SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kabila moja na Cyprian MusibaHana unyarwanda wowte ni mjita wa mara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabila moja na Cyprian MusibaHana unyarwanda wowte ni mjita wa mara
SawiaKabila moja na Cyprian Musiba
[emoji1][emoji1] sababu Kama zipi?Hiyo inaeleweka kabisa maana hata Burundi nao wanazo sababu za msingi za kuhamishia Dar. Hoja hapa ni kwamba, ipi ni afadhali, Rwanda au Burundi? Kucheza kwa mpinzani wako au kucheza kwa jirani yako?
Wajita wengi wao wajinga wajingaHana unyarwanda wowte ni mjita wa mara
Sababu ya Burundi kujibebisha kwa Tanzania ni kama yako tu wewe kujiita mtanzania wakati kwenu ni Rwanda nako nikujibenisha pia vilevile kwa Tanzania.Kwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?
Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?
Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?
Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Rwanda wanashirikiana na mossad kuiba madini huko DRCRwanda ni waizi wa madini ya DRC, sasa kheri chako cha halali kuliko kukwiba vya watu ...Dunia nzima inajua
Alafu mnatumia Genocide kama tourism attraction kitu ambacho sio poa,
Uwanja wao haujakidhi vigezo vya CAF[emoji1][emoji1] sababu Kama zipi?
Burundi sio watu wa visasi kama wale wanyarwanda, Tanzania tunawapenda Burundi nao wanatupenda, hivyo tunapendana sana, Rwanda ni nyokaKwa mfano Burundi ina Uwanja wake wa Mpira tena mzuri tu kilichowafanya waihamishe hiyo Mechi ya kuwania kufuzu AFCON 2023 Ivory Coast kutoka Bujumbura Kwao kuja Kwetu Tanzania ni nini?
Na ni kwanini kila Kitu Burundi ( hasa Serikali yao ) ikifanya au ikiamua tu ni lazima ama Waiige Tanzania au waje kabisa kuonana na Rais?
Mbona nchi ya Rwanda ( tena Majirani zao kabisa ) nao walipitia 'same challenges' za 1994 Genocide lakini huwa hata hawana Shobo wala Ngendembwe na Tanzania na Watanzania na tena ndiyo Wamepambana na Wanapambana wenyewe huku Wakiwa na Maendeleo ambayo hata Tanzania inayotamaniwa kila mara na Burundi haina na wapo wapo 'Wanademadema' na Filamu yao yenye Hatimiliki ya Mzungu ( CNN Producer ) Mzee?
Hongereni sana tu Wanyarwanda.
Na wale march 23 nadikia wamepiga kambi ya monusco......Rwanda wanashirikiana na mossad kuiba madini huko DRC