Kwanini nchi ya Burundi inapenda sana 'Kujibebisha' kwa Tanzania tofauti na Rwanda inayopambana yenyewe Kimafanikio?

Kwanini nchi ya Burundi inapenda sana 'Kujibebisha' kwa Tanzania tofauti na Rwanda inayopambana yenyewe Kimafanikio?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
 
Umezunguuuuuka mwishoni umemaliza na kuisifia Rwanda km kawaida yako

Burundi ni watoto wetu wacha 'wajibebishe' ..alafu hao Rwanda unaowatukuza Wana uchumi wa maana siku wakiacha kuiba madini ktk ardhi ya kubwa jinga Congo wanabaki kuwa masikini km Burundi tu
 
Kwa jinsi nchi ya Burundi inavyopenda Kujipendekeza na 'Kujibebisha' kwa Tanzania huwa nawaza ingekuwa ni Mwanamke basi angebanduliwa na Kuzalishwa mno na Wanaume wa Kitanzania.

Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Burundi ndio rafiki wa kweli wa Tanzania.
 
Kwa jinsi nchi ya Burundi inavyopenda Kujipendekeza na 'Kujibebisha' kwa Tanzania huwa nawaza ingekuwa ni Mwanamke basi angebanduliwa na Kuzalishwa mno na Wanaume wa Kitanzania.

Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Ukweli mtupu, wenyewe wanaamini kuna warundi wengi ndani ya serikali, na ukitaka kujuwa hili anza na Airport ya Dar sijui ndio Lugha au nini??
 
Watutsi wanywa damu wanaitaka burundi kwa hali mali ili wazidi kujitanua ndoto yao ya bahima empire,na burundi hilo washalijua maana wanaona wanacjofanyiwa wahutu wa rwanda na wanywa damu so mdogo wa burundi kajiegemeza kwetu ili asiguswe na hao wanywa damu
 
CAF hawaruhusu timu za Taifa kucheza kwenye viwanja visivyokidhi vigezo vyao. Nadhani hata huo uwanja wa Burundi umekosa vigezo vyao CAF kwa timu za Taifa. Kama Niger walivyotypeleka Benin. Au Liberia wanavyochezea mechi zao Morroco. Namibia wanachezea South Africa , Mozambique South Africa pia
 
Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Leo umekojolewa mara ngapi na Kagame?
 
Tanzania ndio imeweka serikali Burundi, DRC, Rwanda na Uganda. Inatawala kote huko. Anayebishabisha ni huyu Kenya.
 
Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Kwani we hujui kagame aliandaa mapinduzi,akampindua nkurunzinza kwa kumtumia majo niyombare,lakini jakaya akamrudisha nkurunzinza kwa nguvu?
 
I wish siku moja kwenda Burundi kutalii! Hawa ndiyo ndugu zetu wa damu.

Kiukweli raia wa Burundi wanaipenda sana Tanzania na watu wake, kiasi cha Watanganyika kushawishika kuwapenda pia.

Siyo watu wa majivuno, kujimwambafai, na kudemka kama ilivyo kwa Wazanzibari, Wakenya, na Wanyarwanda! Kwa mbaali Warundi wanafuatiwa na Waganda na Wacongomani kwa kuwa na mahusiano mazuri na Watanzania (Watanganyika)

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki Burundi, Mungu ibariki Uganda, Mungi ibariki DRC!

Zanzibar, Kenya, na Rwanda ✖️
 
Back
Top Bottom