#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021.

Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days

Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid.

Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Japan wametangaza WIMBI LA TANO [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]good for them because they're always ahead of time.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuoni wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.

Barakoa wanatumia watu wachache sana.

Vitakasa mikono huvioni kama zamani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder na kwenye mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa Tanzania.

Imagine MAMA juzi kasema Tanzania kuna wagonjwa 100 tu wa Corona.

100/50,000,000 = 0.0002% decimal round off equal to 0.000 or 2×10^-4 [emoji28][emoji28][emoji28]

Disco kama kawa, Mwendokasi kama kawa, Nyumba za Ibada kama kawa full nyomi. Daladala nyakati za asubuhi na jioni tunashonana kama kawa.

Kwa kuudhihirishia ulimwengu Bongo KORONA HAIPO WAJE KWA MKAPA 03.07.2021 washangae. Tunacheki game bila BARAKOA halafu tunaenda home kulala kiroho safi[emoji28][emoji28]

CORONA TZ HAMNA!

Kama mnataka fedha za COVAX fine, ila MSITUTISHE!

KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.

===

Chanjo tunazopewa sasa bure ni weak and wao wenyewe hawazitumii ni kwa ajili ya kufubaza kinga zetu za asili ili the so called "NEXT WAVE" ikija tupukutike kama kuku wa mdondo and THEN CHANJO HALISI ZITAKUWA VERY EXPENSIVE.

HAPO NDIO TUTAKAPOPIGWA PESA MAANA ITAKUWA[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

BUY IT OR DIE!

Wake up guys, hujiulizi kwanini tunabembelezwa kuchanjwa?

Mzigo ushawasili Bongo kazi kwenuView attachment 1837452


==========================
Updates

Ujinga qa wazungu huu hapa

[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 1882432View attachment 1882433
 
Na ile taarifa iliyotolewa juzi katika kituo kimoja cha habari nchini Marekani ya kwamba wanaopoteza maisha kwa Covid 19 ni wale ambao hawakupata chanjo,mtoa uzi huu unalizungumziaje kwa upande wako
Achana napropaganda za wazungu kwanza washaanza kusema ili uwe fully immuned at least upige dose kuanzia 3 na kuendelea. So it is all about bussiness dozi moja ni Tsh.400k
 
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021
Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days
Uganda Ligi kuu imesha coz ya Covid
Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhalu yoyote na hatuone wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.
Barakoa wanatumia watu wachache saaana
vitakasa mikono huvioni kama zani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder, mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa TZ

imagine MAMA juzi kasema TZ kuna wagonjwa 100 tu

100/50,000,000 = 0.0002%

DISCO, kama kawa, mwendokasi kama kawa, njumba za Ibada kama kawa full nyomi .

na kwa kuudhihirishia ulimwengu waje KWA MKAPA 03.07.2021 washangae

CORONA TZ HAMNA. kama mnataka fedha za COVAX fine ila MSITUTISHE!!!!!

KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Una uhakika ndugu Einstein112? Au unataka hadi uondoke wewe? Kwani huko wanakochukua tahadhari una idadi ya maambukizo au vifo vyao kwa siku au week au mwezi? Unalinganisha na idadi ipi ya TZ kwa takwimu ulizonazo?
 
Ugumu wake uko wapi⁉️: ukiweka rockdown nategemea kuona reduced cases, ukichanja nataraj kuona upungufu wa visa, nisipoyaona haya nitakua yuko mtu ananidanganya
kula gwara mkuu
 
Lete data ,otherwise unaleta udaku tu.Ukiangalia kwenye update ya "worldmeter/coronavarus update" hicho kitu hakuna mbona.Wewe unaangalia website au report za BUZA naona.Mama kasema chanjo ni hiari kama unaona haikusaidii usichange acha kula covidol yako kalale utupishe sisi tupite.
 
Una uhakika ndugu Einstein112? Au unataka hadi uondoke wewe? Kwani huko wanakochukua tahadhari una idadi ya maambukizo au vifo vyao kwa siku au week au mwezi? Unalinganisha na idadi ipi ya TZ kwa takwimu ulizonazo?
0.0002%?????? mtaani kwako unawaona hao wagonjwa au unatishwa na matangazo ya Mloganzila, na Muhimbili?

They are part of the big picture themselves
 
Lete data ,otherwise unaleta udaku tu.Ukiangalia kwenye update ya "worldmeter/coronavarus update" hicho kitu hakuna mbona.Wewe unaangalia website au report za BUZA naona.Mama kasema chanjo ni hiari kama unaona haikusaidii usichange acha kula covidol yako kalale utupishe sisi tupite.
Takwimu gani unataka we PIMBI?? SAMIA SULUHU mwenyewe ndio katangaza idadi ya wagonjwa we unataka ipi. wasalimie HAPO KWA MPALANGE
 
Takwimu gani unataka we PIMBI?? SAMIA SULUHU mwenyewe ndio katangaza idadi ya wagonjwa we unataka ipi. wasalimie HAPO KWA MPALANGE
Sijakwambia takwimu zitolewe ,nimekwambia takwimu za hizo nchi.Kumbe ubongo wako haufanyi kazi BONGO LALA WEWE Kumbe nabishana na mtu mjinga tu
 
Back
Top Bottom