Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Umechelewa kujua hilo mkuu.
Total nutcase


HAKUNA aya hata moja ya Bibliainayomtaja mtu yeyote aliyeona sura ya Yesu hasa wakati akifa pale msalabani.

Yesu alidhaniwa tu kuwa ni Yesu aliyeuawa msalabani, lakini baada ya sikuchache Yesu huyo akaonekana yu hai, wala hakurudi kama pepo (ghost)! Kung'ang'aniakuwa ni Yesu aliyeuawa pale msalabani ni utani mgonjwa, hususan tukizingatia ushahidi wote huo hapo nyuma, vipofu na hata kuwafufua watu.

Kwa upandemwingine twaambiwa eti kumtesa Yesu kwa kumpiga, kumchoma kwa ncha kali,na kumpigilia misumari mtini eti ilitosha kumuuwa Yesu.

Hii haiingii akilini kimantiki labda kwa kuiamini tu kiupofu (blindly).

Isitoshe, Yesu angalisubuliwa kweli, ingekuweko aina moja tu ya msalaba aliouliwa.

Lakini Catholic Encyclopaedia peke yake ina aina 40 za misalaba.

Kwa sababu zisizo dhahiri,msalaba ule wa vipande viwili vinavyosigana yaani +, ndio umependelewa zaidi na Waingereza wakauita "Cross", ingawa neno la awali la msabalakwa Kigiriki ni "Stauros" ambalo halina dhana ya vipande viwili ila kimojatu. Biblia chche tu kama ile ya Mashahidi wa Yehova ndio imetaja waziwazi kuwa Yesu aliangikwa kwenye mti (stauros) na usulubisho kwao wao sio "cricifixion" bali "stafixion".

Dhehebu jingine limesemaYesu aliangikwa kwenye mti wenye umbo la T. Ke bado Wakristo wengine wanauabudu msalaba huo wa alama ya kujumlisha +.

Gazeti la Newsweek la Aprili 4, 1994 liandika: "Kifo cha Yesu - Fikra mpya za siku zake za mwisho". Limesema kuwa, kama Yesu kweli aliuliwa msalabani, basi lazima iweko aina moja tu ya msalaba.

Katika gazeti hilo hilo, Padri wa Kikatoliki Raymond Brown kaandika kitabu chake, "The Death of the Messiah (Kifocha Masihi)". Double day na wanaseminari wenziwe 2000 amesema kuwa hadithi za Yesu kuhusu kuhubiri, kuponya wagonjwa, kufanya miujiza, hizo zaweza kuwa kweli; lakini hadithi nyingine (kama ya kusulubiwa Yesu) hazina usahihi wa kihistoria (historical accuracy).

Hii anasema ni kwa sababu waandishi wote wa Injili hawakuwa mashahidi wa macho (eye witnesses) kushuhudia hata moja ya yale waliyoyaandika mnamo miaka 35-70 baada ya Kristo; na mpaka leo hatuna hakika ni nani hasa aliyeandika Injili zote hizo, ambazo kila inatofuatiana na yenzie.

Yesu asingekosa kutabiri kuuliwa kwake msalabani, akatabiri juu ya kuteswa tu:

"Mt 23:35 Hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habil, yule mwenye hakika hata ... Zakaria ... mliyemuua kati ya patakatifu".

"Lk 22:15 ... Nimetamani sana kula pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa"
 

View: https://youtu.be/Q2jrJI4lFpA?si=BTyvtylOGzNzuky9

Msikilize adui mkubwa wa uislam ulimwenguni akiwa kwenye 1/2😁


Yesu asingekosa kutabiri kuuliwa kwake msalabani, atabiri kuteswa tu

"Mt 23:35 Hivyo ni ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habil, yule mwenye haki, hata... Zekaria... mliyemuua kati ya patakatifu..."

"Mt 17:12 .. Vivyo hivyo mwana wa Adamu naye yuenda kutesa kwao". "Lk 22: 15... Nimetamani sana kula pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu". Hata baada ya huko"kusulubiwa" kwake, Yesu alitaja kuteswa kwake tu:

"Lk 24:25... Enyi msiofahamu...26: Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya ni kuingia katika utukufu wake?"

Jamani, na tujihadhari sana na utatanishi wa lugha ya Biblia. Hata aya anazosemewa Yesu kuwa kauawa huenda zimetiwa chumvi, kama Paulo alivyotia chumvi usemi wake wa mtu kufa(kwa maana ya kuteswa) kila leo, kama Biblia inavyoumbua:

"1Kor 15:31 ... Kwa huku kujisifu kwangu niliko nako juu yenu katika Kristo Bwana wetu, nimekufa kila siku".

Kwa hiyo kama kulikuwepo mpango wa kumuuwa Yesu, basi hakuujua na Mungu, akina Plato na kadhalika waliunda njama za kumuokoa na kifo cha laana cha msalabani, na ni dhahiri kabisa kwamba Yesu hakufa wala hakusulubiwa.
 
Yesu asingekosa kutabiri kuuliwa kwake msalabani, atabiri kuteswa tu

"Mt 23:35 Hivyo ni ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habil, yule mwenye haki, hata... Zekaria... mliyemuua kati ya patakatifu..."

"Mt 17:12 .. Vivyo hivyo mwana wa Adamu naye yuenda kutesa kwao". "Lk 22: 15... Nimetamani sana kula pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu". Hata baada ya huko"kusulubiwa" kwake, Yesu alitaja kuteswa kwake tu:

"Lk 24:25... Enyi msiofahamu...26: Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya ni kuingia katika utukufu wake?"

Jamani, na tujihadhari sana na utatanishi wa lugha ya Biblia. Hata aya anazosemewa Yesu kuwa kauawa huenda zimetiwa chumvi, kama Paulo alivyotia chumvi usemi wake wa mtu kufa(kwa maana ya kuteswa) kila leo, kama Biblia inavyoumbua:

"1Kor 15:31 ... Kwa huku kujisifu kwangu niliko nako juu yenu katika Kristo Bwana wetu, nimekufa kila siku".

Kwa hiyo kama kulikuwepo mpango wa kumuuwa Yesu, basi hakuujua na Mungu, akina Plato na kadhalika waliunda njama za kumuokoa na kifo cha laana cha msalabani, na ni dhahiri kabisa kwamba Yesu hakufa wala hakusulubiwa.

View: https://youtu.be/WArs3R0qI6I?si=-Uztt8Y45USo2nIa

Nyingine ngine hiyo kaka,pata elimu ya uislam kwa mapana yake.
 
Biblia yangu haimjui mtume wa mnyaazimngu.


Taarifa za kusulubiwaYesu katika Injili zote nne sio kweli kwa sababu zifuatazo:

Taarifa za Injili zinatafautiana mno, kama mifano michache hapa chini ionyeshayo:

Injili tatu zinasema Simoni ndiye aliyechukua msalaba wa Yesu (Mt 27:32; Mk 15:21-2; Lk 23:26); lakini Injili ya nne inasema Yesu aliubeba msalaba wake mwenyewe (Yn 19:17).

Mathayo yasema Yesu alipewa divai iliyochanganywa na nyongo akaionja na hakuinywa, Marko anasema Yesu hakuinywa, na Luka na Yohana wala hawalitaji tukio hilo.

Kuhusu saa aliposulubiwaYesu, Mathayo na Luka haiwaitaji kabisa, lakini Marko anasema ilikuwa ni saa tatu (Mk 15:25) na Yohana asema saa sita (Yn 19:14). Mathayo na asema ilipasuka kutoka juu hadi chini; na Luka sema ilipasuka kutoka upande hadi upande (horizontally), na ni Mathayo peke yake aliyearifu kuhusu matetemeko,kufunuka makaburi na miili kuinuka, miamba kupasuka.

Mathayo, Marko na Luka wanasema wanawake walisimama mbali na msalaba (Mt 27:55-6; Mk 15:40-1; Lk 23:49),lakini Yohana anasema walisimama jirani na msalaba (Yn 19:25). Yohana peke yake ndiye karipoti kuwa mamake Yesu naye alikuja kule msalabani. Pia Injili zatofautiana juu ya idadi ya wanawake hao.

Kuhusu giza, Mathayo, Marko na Luka wanasema lilitanda dunia nzima, lakini Yohana hataji kabisa na kadhalika.

Mifano iko zaidi ya 20 mingine,yote hii inazipinga aya ambazo hunukuu wakristo na kudai kuwa zinasema Yesu aliuliwa pale msalabani. Qur'an inasema wakristo hawana hakika,bali wanadhani tu.

Maneno haya ya kupingana namna hii kweli yote ni ya Mungu au ya waandishi wapotofu?
 

View: https://youtu.be/WArs3R0qI6I?si=-Uztt8Y45USo2nIa

Nyingine ngine hiyo kaka,pata elimu ya uislam kwa mapana yake.


Kuhusu itikadi ya "Dhambi ya asili (Original Sin) na Upatanishi (Atonement):

Hii nayo sio kweli, wala haingii akilini. Akili timamu inakataa kabisa nadharia hii ya Dhambi ya Asili na Kafara.

Kusema eti dhambi walioitenda wazazi wetu Adam (a.s.)na Hawa (r.a.) maelfu ya miaka iliyopita - dhambi hiyo imerithishwa kwakila mwanadamu hadi siku ya mwisho, kunapinga aya nyingi za Biblia na Qur'an zifuatazo:

"Kum 24:16 Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kilamtu auawe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe".

Aya ya 2 Fal 14:6, na 2 Nya25:4 zasema vivyo hivyo pia.

"Yer 31:30 Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe..."

"Eze 18:20 Roho itendayo dhambi ndio itakayokufa, mwana hatachukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanae, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na haki yake mwenye uovu itakuwa juu yake".

Hata Yesu mwenyewe kaipinga hii nadharia ya "Dhambi ya Asili" kwa kusema kuwa watoto wadogo hawana dhambi (Mt 18:2-4, 19:14; Mt 18:2)

Qur'an nayo imesisitiza kuwa kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe:

"17:15 Anayeongoka, basi anaongoka kwa maslahi ya nafsi yake mwenyewe, na anayepotea basi anapotea kwa hasara ya nafsi yake mwenyewe. Wala hatabeba mbebaji mzigo wa mwingine...".

"53:36 Au hakuambiwa yaliyomo katika vitabu vya Mussa? 37: na vya Ibrahimu aliyetimiza ahadi ya MwenyeziMungu? 38: Ya kwamba haichukui nafsi yeyote dhambi ya nafsi nyingine? 39:Na kwamba mtu hatapata ila yale aliyoyafanya 40: Na kwamba amali itaonekana.41: Kisha atalipwa malipo yaliyo kamili..."

Ukifika hapa, yanazuka masualimengine mengi tata kwamba: Je, Mariamu, mama wa Yesu naye anayo dhambiya kurithi au hana? Iwapo Mariamu anayo dhambi ya urithi kutoka kwa Adamuna Hawa, Yesu naye ameirithi hiyo dhambi kutoka kwa mzazi wake pekee Mariamu?

Hii ndio itikadi ya Dhambiya Asili aliyoizusha Mt. Paulo ili apate kuhalalisha itikadi yake nyingineya Fidia (Kafara, sadaka Cacrifice, Atonement) kwa njia pekee ya kufa Yesumsalabani (Rum 5:12-15, 1 Kor 15:22).
 
Kuhusu itikadi ya "Dhambi ya asili (Original Sin) na Upatanishi (Atonement):

Hii nayo sio kweli, wala haingii akilini. Akili timamu inakataa kabisa nadharia hii ya Dhambi ya Asili na Kafara.

Kusema eti dhambi walioitenda wazazi wetu Adam (a.s.)na Hawa (r.a.) maelfu ya miaka iliyopita - dhambi hiyo imerithishwa kwakila mwanadamu hadi siku ya mwisho, kunapinga aya nyingi za Biblia na Qur'an zifuatazo:

"Kum 24:16 Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kilamtu auawe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe".

Aya ya 2 Fal 14:6, na 2 Nya25:4 zasema vivyo hivyo pia.

"Yer 31:30 Bali kila mtu atakufa kwa sababu ya uovu wake mwenyewe..."

"Eze 18:20 Roho itendayo dhambi ndio itakayokufa, mwana hatachukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanae, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na haki yake mwenye uovu itakuwa juu yake".

Hata Yesu mwenyewe kaipinga hii nadharia ya "Dhambi ya Asili" kwa kusema kuwa watoto wadogo hawana dhambi (Mt 18:2-4, 19:14; Mt 18:2)

Qur'an nayo imesisitiza kuwa kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe:

"17:15 Anayeongoka, basi anaongoka kwa maslahi ya nafsi yake mwenyewe, na anayepotea basi anapotea kwa hasara ya nafsi yake mwenyewe. Wala hatabeba mbebaji mzigo wa mwingine...".

"53:36 Au hakuambiwa yaliyomo katika vitabu vya Mussa? 37: na vya Ibrahimu aliyetimiza ahadi ya MwenyeziMungu? 38: Ya kwamba haichukui nafsi yeyote dhambi ya nafsi nyingine? 39:Na kwamba mtu hatapata ila yale aliyoyafanya 40: Na kwamba amali itaonekana.41: Kisha atalipwa malipo yaliyo kamili..."

Ukifika hapa, yanazuka masualimengine mengi tata kwamba: Je, Mariamu, mama wa Yesu naye anayo dhambiya kurithi au hana? Iwapo Mariamu anayo dhambi ya urithi kutoka kwa Adamuna Hawa, Yesu naye ameirithi hiyo dhambi kutoka kwa mzazi wake pekee Mariamu?

Hii ndio itikadi ya Dhambiya Asili aliyoizusha Mt. Paulo ili apate kuhalalisha itikadi yake nyingineya Fidia (Kafara, sadaka Cacrifice, Atonement) kwa njia pekee ya kufa Yesumsalabani (Rum 5:12-15, 1 Kor 15:22).

View: https://youtu.be/V-6Q4x5YDAU?si=wiidj2dgE9Zpo5OG

Hii hapa sasa,CP kapata mbabe wake,kakalishwa vibaya.
 
Taarifa za kusulubiwaYesu katika Injili zote nne sio kweli kwa sababu zifuatazo:

Taarifa za Injili zinatafautiana mno, kama mifano michache hapa chini ionyeshayo:

Injili tatu zinasema Simoni ndiye aliyechukua msalaba wa Yesu (Mt 27:32; Mk 15:21-2; Lk 23:26); lakini Injili ya nne inasema Yesu aliubeba msalaba wake mwenyewe (Yn 19:17).

Mathayo yasema Yesu alipewa divai iliyochanganywa na nyongo akaionja na hakuinywa, Marko anasema Yesu hakuinywa, na Luka na Yohana wala hawalitaji tukio hilo.

Kuhusu saa aliposulubiwaYesu, Mathayo na Luka haiwaitaji kabisa, lakini Marko anasema ilikuwa ni saa tatu (Mk 15:25) na Yohana asema saa sita (Yn 19:14). Mathayo na asema ilipasuka kutoka juu hadi chini; na Luka sema ilipasuka kutoka upande hadi upande (horizontally), na ni Mathayo peke yake aliyearifu kuhusu matetemeko,kufunuka makaburi na miili kuinuka, miamba kupasuka.

Mathayo, Marko na Luka wanasema wanawake walisimama mbali na msalaba (Mt 27:55-6; Mk 15:40-1; Lk 23:49),lakini Yohana anasema walisimama jirani na msalaba (Yn 19:25). Yohana peke yake ndiye karipoti kuwa mamake Yesu naye alikuja kule msalabani. Pia Injili zatofautiana juu ya idadi ya wanawake hao.

Kuhusu giza, Mathayo, Marko na Luka wanasema lilitanda dunia nzima, lakini Yohana hataji kabisa na kadhalika.

Mifano iko zaidi ya 20 mingine,yote hii inazipinga aya ambazo hunukuu wakristo na kudai kuwa zinasema Yesu aliuliwa pale msalabani. Qur'an inasema wakristo hawana hakika,bali wanadhani tu.

Maneno haya ya kupingana namna hii kweli yote ni ya Mungu au ya waandishi wapotofu?
Hakuana muislam yeyote anayejua historia ya Yesu hata Allah hajui.

Quran ina historia ya mtuanayeitwa issah aliyezaliwa chini ya mtende.
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Hakuana muislam yeyote anayejua historia ya Yesu hata Allah hajui.

Quran ina historia ya mtuanayeitwa issah aliyezaliwa chini ya mtende.

What's in a Name?


The name Jesus is actually a 16th century creation.


"Jesus" has its origins in יהושוע (Yehoshua or Joshua) in which the first part "yeho" refers to God.

The name means "YHWH helps".

But it was a name to be used with care and to prevent accidental voicing of the name of God, Yehoshua got truncated to ישוע (Y'shua), or, in the Galilee, to Yeshu.


Transliterated into Greek, Yeshu became Ἰησοῦς (Iesous), and from that, the Latin Iesus.

A late development was the letter J which was then substituted for the initial capital I rendering Iesus into Jesus.
 
Hakuana muislam yeyote anayejua historia ya Yesu hata Allah hajui.

Quran ina historia ya mtuanayeitwa issah aliyezaliwa chini ya mtende.

Artificial


'The Jesus of the Gospels is an artificial creation, a collective work of art who evolved through the combined consciousness of two generations of Christian worship.'


– A. N. Wilson (Paul, p144)
 
Hakuana muislam yeyote anayejua historia ya Yesu hata Allah hajui.

Quran ina historia ya mtuanayeitwa issah aliyezaliwa chini ya mtende.

No Evidence


''Whether Jesus ever actually existed has long been debated. The argument (very well documented) is that there is absolutely no corroborating evidence of his existence in documents other than highly suspect Christian sources.'

– Riane Eisler (The Chalice & the Blade, p122)




Non-Christian Testimony?


Not even born in 30 AD:


Josephus – c 37 - c 100 AD
Tacitus – c 55 - c 117 AD
Suetonius – c 69 - 140 AD
 
Hakuana muislam yeyote anayejua historia ya Yesu hata Allah hajui.

Quran ina historia ya mtuanayeitwa issah aliyezaliwa chini ya mtende.



Born in a Stable?


manger.jpg



Was Jesus born in a stable? Or a barn? Or a cave?


Luke* says only a manger. There was no room for him in the kataluma ("inn" or guest room).


But Joseph supposedly had returned to his ancestral home, "the lineage of David". So the place should have been chock-full with his own relatives. And not one of them would accommodate a heavily pregnant woman? Tut-tut.


The reality is that the story of Jesus is enhanced by the "humble birth".


Early Christians were taken by the idea that he was, in fact, born in a cave. Can you get any more humble than that?


* Matthew, a tad more realistic, says, "And when they had come into the house ..." (2.11).



The Cave


bethlehem-cave.jpg



In the 4th century construction of the Christian dreamscape a church was built over a conveniently located cave in Bethlehem – over, that is, a cave previously consecrated to the worship of Adonis-Tammuz (Lord Tammuz).


A grander version of the church was built by emperor Justinian and much of it remains today, still featuring "the cave of the nativity".




Church Father offers evidence of Cave plus Manger


"With respect to the birth of Jesus in Bethlehem, if any one desires, after the prophecy of Micah and after the history recorded in the Gospels by the disciples of Jesus, to have additional evidence from other sources, let him know that, in conformity with the narrative in the Gospel regarding his birth, there is shown at Bethlehem the cave where he was born, and the manger in the cave where he was wrapped in swaddling-clothes."


– Origen. Contra Celsus, I, 51.
 
What's in a Name?


The name Jesus is actually a 16th century creation.


"Jesus" has its origins in יהושוע (Yehoshua or Joshua) in which the first part "yeho" refers to God.

The name means "YHWH helps".

But it was a name to be used with care and to prevent accidental voicing of the name of God, Yehoshua got truncated to ישוע (Y'shua), or, in the Galilee, to Yeshu.


Transliterated into Greek, Yeshu became Ἰησοῦς (Iesous), and from that, the Latin Iesus.

A late development was the letter J which was then substituted for the initial capital I rendering Iesus into Jesus.
Hakuna anayemjua Yesu sio Allah wala kibaraka wake Muhammad,
 
Born in a Stable?


manger.jpg



Was Jesus born in a stable? Or a barn? Or a cave?


Luke* says only a manger. There was no room for him in the kataluma ("inn" or guest room).


But Joseph supposedly had returned to his ancestral home, "the lineage of David". So the place should have been chock-full with his own relatives. And not one of them would accommodate a heavily pregnant woman? Tut-tut.


The reality is that the story of Jesus is enhanced by the "humble birth".


Early Christians were taken by the idea that he was, in fact, born in a cave. Can you get any more humble than that?


* Matthew, a tad more realistic, says, "And when they had come into the house ..." (2.11).



The Cave


bethlehem-cave.jpg



In the 4th century construction of the Christian dreamscape a church was built over a conveniently located cave in Bethlehem – over, that is, a cave previously consecrated to the worship of Adonis-Tammuz (Lord Tammuz).


A grander version of the church was built by emperor Justinian and much of it remains today, still featuring "the cave of the nativity".




Church Father offers evidence of Cave plus Manger


"With respect to the birth of Jesus in Bethlehem, if any one desires, after the prophecy of Micah and after the history recorded in the Gospels by the disciples of Jesus, to have additional evidence from other sources, let him know that, in conformity with the narrative in the Gospel regarding his birth, there is shown at Bethlehem the cave where he was born, and the manger in the cave where he was wrapped in swaddling-clothes."


– Origen. Contra Celsus, I, 51.

yaani unatuletea Shoga Christian Prince tumsikilize , kweli umekwisha au ndiye mchungaji wako??

I didn't feel the need to say 'I am gay'': Christian 'Prince' , reveals he never came out to his famous father ... and says he struggled with self-confidence for years​

😄😄shoga anayemfokoa mtume nje ndani🤣🤣

Huyu jamaa wala level za uchungaji hayupo,ila nakuhakikishia,elimu aliyo nayo juu ya uislam mwenyewe anakwamba hata Allah hagusi🤣🤣🤣

Waislam viazi kama wewe huwa wanajribu kumtetea Allah,wanaishia kutukana tu.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom