Kwanini nchi ya Burundi inapenda sana 'Kujibebisha' kwa Tanzania tofauti na Rwanda inayopambana yenyewe Kimafanikio?

Kwanini nchi ya Burundi inapenda sana 'Kujibebisha' kwa Tanzania tofauti na Rwanda inayopambana yenyewe Kimafanikio?

CAF hawaruhusu timu za Taifa kucheza kwenye viwanja visivyokidhi vigezo vyao. Nadhani hata huo uwanja wa Burundi umekosa vigezo vyao CAF kwa timu za Taifa. Kama Niger walivyotypeleka Benin. Au Liberia wanavyochezea mechi zao Morroco. Namibia wanachezea South Africa , Mozambique South Africa pia
Hii ndio hoja ya msingi.
 
Mkuu kinachoibeba Rwanda ni geographical position yake basi hakuna kingine
 
I wish siku moja kwenda Burundi kutalii! Hawa ndiyo ndugu zetu wa damu.

Kiukweli raia wa Burundi wanaipenda sana Tanzania na watu wake, kiasi cha Watanganyika kushawishika kuwapenda pia.

Siyo watu wa majivuno, kujimwambafai, na kudemka kama ilivyo kwa Wazanzibari, Wakenya, na Wanyarwanda! Kwa mbaali Warundi wanafuatiwa na Waganda na Wacongomani kwa kuwa na mahusiano mazuri na Watanzania (Watanganyika)

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki Burundi, Mungu ibariki Uganda, Mungi ibariki DRC!

Zanzibar, Kenya, na Rwanda ✖️
Bob mkenya ukikutana nae abroard ni poa zaidi ya ukikutana na mzenj hasa mwenye asili ya pemba,
 
kiwanja cha Burundi hakijafuzu vigezo vya CAF ndio maana wameleta mechi DSM kama walivyo fanya Niger kwenda Cotonou. Wewe jamaa huwaga hupendi kufikiri.

Hili jamaa ni zwazwa no1 humu JF. Hii hapa RT ya bwana'ke Kagame:

 
Mshikaji mpuuzi kweli! unaweza kuta ni Mnyarwanda anatengeneza fitna humu ndani!
Hili jamaa nimeshalistukia.Lina agenda ya kuleta chuki zisizo na msingi.
Limekuwa likijiita jitu la Mara.Mara hakuna watu wajinga wajinga kama hili jamaa.
Watanzania hatujazoea roho mbaya kama hizo.
Usituletee utamaduni wa kigeni hapa,acha tuishi kwa upendo na majirani zetu
 
Rwanda ni nchi ndogo na maskini haina rasilimali bali ina majigambo tu. DR Congo wakilinda mipaka kikamilifu waasi wasiingie , Rwanda itanyauka na kutembeza bakuli
 
Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Rwanda ni waizi wa madini ya DRC, sasa kheri chako cha halali kuliko kukwiba vya watu ...Dunia nzima inajua

Alafu mnatumia Genocide kama tourism attraction kitu ambacho sio poa,
 
Rwanda ni waizi wa madini ya DRC, sasa kheri chako cha halali kuliko kukwiba vya watu ...Dunia nzima inajua

Alafu mnatumia Genocide kama tourism attraction kitu ambacho sio poa,
Kazaneni Kwanza kuwafanya Wananchi wenu wawe na Akili Kubwa kama za Watutsi wa Rwanda.

Na hatujaisha tu kuiba ( kupora ) Mali za Congo DR bali hata nchini Kwako tumejazana tele na hasa katika 'Systems' zenu za Makao Oysterbay na iliyokuwa Makao Upanga. Jitusuni kutuchokoza muone kama hamjawa sehemu ya Rwanda. Tena tunawatamani kweli kweli ili tuwanyoosheni vizuri.
 
..alafu hao Rwanda unaowatukuza Wana uchumi wa maana siku wakiacha kuiba madini ktk ardhi ya kubwa jinga Congo wanabaki kuwa masikini km Burundi tu
Pale wamejimilikisha utajiri wa Congo wanafanya wanavyopenda. Ndiyo maana kutwa wanapigana na Waganda ndani ya nchi wa watu.
 
Wanajikutaga waarabu sio waAfrica kabisa full kushobokea waarabu huko nje afu waarabu wenyewe wanawaona kama takataka hahahaha
Na nyinyi hamuna raha kwa Wazenji, kwani wakijifanya waarabu si muwaache waendelee na shughuli zao?
 
Kazaneni Kwanza kuwafanya Wananchi wenu wawe na Akili Kubwa kama za Watutsi wa Rwanda.

Na hatujaisha tu kuiba ( kupora ) Mali za Congo DR bali hata nchini Kwako tumejazana tele na hasa katika 'Systems' zenu za Makao Oysterbay na iliyokuwa Makao Upanga. Jitusuni kutuchokoza muone kama hamjawa sehemu ya Rwanda. Tena tunawatamani kweli kweli ili tuwanyoosheni vizuri.
Mh vima
 
... Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) ... Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Kwa taarifa yako, Rwanda jana wameutumia uwanja wa Abdoulaye Wade jijini Dakar, Senegal kucheza na hao hao Senegal. Sasa sijui yupi ni afadhali, anayecheza na mgeni wake kwa huyo mgeni au anayecheza na mgeni kwa jirani yake. Nadhani huu uzi uliuanzisha ukiwa haujui kwamba Rwanda vs Senegal imepigwa Dakar, na Senegal vs Rwanda itapigwa Dakar
 
Kwa taarifa yako, Rwanda jana wameutumia uwanja wa Abdoulaye Wade jijini Dakar, Senegal kucheza na hao hao Senegal. Sasa sijui yupi ni afadhali, anayecheza na mgeni wake kwa huyo mgeni au anayecheza na mgeni kwa jirani yake. Nadhani huu uzi uliuanzisha ukiwa haujui kwamba Rwanda vs Senegal imepigwa Dakar, na Senegal vs Rwanda itapigwa Dakar
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20220608-105001.jpg
 
Back
Top Bottom