Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Chizi si huyu mliyemfanya kuwa ni mungu??

When his family heard about it, they set out to take charge of him, because people were saying, "He's gone mad!"

Mark 3:21
Ndiyo, Muddy alikuwa kichaa baada ya kushukiwa na rafiki yake kipenzi jini mahaba, akapotea kabisa na baada ya muda akarudi na kujifanya kapewa Qur'an na malaika kumbe ni jini ndiye aliyempa na ndiyo maana waislam wanaabudu sana majini na masheikh ufaÄŸa hao viumbe na kuwaabudu. Jiulizeni tu, hivi kwanini majini wanawashukia waislam tu?
 
Hii dini msingi wake ni mpinga Christo, ni dini ambayo asili yake damu. Uislamu sio dini ya kutoka rohoni, ni dini ya kulazimishana, yaani wao wanaamini katika mwili, kwamba ukitaka kukojoa upige magoti ndio utaenda peponi, kwamba ukitaka kula ule kwa mkono ndio utaenda peponi. Kwa ujumla uislam ni dini ya mwilini na hakuna mawasiliano ya kiroho. Kwa kifupi hata waislamu wenyewe hawapendi kuishi nchi za Kiislamu, ndio maana wengi wanakuwa huru wakiwa ulaya, Amerika au nchi yoyote isiyo ya Kiislam. Uislam ni upinga Christu, kwa kumpinga Yesu, daima watauwana
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Wewe kweli unayo akili uliyekimbia kwenu umekuja Dar es Salaam kwa waislamu wazaramo,. Mumeekewa Huo mji mkuu Dodoma kwenye hayo makanisa na Hakuna mtu anataka kwenda. Unafiki mtupu
💩💩💩 Wewe kweli bwabwa, Dar kwasasa wazaramo na waislam walishakimbia mji wanaishi huko porini Kibiti na Kisarawe... Dar imejaa wakristo wasomi wenye akili na uchumi...
 
  • Kicheko
Reactions: 511
💩💩💩 Wewe kweli bwabwa, Dar kwasasa wazaramo na waislam walishakimbia mji wanaishi huko porini Kibiti na Kisarawe... Dar imejaa wakristo wasomi wenye akili na uchumi...

hao wakristo walikimbia nini huko kwao kuliko kuzuri wakaja kwa waislamu kubaya ??
 
Hii dini msingi wake ni mpinga Christo, ni dini ambayo asili yake damu. Uislamu sio dini ya kutoka rohoni, ni dini ya kulazimishana, yaani wao wanaamini katika mwili, kwamba ukitaka kukojoa upige magoti ndio utaenda peponi, kwamba ukitaka kula ule kwa mkono ndio utaenda peponi. Kwa ujumla uislam ni dini ya mwilini na hakuna mawasiliano ya kiroho. Kwa kifupi hata waislamu wenyewe hawapendi kuishi nchi za Kiislamu, ndio maana wengi wanakuwa huru wakiwa ulaya, Amerika au nchi yoyote isiyo ya Kiislam. Uislam ni upinga Christu, kwa kumpinga Yesu, daima watauwana


Aya hiyo ni kutoka injili ya Nkobe ??
 
Ndiyo, Muddy alikuwa kichaa baada ya kushukiwa na rafiki yake kipenzi jini mahaba, akapotea kabisa na baada ya muda akarudi na kujifanya kapewa Qur'an na malaika kumbe ni jini ndiye aliyempa na ndiyo maana waislam wanaabudu sana majini na masheikh ufaÄŸa hao viumbe na kuwaabudu. Jiulizeni tu, hivi kwanini majini wanawashukia waislam tu?


Ndivyo isemavyo injili ya mbongo_halisi ??
 
Jibu swali kwanza usiweke hisia za kijinga mbele. Sawa mimi ni nguruwe, ila jiulize nani bora kati ya mimi nguruwe na Muddy mbakaji na mpenzi wa wake za watu pia mlaghai?


The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:

"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili.

Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi.

Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu.
 
hao wakristo walikimbia nini huko kwao kuliko kuzuri wakaja kwa waislamu kubaya ??
Wakristo ndio wafalme wa hii dunia popote ni kwao... Ndio maana sasahivi Zanzibar ina wakristo wenye nguvu kuliko nyie washamba mnaiga dini ya kipuuzi kutoka uarabuni...
Hapo ulipo maisha yako na ya wengine wote ni kwasabab wakristo wamejenga shule nzuri wamejenga hospital na huduma nyingine za kijamii na uchumi...
 
  • Thanks
Reactions: 511
Wakristo ndio wafalme wa hii dunia popote ni kwao... Ndio maana sasahivi Zanzibar ina wakristo wenye nguvu kuliko nyie washamba mnaiga dini ya kipuuzi kutoka uarabuni...
Hapo ulipo maisha yako na ya wengine wote ni kwasabab wakristo wamejenga shule nzuri wamejenga hospital na huduma nyingine za kijamii na uchumi...

Si ndio wakristo wakazikimbia hizo shule na hospitali huko mikoani wakakimbilia kwa waislamu kusiko shule Dar es Salaam au vipi?
 
Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.

Sisemi tu kwa sababu nasema bali nasema kwa sababu zipo nadharia nyingi zinazoonesha kuwa ni kweli maeneo hayo ukumbwa na matukio ya kigaidi ama Vita.

Hata Tanzania miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na tetesi za matukio ya kigaidi maeneo ya Kibiti na jirani na maeneo hayo ambayo kwa wingi ukaliwa na watu wa Dini ya uislamu kitendo kilichopelekea Jeshi la Tanzania kuwekeza nguvu huko Kibiti na kutokomeza ugaidi huo ambao ulikuwa umeanza kumea katika maeneo hayo ya pwani ya Tanzania. Hata kijana mmoja wa kitanzania mwenye mlengo wa Dini ya kiislamu aliwahi kukamatwa Kenya akitumikia kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab.

Ukiachilia mbali hayo, Duniani ukitamka neno ugaidi alafu ukasema tutajie dini yenye kuhusishwa na ugaidi moja kwa moja hata mtoto atakutajia Uislamu. Na hii ni kwa sababu Watu wote wanaokamatwa katika matukio hayo basi ujinasibu kama wanapigania Dini ama maslahi yao ya kidini. Ukiachilia mbali kupigania Dini au Maslahi ya Kidini. Nchi hizo hizo au maeneo hayo hayo yamekuwa yakikumbwa na Mapinduzi ya kijeshi na watu hao wakitaka kusimika dola la kiislamu.

Alikadharika maeneo hayo uwa yanakumbwa na vurugu za kivita za mara kwa mara.

Hapa Afrika ukitoa Congo DRC tu ambayo haina waislamu wengi, nchi nyingi zilizobaki zenye vita za mara kwa mara maeneo hayo yenye vita ukaliwa na waislamu kwa idadi kubwa.

Ukanda wote wa Sahel, yani kusini mwa mpaka wa jangwa la Sahara, nchi kama Sudan, Niger, Mali, Burkinafaso, Chad na nyinginezo na nchi zinazokumbwa na vikundi vya kigaidi mara kwa mara. Na ni nchi zenye uislamu mwingi na kama unavyoona zinapakana na nchi za waarabu wa kiafrika ambazo kwa asilimia 90 raia wa nchi hizo ni waislamu.
View attachment 2943395
Nigeria pia ni miongoni mwa nchi inayokumbwa na matukio ya kigaidi sana hususani Maeneo ya kaskazini ya nchi hiyo ambayo ukaliwa na waislamu wengi. Nchini Nigeria wakristo wengi wanapatikana Kusini katika majiji kama Lagos, na Abuja, na waislamu wengi upatikana maeneo ya Kaskazini mwa nchi ambayo mara nyingi majimbo ya Maeneo hayo uongozwa kwa Sheria za kiislamu, pia nadhani juzi kati katika mfungo wa ramadhani watu wa maeneo hayo walikamatwa kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani na waliadhibiwa. Maeneo hayo hayo ndio kituo cha Kundi la Boko Haram na vikundi vingine vya namna hiyo.

Tukiama barani Afrika tukaamia bara la Asia ukanda ya Middle East (Mashariki ya Kati) ambapo ndiko uislamu umeanzia huko ndiko kuna vikundi vingi vya kigaidi, na karibia kila nchi ina vikundi vyake. Nadhani wengi mnavifahamu vikundi kama Hamas kilichoishambulia Israel na kuteka na kuua watu katika tamasha la mziki, na kupeleka vita ambayo imeigharimu ardhi ya Palestina ukanda wa Gaza. Vilevile haikupita miezi mingi kuna kikundi kutoka Yemen nacho kinaitwa Hauthi kikaanza kulipa mashambulizi kwa kupiga meli zinazopita ukanda wa bahari ya sham bila kujali kuwa anaepigwa ni raia wa nchi gani.

Ukiachilia mzozo huo wa Israel na maadui zake, hakuna asiyejua kundi la kigaidi lenye mlengo wa kiislamu lililotikisa Dunia kwa matukio ya kutisha kwa kuchinja, kupiga risasi au kujitoa Mhanga. Hii ya kujitoa mhanga ikapelekea Waislamu hasa waliojifunika mwili mzima kuogopwa sana kuhisi labda wamebeba mabomu ya kujitoa mhanga. Chini ya Osama Bin Laden, kundi hili liliisumbua Dunia hasa Marekani kwa kuipa Jeraha lisilosahaulika la Septemba 11.

Kwa kifupi huko Middle East (Mashariki ya Kati) kuna vikundi vingi sana vya kigaidi, vingine vinakuwaga vimelala tu, vinakuwa (Inactive) lakini viko tayari kwa mashambulizi. Na vikundi hivi ndivyo vinafanya Dola za kiislamu zinaendelea kusimama na sheria kali za kiislamu zifatwe, mfano moja wapo ni Kundi la Taliban kutokea pale Afghanistan ambalo baada ya kushika dola tu likaweka sheria kali za kiislamu ikiwemo wanafunzi kusoma madarasa kwa kuzingatia jinsia mpaka chuo kikuu yani mtoto wa kike na wakiume kila mtu darasa lake.

Kundi jingine la Kigaidi ni kundi la ISIS yani Islamic State. Kundi hili juzi kati limekiri kupiga Tukio pale Russia kwa kumimina Risasi katika Mall moja pale Moscow kwenye tamasha la mziki na kuua watu zaidi ya 150 na kuchoma jengo kwa vilipuzi. Lakini Rais wa Russia Vladimir Putin hajawaacha salama, kawadaka watu kadhaa ambao wanahusika na tukio hilo ambao wengi wao wanasema wamekodiwa kutokea nchi ya Uturuki ambayo ni yenye mlengo wa kiislamu.

Kwa ufupi makundi haya ni mengi sana na yana uhusiano wa moja kwa moja, kwa sababu mengi yanakuwa na link au uhusiano.

Kwani ndugu zetu waislamu mnapokuwa mnafundishwa Dini uwa mnapewa maelezo gani yanayowatia baadhi yenu mioyo ya kikatili, kutaka kumwaga Damu?
Mti wenye matunda ndiyo wenye kupopolewa mawe.
 
The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:

"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili.

Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi.

Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu.
Hii ni kwa jailli ya waumini wanaoamini hizi dini za maboti, mimi inanihusu nini?
 
Back
Top Bottom