Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Wewe jamaa ni mjinga sasa ngoja tukusaidie...

Mtaalamu mmoja wa mauaji alisema;
UKIUA MTU WEWE NI MUUAJI (ASSASSIN), UKIUA WATU WENGI WEWE NI GAIDI (TERRORIST), NA UKIUA KILA MTU WEWE NI MUNGU(GOD)

Kwa tafsiri ya huyo mhuni sasa hebu tusaidie Hitler aliua watu wengi sana enzi yake je yeye ni nani? Hivi kuna nchi wanatunguana kama Marekani, mpaka kila raia anamiliki bunduki kujilinda... Wale nao ni waislamu?

Vipi kuhusu Majeshi ya Marekani na Ulaya the so called NATO wanavyoua watu miaka na miaka kwenye nchi za wenzao, vipi majeshi ya UN na kulinda amani kwenye nchi za watu umewahi kujua namna wanavyoua watu humo?

Vipi machafuko ya kisiasa yanavyopelekea watu kufa makundi kwa makundi kwenye nchi mbalimbali zisizo na harufu hata ya huo uislamu?

Vipi Marekani alivyopiga watu bomu la nyuklia kule Japan... Oosh! Kumbe ile ni zamani, basi vipi Urusi na Ukraine kinachoendelea sasa hivi ni waislamu wamejazana kwenye hizo nchi?

Chukua muda wa kujielimisha usilishwe propaganda
 
Ndipo kilipo "KITI CHA ENZI" cha Shetani.
 

Tafsiri hiyo umeitoa wapi ??
 
Nishakupuuza ,sitokujibu na sijibu ukinitag kwenye upuuzi kama huu .

Nina kawaida ya kuwaepuka wajinga nakupa taarifa usije kujistukia unapuuzwa bila kujua sababu.

#Nimemaliza
 
Hujajibu swali

Hiyo ni lugha ya Biblia

Hapana,

Allah swt hajinasibishi kwa upande wowote wa Ubaba au Uzazi kwake, kinyume chake kabisa.

Allah swt anasema hazai wala hakuzaliwa na hakuna yeyote na hakuna anayefanana naye.

Kwa kuwa hazai , na hakuwa zao la uzazi hana jinsia yoyote kwa jinsi tunavyoifikiria.

Anakataa waziwazi dhana ya ubaba jinsi inavyoweza kumhusu.

Allah swt anatuambia kwamba uumbaji wa Yesu ulikuwa kama uumbaji wa Adam, jambo rahisi.

Anasema kwa kitu KIWE nacho huwa.
 
Nishakupuuza ,sitokujibu na sijibu ukinitag kwenye upuuzi kama huu .

Nina kawaida ya kuwaepuka wajinga nakupa taarifa usije kujistukia unapuuzwa bila kujua sababu.

#Nimemaliza
Oh my God Adriz mtu wangu wa nguvu dont facken get angry. Jibu hoja wewe utakosa janah na firdaus kizembe.

Jitafakari.
 
Reactions: 511
Hiloo. Allah alikuwa na mabinti watatu. Akiabudiwa na kina mudi wakia uchi wakiizunguka kaaba.

Hongera jitu jeus ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa mwarabu.
 
Reactions: 511
Hiloo. Allah alikuwa na mabinti watatu. Akiabudiwa na kina mudi wakia uchi wakiizunguka kaaba.

Hongera jitu jeus ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa mwarabu.

Hayo ni maongozi ya Roho mtakatifu wako , mimi sikuingilii mwache akuongoze huko
 
Hiloo. Allah alikuwa na mabinti watatu. Akiabudiwa na kina mudi wakia uchi wakiizunguka kaaba.

Hongera jitu jeus ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa mwarabu.
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Nchi za Chad, niger, mali,Mauritania, chanzo sio dini, ni ubeberu wa mkoloni ufaransa, sasa wananchi wameamua kuchukua nchi zao, kuhusu vikundi vya kigaidi, ni kwasbabu ya tawala mbovu za kifisadi,
Kwa, nchi kama nigeria, inawezekana vipi kikundi kidogo kama Boko Haram, kipo kwenye eneo Dogo kama chalinze, lakini, jeshi, la, nchi nzima linashindwa kukimaliza?
Wanapata siraha wapi? Kuna mkono wa mabeberu wanawapa siraha, na, kuna viongozi, ndani ya, ningeria wananufaika na bokoharam
 
Oh my God Adriz mtu wangu wa nguvu dont facken get angry. Jibu hoja wewe utakosa janah na firdaus kizembe.

Jitafakari.
Wewe ndio menitafsiri kama nina hasira ,ila Mimi siwezi kuwa na hasira na jambo ambalo sina control nalo kama vile ujinga na ubishi wa mtu. Nitakuwa mpuuzi niruhusu mtu aniWin kisakolojia ignorantly toka utotoni mtu hata anitukane vipi na anitanie kiasi gani mimi kwangu shega zaidi nitampuuza tu.

Kanuni ya kujiupusha na majadiliano yasiyo na mshindi wala kufuata misingi sahihi ya kujadiliana ndio kawaida yangu na wala sio sababu ya hasira kozi ukijiingiza kwenye majadiliano ya kipuuzi ninaweza kugeuka mpuuzi bila kujijua.
 
Waislam wanaamini ukipigana vita kwa ajili ya Allah basi unaenda mbinguni.

Ukristu unaamini kuwa Mungu anaweza pigana vita vyake mwenyewe
wadanganye vipofu wenzio


Luka 19:27 - BIBLIA KISWAHILI​

Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.
 
Una akili saana we jamaa
 
Wengi wanasingizia marekani ndo kaanzisha hivyo vikundi wakati huo huo wanakataa na kupinga vikali kuwa vatican ilianzisha dini ya uislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…