Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Wewe ndiyo Yesu akawaita Mbwa na nguruwe aliwajua tabia zenu kuraruwana
Jibu swali kwanza usiweke hisia za kijinga mbele. Sawa mimi ni nguruwe, ila jiulize nani bora kati ya mimi nguruwe na Muddy mbakaji na mpenzi wa wake za watu pia mlaghai?
 
Chizi si huyu mliyemfanya kuwa ni mungu??

When his family heard about it, they set out to take charge of him, because people were saying, "He's gone mad!"

Mark 3:21
Ndiyo, Muddy alikuwa kichaa baada ya kushukiwa na rafiki yake kipenzi jini mahaba, akapotea kabisa na baada ya muda akarudi na kujifanya kapewa Qur'an na malaika kumbe ni jini ndiye aliyempa na ndiyo maana waislam wanaabudu sana majini na masheikh ufağa hao viumbe na kuwaabudu. Jiulizeni tu, hivi kwanini majini wanawashukia waislam tu?
 
Hii dini msingi wake ni mpinga Christo, ni dini ambayo asili yake damu. Uislamu sio dini ya kutoka rohoni, ni dini ya kulazimishana, yaani wao wanaamini katika mwili, kwamba ukitaka kukojoa upige magoti ndio utaenda peponi, kwamba ukitaka kula ule kwa mkono ndio utaenda peponi. Kwa ujumla uislam ni dini ya mwilini na hakuna mawasiliano ya kiroho. Kwa kifupi hata waislamu wenyewe hawapendi kuishi nchi za Kiislamu, ndio maana wengi wanakuwa huru wakiwa ulaya, Amerika au nchi yoyote isiyo ya Kiislam. Uislam ni upinga Christu, kwa kumpinga Yesu, daima watauwana
 
Reactions: 511
Wewe kweli unayo akili uliyekimbia kwenu umekuja Dar es Salaam kwa waislamu wazaramo,. Mumeekewa Huo mji mkuu Dodoma kwenye hayo makanisa na Hakuna mtu anataka kwenda. Unafiki mtupu
💩💩💩 Wewe kweli bwabwa, Dar kwasasa wazaramo na waislam walishakimbia mji wanaishi huko porini Kibiti na Kisarawe... Dar imejaa wakristo wasomi wenye akili na uchumi...
 
Reactions: 511
💩💩💩 Wewe kweli bwabwa, Dar kwasasa wazaramo na waislam walishakimbia mji wanaishi huko porini Kibiti na Kisarawe... Dar imejaa wakristo wasomi wenye akili na uchumi...

hao wakristo walikimbia nini huko kwao kuliko kuzuri wakaja kwa waislamu kubaya ??
 


Aya hiyo ni kutoka injili ya Nkobe ??
 


Ndivyo isemavyo injili ya mbongo_halisi ??
 
Jibu swali kwanza usiweke hisia za kijinga mbele. Sawa mimi ni nguruwe, ila jiulize nani bora kati ya mimi nguruwe na Muddy mbakaji na mpenzi wa wake za watu pia mlaghai?


The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:

"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe." Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili.

Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi.

Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu.
 
hao wakristo walikimbia nini huko kwao kuliko kuzuri wakaja kwa waislamu kubaya ??
Wakristo ndio wafalme wa hii dunia popote ni kwao... Ndio maana sasahivi Zanzibar ina wakristo wenye nguvu kuliko nyie washamba mnaiga dini ya kipuuzi kutoka uarabuni...
Hapo ulipo maisha yako na ya wengine wote ni kwasabab wakristo wamejenga shule nzuri wamejenga hospital na huduma nyingine za kijamii na uchumi...
 
Reactions: 511

Si ndio wakristo wakazikimbia hizo shule na hospitali huko mikoani wakakimbilia kwa waislamu kusiko shule Dar es Salaam au vipi?
 
Mti wenye matunda ndiyo wenye kupopolewa mawe.
 
Hii ni kwa jailli ya waumini wanaoamini hizi dini za maboti, mimi inanihusu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…