Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Mafuta..

NCHI NYINGI ZA ISLAM ZIMEBARIKIWA RASILIMALI YA MAFUTA.

KaziKwelikweli/JobTrueTrue
Acheni kupotosha.

Waislam wameanza kupigana wenyewe siku mtume wao alivokufa, mafuta yalikuwa hayajagunduliwa.


Mnaongea as if wameanza kupigana Mwaka 1900
 

Jesus the Triplet?


If there are 3 empty tombs is that evidence of 3 Jesuses?


Kinda makes you wonder, huh?


tomb4.jpg


Empty Tomb 1​


tomb3.jpg


Empty tomb 2​


tomb2.jpg


Empty tomb 3​

 
Waislam wanaamini ukipigana vita kwa ajili ya Allah basi unaenda mbinguni.

Ukristu unaamini kuwa Mungu anaweza pigana vita vyake mwenyewe
Ziko nchi nyingi zisizo za kiislamu zina vita,na wanauwanq na kuna ugaid wa hali ya juu.
1.Kongo vita ni kubwa sana
2.Urusi
3.Ukraine
4.Ireland ya kaskazini
5 Rwanda
6.Sudani ya kusini
7.Israel
8.Liberia
9 .Haiti
10.America yenyewe haijatulia
Hixo zote ni nchi za kiislamu?
 
Jesus does NOT love his own enemies


In the most famous utterances of all time, JC mouthed well-intentioned but disastrous bad advice:





Who are we kidding? Try telling that one to George Born Again Bush. Hating enemies, punishing wrong-doers, bringing retribution to the wicked are as natural and as necessary as daylight. Even Jesus does not heed his own advice, threatening those who don't believe in him with hell:





In any event, Christians have always in practice preferred the principle of "See that other guy's land? Let's go grab it!" And don't be fooled by all that "love your neighbour" stuff. Even the mythical Jesus Christ is no paragon of virtue!

Jesus the Triplet?


If there are 3 empty tombs is that evidence of 3 Jesuses?


Kinda makes you wonder, huh?


tomb4.jpg


Empty Tomb 1​


tomb3.jpg


Empty tomb 2​


tomb2.jpg


Empty tomb 3​

muhammad-married-aisha-when-she-was6-arabic-pedophilia-arabic-cartoon.jpg
 
Nchi nyingi zenye mlengo wa uislamu au majimbo mengi ya nchi yenye mlengo wa uislamu uwa ni kitovu cha ugaidi na maeneo hayo usifika kwa kuzalisha makundi mengi ya Kigaidi.

Sisemi tu kwa sababu nasema bali nasema kwa sababu zipo nadharia nyingi zinazoonesha kuwa ni kweli maeneo hayo ukumbwa na matukio ya kigaidi ama Vita.

Hata Tanzania miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na tetesi za matukio ya kigaidi maeneo ya Kibiti na jirani na maeneo hayo ambayo kwa wingi ukaliwa na watu wa Dini ya uislamu kitendo kilichopelekea Jeshi la Tanzania kuwekeza nguvu huko Kibiti na kutokomeza ugaidi huo ambao ulikuwa umeanza kumea katika maeneo hayo ya pwani ya Tanzania. Hata kijana mmoja wa kitanzania mwenye mlengo wa Dini ya kiislamu aliwahi kukamatwa Kenya akitumikia kikundi cha kigaidi cha Al-Shabab.

Ukiachilia mbali hayo, Duniani ukitamka neno ugaidi alafu ukasema tutajie dini yenye kuhusishwa na ugaidi moja kwa moja hata mtoto atakutajia Uislamu. Na hii ni kwa sababu Watu wote wanaokamatwa katika matukio hayo basi ujinasibu kama wanapigania Dini ama maslahi yao ya kidini. Ukiachilia mbali kupigania Dini au Maslahi ya Kidini. Nchi hizo hizo au maeneo hayo hayo yamekuwa yakikumbwa na Mapinduzi ya kijeshi na watu hao wakitaka kusimika dola la kiislamu.

Alikadharika maeneo hayo uwa yanakumbwa na vurugu za kivita za mara kwa mara.

Hapa Afrika ukitoa Congo DRC tu ambayo haina waislamu wengi, nchi nyingi zilizobaki zenye vita za mara kwa mara maeneo hayo yenye vita ukaliwa na waislamu kwa idadi kubwa.

Ukanda wote wa Sahel, yani kusini mwa mpaka wa jangwa la Sahara, nchi kama Sudan, Niger, Mali, Burkinafaso, Chad na nyinginezo na nchi zinazokumbwa na vikundi vya kigaidi mara kwa mara. Na ni nchi zenye uislamu mwingi na kama unavyoona zinapakana na nchi za waarabu wa kiafrika ambazo kwa asilimia 90 raia wa nchi hizo ni waislamu.
View attachment 2943395
Nigeria pia ni miongoni mwa nchi inayokumbwa na matukio ya kigaidi sana hususani Maeneo ya kaskazini ya nchi hiyo ambayo ukaliwa na waislamu wengi. Nchini Nigeria wakristo wengi wanapatikana Kusini katika majiji kama Lagos, na Abuja, na waislamu wengi upatikana maeneo ya Kaskazini mwa nchi ambayo mara nyingi majimbo ya Maeneo hayo uongozwa kwa Sheria za kiislamu, pia nadhani juzi kati katika mfungo wa ramadhani watu wa maeneo hayo walikamatwa kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani na waliadhibiwa. Maeneo hayo hayo ndio kituo cha Kundi la Boko Haram na vikundi vingine vya namna hiyo.

Tukiama barani Afrika tukaamia bara la Asia ukanda ya Middle East (Mashariki ya Kati) ambapo ndiko uislamu umeanzia huko ndiko kuna vikundi vingi vya kigaidi, na karibia kila nchi ina vikundi vyake. Nadhani wengi mnavifahamu vikundi kama Hamas kilichoishambulia Israel na kuteka na kuua watu katika tamasha la mziki, na kupeleka vita ambayo imeigharimu ardhi ya Palestina ukanda wa Gaza. Vilevile haikupita miezi mingi kuna kikundi kutoka Yemen nacho kinaitwa Hauthi kikaanza kulipa mashambulizi kwa kupiga meli zinazopita ukanda wa bahari ya sham bila kujali kuwa anaepigwa ni raia wa nchi gani.

Ukiachilia mzozo huo wa Israel na maadui zake, hakuna asiyejua kundi la kigaidi lenye mlengo wa kiislamu lililotikisa Dunia kwa matukio ya kutisha kwa kuchinja, kupiga risasi au kujitoa Mhanga. Hii ya kujitoa mhanga ikapelekea Waislamu hasa waliojifunika mwili mzima kuogopwa sana kuhisi labda wamebeba mabomu ya kujitoa mhanga. Chini ya Osama Bin Laden, kundi hili liliisumbua Dunia hasa Marekani kwa kuipa Jeraha lisilosahaulika la Septemba 11.

Kwa kifupi huko Middle East (Mashariki ya Kati) kuna vikundi vingi sana vya kigaidi, vingine vinakuwaga vimelala tu, vinakuwa (Inactive) lakini viko tayari kwa mashambulizi. Na vikundi hivi ndivyo vinafanya Dola za kiislamu zinaendelea kusimama na sheria kali za kiislamu zifatwe, mfano moja wapo ni Kundi la Taliban kutokea pale Afghanistan ambalo baada ya kushika dola tu likaweka sheria kali za kiislamu ikiwemo wanafunzi kusoma madarasa kwa kuzingatia jinsia mpaka chuo kikuu yani mtoto wa kike na wakiume kila mtu darasa lake.

Kundi jingine la Kigaidi ni kundi la ISIS yani Islamic State. Kundi hili juzi kati limekiri kupiga Tukio pale Russia kwa kumimina Risasi katika Mall moja pale Moscow kwenye tamasha la mziki na kuua watu zaidi ya 150 na kuchoma jengo kwa vilipuzi. Lakini Rais wa Russia Vladimir Putin hajawaacha salama, kawadaka watu kadhaa ambao wanahusika na tukio hilo ambao wengi wao wanasema wamekodiwa kutokea nchi ya Uturuki ambayo ni yenye mlengo wa kiislamu.

Kwa ufupi makundi haya ni mengi sana na yana uhusiano wa moja kwa moja, kwa sababu mengi yanakuwa na link au uhusiano.

Kwani ndugu zetu waislamu mnapokuwa mnafundishwa Dini uwa mnapewa maelezo gani yanayowatia baadhi yenu mioyo ya kikatili, kutaka kumwaga Damu?
Kwa sababu kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha Kati ya Uislam na Ugaidi.
 
KAFIRI NI MKRISTO MWENYE KUMUABDU BINADAMU MWENZIWE NA KUSEMA MUNGU ANA UTATU.
Kafiri ni yule asiyemtambua Yesu.
Hatuwaiti hivyo kwa utashi wetu bali ni MwenyeziMungu mwenyewe ndo kasema katika kitabu kitakatifu cha Quran 5:72-73
Usimhusishe Mungu na hii kitabu yenu ya pangoni.
QURAN 5:72-73

72. Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu!
Huu ndio ukafiri wenyewe sasa,aliokuja nao Muhammad Hell Be Upon hime.
Kuja kuukataa Uungu wa Yesu.
Na hali Masihi mwenyewe alisema:

Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi.
Muhammad hajazaliwa hapa anawapanga kuhusu kauli za Yesu.
Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni.
Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
Yesu ndio mwenye hukumu na pepo yake,wacheni huyu jamaa yenu aendelee kuwachota uzuzu.
TAFSIRI:

Wenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu yu katika Isa bin Maryam hata akawa yeye Mungu, kama wasemavyo Wakristo hii leo,

hakika wamekufuru! Yeye Isa hana dhambi ya haya, kwani hakupata kudai hivyo hata mara moja.
Issah huyo wa chini ya mtende.
Bali yeye aliwaamrisha Wana wa Israili wamsafie imani Mwenyezi Mungu peke yake kwa kusema:

Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye niumba mimi na nyinyi, na ndiye anaye niendeshea mambo yangu yote, na kwamba kila mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu malipo yake ni kuwa hatoingia Peponi kabisa,
bali ataingia Motoni, kwa kuwa amekiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu.
wa kwanza sheitwaaan na wa pili ni Muhammad,hawa wataongoza kuingia jehanam.
Na mwenye kuvunja mipaka yake hataepuka na adhabu.

NaYesu kasema: "Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28.

"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "

Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 )

73. Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja.
Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru
Muhammad hana la kutufundisha,yeye mwenyewe hajui hatma yake kafiri wa kwanza yule.
 





"Jewish" horned altar – for the god Serapis!


horned-altar-Serapis-Delos-.jpg



Greek island of Delos, centre of the Ionian Confederacy, 3rd century BC.





And for the god Yahweh?


"And Adonijah feared because of Solomon, and arose, and went, and caught hold on the horns of the altar."


– 1 Kings 1.50.
 
Acheni kupotosha.

Waislam wameanza kupigana wenyewe siku mtume wao alivokufa, mafuta yalikuwa hayajagunduliwa.


Mnaongea as if wameanza kupigana Mwaka 1900
1Nchi zenye vita
1.Kongo
2 Rwanda
3.Liberia
4 Haiti
5.Sudani ya kusini
6.Ireland ya kaskazini
7.ISRAEL
8.URUSI
9.Ukraine
10.Amerika yenyewe,haijatulia.
Hapo hakuna nchi hata moja ya kiislamu,wala yenye waislamu wengi.
 
Kafiri ni yule asiyemtambua Yesu.

Usimhusishe Mungu na hii kitabu yenu ya pangoni.

Huu ndio ukafiri wenyewe sasa,aliokuja nao Muhammad Hell Be Upon hime.
Kuja kuukataa Uungu wa Yesu.

Muhammad hajazaliwa hapa anawapanga kuhusu kauli za Yesu.

Yesu ndio mwenye hukumu na pepo yake,wacheni huyu jamaa yenu aendelee kuwachota uzuzu.

Issah huyo wa chini ya mtende.

wa kwanza sheitwaaan na wa pili ni Muhammad,hawa wataongoza kuingia jehanam.

Muhammad hana la kutufundisha,yeye mwenyewe hajui hatma yake kafiri wa kwanza yule.
Yesu huyu aliyeshindwa kujiokoa msalabani?Wakati Qur'an inasema hawakumuwa wala hawakumsulubu,,hamtaki,mwasema aliuliwa na kusulubiwa.
 
Kafiri ni yule asiyemtambua Yesu.

Usimhusishe Mungu na hii kitabu yenu ya pangoni.

Huu ndio ukafiri wenyewe sasa,aliokuja nao Muhammad Hell Be Upon hime.
Kuja kuukataa Uungu wa Yesu.

Muhammad hajazaliwa hapa anawapanga kuhusu kauli za Yesu.

Yesu ndio mwenye hukumu na pepo yake,wacheni huyu jamaa yenu aendelee kuwachota uzuzu.

Issah huyo wa chini ya mtende.

wa kwanza sheitwaaan na wa pili ni Muhammad,hawa wataongoza kuingia jehanam.

Muhammad hana la kutufundisha,yeye mwenyewe hajui hatma yake kafiri wa kwanza yule.


Biblia inasema kuwa ya kwanza katika Amri Kumi alizo pewa Musa ni: "Usiwe na miungu mingine ila mimi." - Kutoka 20"

Wewe umeonyeshwa haya, ili upate kujua ya kuwa Bwana ndiye Mungu, hapana ila yeye." -

Kumbukumbu la Torati 4.35.

Katika Injili ya Yohana 17.3

Yesu anamsemeza Mwenyezi Mungu: "Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.")

Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa hukumu hii tangu zamani, MAKAFIRI, waibadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana yeye aliye peke yake mola na Bwana wetu Yesu Kristo,

Kwahiyo tunawaita makafiri kwa sababu miongoni mwenu mnamwita Yesu kuwa ni Mungu, na miongoni mwenu mnasema kuwa Mungu ni wa tatu wa utatu.

YAANI WAKRISTO HEMU SOMENI Matendo 2:22-23


nataka aya isemayo ukristo ni dini ya haki, moja,

mbili nataka munipe aya isemayo yesu ni Mungu,

sharti yesu mwenyewe aseme mimi ni Mungu.
 
"Jewish" horned altar – for the god Serapis!


horned-altar-Serapis-Delos-.jpg



Greek island of Delos, centre of the Ionian Confederacy, 3rd century BC.





And for the god Yahweh?


"And Adonijah feared because of Solomon, and arose, and went, and caught hold on the horns of the altar."


– 1 Kings 1.50.
images(21).jpg
 


CNN in the Garden of Gethsemane?


Is it unreasonable to ask just who recorded not only one of the last prayers of the godman but also the last occasion when the "living" superhero was with his acolytes? The only possible witnesses were asleep.


'And he said, "Abba, Father, all things are possible unto thee; take away this cup from me: nevertheless not what I will, but what thou wilt."
And he cometh, and findeth them sleeping, and saith unto Peter, "Simon, sleepest thou? Couldest not thou watch one hour?
Watch ye and pray, lest ye enter into temptation. The spirit truly is ready, but the flesh is weak.
"
And again he went away, and prayed, and spake the same words.
And when he returned, he found them asleep again, (for their eyes were heavy,) neither wist they what to answer him.
And he cometh the third time, and saith unto them, "Sleep on now, and take your rest: it is enough, the hour is come; behold, the Son of man is betrayed into the hands of sinners."

Mark 14.36,41 (Matthew's version is almost identical, Luke has a shortened version and John omits the scene entirely.)


But of course as sacred theatre – a fabula praetexta – such paramulations back and forth and rhetorical declamations to an audience are precisely what we would expect.
 



PS: High Priest John kills his brother "Jesus" in the Temple!



Yet another Jesus was slain – in the holy temple no less – during the reign of Artaxerxes I of Persia (circa 465-424 BC). His brother John, the High Priest, did the dirty deed. Writes Josephus:


"When Eliashib the High Priest was dead, his son Judas succeeded in the high priesthood; and when he was dead, his son John took that dignity ...

Now Jesus was the brother of John, and was a friend of Bagoses, who had promised to procure him the High Priesthood. In confidence of whose support, Jesus quarreled with John in the Temple, and so provoked his brother, that in his anger his brother slew him.

Now it was a horrible thing for John, when he was High Priest, to perpetrate so great a crime, and so much the more horrible, that there never was so cruel and impious a thing done, neither by the Greeks nor Barbarians.

However, God did not neglect its punishment, but the people were on that very account enslaved, and the Temple was polluted by the Persians. ... Accordingly, Bagoses made use of this pretense, and punished the Jews seven years for the murder of Jesus."

– Josephus, Antiquities of the Jews - 11.7.
 



'Born under star' from soothsayer with talking donkey!


And if you've ever wondered where the "born under a star" nonsense began it actually comes from the mouth of an Arab wizard supposedly hired to curse the Israelites.


balaam.jpg


"And Balaam said unto the ass, Because thou hast mocked me: I would there were a sword in mine hand, for now would I kill thee.


And the ass said unto Balaam, Am not I thine ass, upon which thou hast ridden ever since I was thine unto this day? was I ever wont to do so unto thee? And he said, Nay."


– Numbers (22.29,30)


A little later Balaam utters the words wrenched out of context centuries later by Christian novelists:


"And Balaam said unto Balak ... there shall come a Star out of Jacob."


– Numbers (24.12,17)
 





In the Land of Nod


sleeping-disciples2.jpg



Disciples sleep, Jesus communes with God, so just who is taking notes?
 
Waislam wanaamini ukipigana vita kwa ajili ya Allah basi unaenda mbinguni.

Ukristu unaamini kuwa Mungu anaweza pigana vita vyake mwenyewe
Huwa wanakanusha mkuu zigo humwangushia Marekani ajabu misikitini huwa tunasikia harakati zao!
 
Umelaaniwa na yule taperi wenu mud.🤣
Muhammad aliwalaani watu kwa sababu ya hasira zake za haraka haraka (Sahih Muslim juzuu ya 4 kitabu cha 30 na.6297, uk.1373.)
Juzuu ipi unayoijua ?🤣🤣
 

Too strange to be a coincidence!


According to the Biblical account, Pilate offered the Jews the release of just one prisoner and the cursed race chose Barabbas rather than gentle Jesus.

But hold on a minute: in the original text studied by Origen (and in some recent ones) the chosen criminal was Jesus Barabbas – and Bar Abba in Aramaic means ‘Son of the Father’!

Are we to believe that Pilate had a Jesus, Son of God and a Jesus, Son of the Father in his prison at the same time??!!

Perhaps the truth is that a single executed criminal helped flesh out the whole fantastic fable.


Gospel writers, in scrambling details, used the Aramaic Barabbas knowing that few Latin or Greek speakers would know its meaning.
 
Biblia inasema kuwa ya kwanza katika Amri Kumi alizo pewa Musa ni: "Usiwe na miungu mingine ila mimi." - Kutoka 20"

Wewe umeonyeshwa haya, ili upate kujua ya kuwa Bwana ndiye Mungu, hapana ila yeye." -

Kumbukumbu la Torati 4.35.

Katika Injili ya Yohana 17.3

Yesu anamsemeza Mwenyezi Mungu: "Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.")

Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa hukumu hii tangu zamani, MAKAFIRI, waibadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana yeye aliye peke yake mola na Bwana wetu Yesu Kristo,

Kwahiyo tunawaita makafiri kwa sababu miongoni mwenu mnamwita Yesu kuwa ni Mungu, na miongoni mwenu mnasema kuwa Mungu ni wa tatu wa utatu.

YAANI WAKRISTO HEMU SOMENI Matendo 2:22-23


nataka aya isemayo ukristo ni dini ya haki, moja,

mbili nataka munipe aya isemayo yesu ni Mungu,

sharti yesu mwenyewe aseme mimi ni Mungu.
Akikupa niite
 
images(30).jpg

PS: High Priest John kills his brother "Jesus" in the Temple!


Yet another Jesus was slain – in the holy temple no less – during the reign of Artaxerxes I of Persia (circa 465-424 BC). His brother John, the High Priest, did the dirty deed. Writes Josephus:
 
Back
Top Bottom