapatikana Kusini katika majiji kama Lagos, na Abuja, na waislamu wengi upatikana maeneo ya Kaskazini mwa nchi ambayo mara nyingi majimbo ya Maeneo hayo uongozwa kwa Sheria za kiislamu, pia nadhani juzi kati katika mfungo wa ramadhani watu wa maeneo hayo walikamatwa kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani na waliadhibiwa. Maeneo hayo hayo ndio kituo cha Kundi la Boko Haram na vikundi vingine vya namna hiyo.
Tukiama barani Afrika tukaamia bara la Asia ukanda ya Middle East (Mashariki ya Kati) ambapo ndiko uislamu umeanzia huko ndiko kuna vikundi vingi vya kigaidi, na karibia kila nchi ina vikundi vyake. Nadhani wengi mnavifahamu vikundi kama Hamas kilichoishambulia Israel na kuteka na kuua watu katika tamasha la mziki, na kupeleka vita ambayo imeigharimu ardhi ya Palestina ukanda wa Gaza. Vilevile haikupita miezi mingi kuna kikundi kutoka Yemen nacho kinaitwa Hauthi kikaanza kulipa mashambulizi kwa kupiga meli zinazopita ukanda wa bahari ya sham bila kujali kuwa anaepigwa ni raia wa nchi gani.
Ukiachilia mzozo huo wa Israel na maadui zake, hakuna asiyejua kundi la kigaidi lenye mlengo wa kiislamu lililotikisa Dunia kwa matukio ya kutisha kwa kuchinja, kupiga risasi au kujitoa Mhanga. Hii ya kujitoa mhanga ikapelekea Waislamu hasa waliojifunika mwili mzima kuogopwa sana kuhisi labda wamebeba mabomu ya kujitoa mhanga. Chini ya Osama Bin Laden, kundi hili liliisumbua Dunia hasa Marekani kwa kuipa Jeraha lisilosahaulika la Septemba 11.
Kwa kifupi huko Middle East (Mashariki ya Kati) kuna vikundi vingi sana vya kigaidi, vingine vinakuwaga vimelala tu, vinakuwa (Inactive) lakini viko tayari kwa mashambulizi. Na vikundi hivi ndivyo vinafanya Dola za kiislamu zinaendelea kusimama na sheria kali za kiislamu zifatwe, mfano moja wapo ni Kundi la Taliban kutokea pale Afghanistan ambalo baada ya kushika dola tu likaweka sheria kali za kiislamu ikiwemo wanafunzi kusoma madarasa kwa kuzingatia jinsia mpaka chuo kikuu yani mtoto wa kike na wakiume kila mtu darasa lake.
Kundi jingine la Kigaidi ni kundi la ISIS yani Islamic State. Kundi hili juzi kati limekiri kupiga Tukio pale Russia kwa kumimina Risasi katika Mall moja pale Moscow kwenye tamasha la mziki na kuua watu zaidi ya 150 na kuchoma jengo kwa vilipuzi. Lakini Rais wa Russia Vladimir Putin hajawaacha salama, kawadaka watu kadhaa ambao wanahusika na tukio hilo ambao wengi wao wanasema wamekodiwa kutokea nchi ya Uturuki ambayo ni yenye mlengo wa kiislamu.
Kwa ufupi makundi haya ni mengi sana na yana uhusiano wa moja kwa moja, kwa sababu mengi yanakuwa na link au uhusiano.
Kwani ndugu zetu waislamu mnapokuwa mnafundishwa Dini uwa mnapewa maelezo gani yanayowatia baadhi yenu mioyo ya kikatili, kutaka kumwaga Damu?
Mimi sinaga mda wa kuusoma huu upupu wako uli-copy na kupaste
Usitumie nguvu nyingi kuniquote sisomagi
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. Surah 2:216
Let those fight in the cause of God who sell the life of this world for the hereafter. To him who fights in the cause of God, whether he is slain or victorious, soon we shall give him a great reward. - Surah 4:74
Make war on them until idolatry is no more and Allah's religion reigns supreme. Surah- 8:39
Whether unarmed or well-equipped, march on and fight for the cause of Allah, with your wealth and your persons. Surah - 9:41
"Love your enemies, bless them that curse you, do good to them that hate you, and pray for them which despitefully use you, and persecute you." – Matthew 5.44.
"Resist not evil: but whosoever shall smite thee on thy right cheek, turn to him the other also." – Matthew 5.39.
"Whoever believes and is baptized will be saved, but whoever does not believe will be damned"
– Mark 16.16