Kwanini nchi ya Burundi inapenda sana 'Kujibebisha' kwa Tanzania tofauti na Rwanda inayopambana yenyewe Kimafanikio?

Kwanini nchi ya Burundi inapenda sana 'Kujibebisha' kwa Tanzania tofauti na Rwanda inayopambana yenyewe Kimafanikio?

Hiyo inaeleweka kabisa maana hata Burundi nao wanazo sababu za msingi za kuhamishia Dar. Hoja hapa ni kwamba, ipi ni afadhali, Rwanda au Burundi? Kucheza kwa mpinzani wako au kucheza kwa jirani yako?
[emoji1][emoji1] sababu Kama zipi?
 
Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Sababu ya Burundi kujibebisha kwa Tanzania ni kama yako tu wewe kujiita mtanzania wakati kwenu ni Rwanda nako nikujibenisha pia vilevile kwa Tanzania.
 
KIBU DENIS tumepewa na Burundi for free acheze stars....jamaa akili nying znamsumbua
 
Kwani kuna shida gani,wewe mbona unapita kwenye uwanja wa jirani ukienda kwako? Au na wao wajenge ukuta hapo usipite
 
Tuna special relationship, sawa na US na UK
 
Rwanda ni waizi wa madini ya DRC, sasa kheri chako cha halali kuliko kukwiba vya watu ...Dunia nzima inajua

Alafu mnatumia Genocide kama tourism attraction kitu ambacho sio poa,
Rwanda wanashirikiana na mossad kuiba madini huko DRC
 
Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?

Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?

Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?

Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Burundi sio watu wa visasi kama wale wanyarwanda, Tanzania tunawapenda Burundi nao wanatupenda, hivyo tunapendana sana, Rwanda ni nyoka
 
Back
Top Bottom