#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

Hao wimbi la kwanza ungewafahamu vipi kama sio kupitia takwimu zilizokuwa zinatolewa?!

Hizo nchi zingine umejuaje kwamba, pamoja na tahadhali zote wanazochukua lakini ndizo zinazoongoza kwa maambukizi kama sio kupitia takwimu wanazotoa kila siku?
Mkuu wimbi la kwanza kila.mgonjwa aliyefariki hakuambiwa amefariki na nini kama utakumbuka kuna waliolalamika ila pia kulitokea vifo vingi kiasi

IMPACT YAKE ilionekana VIVID Mtaani ila sil Kwa kiwango cha nchi zingine LILIPOPITA tumekuwa shwari kabsaa ukiachana na vifo vya viongozi ila kitaa shwari tu
 
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021
Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days
Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid
Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuone wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.
Barakoa wanatumia watu wachache saaana
vitakasa mikono huvioni kama zani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder, mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa TZ

imagine MAMA juzi kasema TZ kuna wagonjwa 100 tu

100/50,000,000 = 0.0002%

DISCO, kama kawa, mwendokasi kama kawa, njumba za Ibada kama kawa full nyomi .

na kwa kuudhihirishia ulimwengu waje KWA MKAPA 03.07.2021 washangae

CORONA TZ HAMNA. kama mnataka fedha za COVAX fine ila MSITUTISHE!!!!!



KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
=================================


Chanjo tunazopewa sasa bure ni weak and wao wenyewe hawazitumii ni kwa ajili ya kufubaza kinga zetu za asili ili the so called "NEXT WAVE" ikija tupukutike kama kuku wa mdondo and THEN CHANJO ZITAKUWA VERY EXPENSIVE.

HAPO NDIO TUTAKAPOPIGWA PESA MAANA ITAKUWA[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]


BUY OR DIE!!!!!
Wake up guys, hujiulizi kwanini tunabembelezwa kuchanjwa??
Kwa nini nchi zinazotumia dawa za kuzuia au kutibu ugonjwa wa malaria ndizo pia zinazoongoza kwa maambukizi ya malaria?
 
Waliruhusu kivipi? Hebu tumia akili zako banaaa! Acha KUDEMKA!!!!! Madaktari wapi walisomea kuhusu nyungu!? Kama walisomea kuhusu nyungu imekuwaje tena nyungu isitishwe? Na wewe unaamini eti mapapai yalipimwa hahahahahaha!!! Yule kubwa la waongo dhalimu mwendazake alikuwa anawakusanya Watanzania wengi sana kwa uongo wake.
Jamaa mbika una kumbukumbu za KUKU??

Nyungu za MUHIMBILI zikipozinduliwa unakumbuka walivyosema madaktari??

Unakumbuka Chanjo ya NIMRI walipoizindua walituambiaje?


So far mtaani kwako kuna wagonjwa that we dont know??

Tujifanye hatujui ulipo hii nyomi ya vyombo vya usafiri inafanana na nyomi za hospitalini kuhusu "changamoto ya upumuaji", pumu, and the like?
 
Na tarehe 3 tunaenda kujazana kwa Mkapa tukitoka hapo tunajazana kwenye daladala.
Hili wimbi la 3 sijui itakuwaje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acha upumbavu banaaa!!!! Lile la nyungu lilikuwa ni SHINIKIZO la dhalimu mwendazake wewe!!!! Na kutaka kutuaminisha Watanzania kwamba hatuna haja ya chanjo. Watanzania tumetumia chanjo mbali mbali kwa miaka chungu nzima lakini yule dhalimu mwendazake kwa kuwa alikuwa na Phd FAKE akawaingilia hata madaktari watoe kauli alizotaka yeye tuzisikie vinginevyo wangempinga wangefukuzwa kazi. Tumia akili yako japo KIDUCHU.

Jamaa mbika una kumbukumbu za KUKU??

Nyungu za MUHIMBILI zikipozinduliwa unakumbuka walivyosema madaktari??

Unakumbuka Chanjo ya NIMRI walipoizindua walituambiaje?


So far mtaani kwako kuna wagonjwa that we dont know??

Tujifanye hatujui ulipo hii nyomi ya vyombo vya usafiri inafanana na nyomi za hospitalini kuhusu "changamoto ya upumuaji", pumu, and the like?
 
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021
Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days
Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid
Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuone wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.
Barakoa wanatumia watu wachache saaana
vitakasa mikono huvioni kama zani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder, mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa TZ

imagine MAMA juzi kasema TZ kuna wagonjwa 100 tu

100/50,000,000 = 0.0002%

DISCO, kama kawa, mwendokasi kama kawa, njumba za Ibada kama kawa full nyomi .

na kwa kuudhihirishia ulimwengu waje KWA MKAPA 03.07.2021 washangae

CORONA TZ HAMNA. kama mnataka fedha za COVAX fine ila MSITUTISHE!!!!!



KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
=================================


Chanjo tunazopewa sasa bure ni weak and wao wenyewe hawazitumii ni kwa ajili ya kufubaza kinga zetu za asili ili the so called "NEXT WAVE" ikija tupukutike kama kuku wa mdondo and THEN CHANJO ZITAKUWA VERY EXPENSIVE.

HAPO NDIO TUTAKAPOPIGWA PESA MAANA ITAKUWA[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]


BUY OR DIE!!!!!
Wake up guys, hujiulizi kwanini tunabembelezwa kuchanjwa??
Kwa upande wangu, inabidi tusidhani sisi ni kisiwa na kwamba Mungu anatupenda zaidi kuliko wanaofariki. Labda kama ni kupenda, basi anawapenda zaidi hao wanaofariki kwa corona (kama tulivyozoea kusema ndugu, jamaa na rafiki akituacha: sisi tulimpenda, lakini Mwenyezi Mungu kampenda zaidi). Nitoea mfano huu. Mimi natoka UK ya Tanzania na wakati ugonjwa wa ukimwi ulipopiga sana, sisi UK tulidhani tuko salama na wanaofariki ni watu wanaoishi mjini. Hivyo, hatukuchukua tahadhari sana za kujikinga na watu waliendelea na maisha yao kama kawaida au kama hakujawahi kuwepo na ukimwi. Lakini leo hii nenda UK ya Tanzania na waulize watu kuhusu ukimwi kama umepiga sana au la na ujaribu kulinganisha na mjadala wetu huu. Itoshe tu kusema, kama hatutakuwa waangalifu na kuchukua tahadhari tutajifunza kwa njia ngumu maana tunaweza kudhani hao wagonjwa 100 aliowataja Rais kabla ya kugundua kama ni wagonjwa walishawaambukiza wangapi au je ndugu wa wale ambao wana virusi, lakini siyo serious si wanatunzwa au wanaangaliwa na ndugu zao? Na 'kidogo kidogo hujaza kibaba'. Hivyo, tusidharau kitu hata kama idadi bado ni ndogo maana hata hao walioathiriwa zaidi walianza pia na idadi ndogo tu ya wagonjwa.
 
Inasemekana covid ya india inaambukiza waliochanjwa na wasichanjwa. Halafu variant ya india inayoitwa delta naua zaidi waliochanjwa 68asilimia waliochanjwa wakiipata wanakufa. Tathmini ni kuwa ukichanjwa unapoteza nguvu ya mwili kujipambania na hiyo sina au nyingine yoyote itakayokuja kwa hiyo unaweza poteza maisha kwa sina yoyote mpya ya covid. Sasa wataalamu wameshauri kule marekani wote waliochanjwa na wasichanjwa wavae barakoa na kutumia sanitizer kama zamani. Kuna siku tutamkumbuka kama nabii aliyebezwa lakini alikuwa sahihi sana kwa msimamo wake. Tena wanasema chanjo za mRNA za kule marekani ndio hivyo kabisa zinazuia mwili kuweza kujipigania na aina mpya za covid hata huko mbele. Hii taarifa imetangazea juzi na vyanzo vya kuaminika kwao.
Mimi niko Marekani hapa, we ni nani amekwambia hivyo? Kinga hizi zina kiwango cha efficacy yake na data ziko wazi. Hakuna kinga ambayo ni 100% na hizi hali kadhalika. Mfano Pfizer nadhani efficacy yake ni 96%. Hii ina maana kuna asilimia 4 ambao bado wanaweza kuambukizwa hata baada ya kuchanjwa. Na uzuri ni kwamba hata waliochanjwa wakiambukizwa mara nyingi severity ya ugonjwa ni ndogo na hata hawahitaji kulazwa labda kama ni wazee au kama wana compromised immune system kutokana na magonjwa kama kansa na mengineyo yanayoshambulia kinga ya mwili. Marekani hapa kila kitu kilikuwa kimefungwa nchi inapoteza mabilioni ya dola kila siku na sasa wamechanjana zaidi ya asilimia 60 kila kitu kimefunguliwa na maisha yanarudi kama kawaida. Sasa hizi stori za vijiweni huko sijui mnazipata wapi!
 
Hivi kwa Nini tunalazimishwa kuchukua mkopo kupambana na covid?

Na kwa Nini mkopo huo uwe na masharti ya jinsi ya kuutumia?

Nadhani Kuna shida kubwa Sana juu hili Gonjwa?

Je, hiyo chanjo mbona wanasema IPO kwenye majaribio?

Km IPO kwenye majaribio,kwa Nini ilazimishwe kutumika moja kwa moja kwa binadamu?

Je, uhakika ya kwamba inakinga Ni upi wakati IPO kwenye majaribio??
Na, kwa Nini hyo chanjo watu wachanje na bado tahadhari waendelee kuchukua??

Sasa Nini logic ya kuchanja??

Ni sawa na uchomwe chanjo ya sulua na bado unaambia usitoke nje, utaambukizwa kwa Nia ya hewa, Sasa nini maana ya chanjo?
 
Acha upumbavu banaaa!!!! Lile la nyungu lilikuwa ni SHINIKIZO la dhalimu mwendazake wewe!!!! Na kutaka kutuaminisha Watanzania kwamba hatuna haja ya chanjo. Watanzania tumetumia chanjo mbali mbali kwa miaka chungu nzima lakini yule dhalimu mwendazake kwa kuwa alikuwa na Phd FAKE akawaingilia hata madaktari watoe kauli alizotaka yeye tuzisikie vinginevyo wangempinga wangefukuzwa kazi. Tumia akili yako japo KIDUCHU.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu nchi ina maigizo sana hii
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Malaria ipo nchi za TROPICAL sanasana
Lakini si watu wanaoishi nchi za tropical ingawa wanatumia dawa, lakini wanafariki pia? Mfano, kwa mujibu wa www.severemalaria.org, Tanzania is among the ten countries with the highest malaria cases and deaths (3% of the global cases, 13.4% of cases in East and Southern Africa and 5% of global deaths).
 
Kwa upande wangu, inabidi tusidhani sisi ni kisiwa na kwamba Mungu anatupenda zaidi kuliko wanaofariki. Labda kama ni kupenda, basi anawapenda zaidi hao wanaofariki kwa corona (kama tulivyozoea kusema ndugu, jamaa na rafiki akituacha: sisi tulimpenda, lakini Mwenyezi Mungu kampenda zaidi). Nitoea mfano huu. Mimi natoka UK ya Tanzania na wakati ugonjwa wa ukimwi ulipopiga sana, sisi UK tulidhani tuko salama na wanaofariki ni watu wanaoishi mjini. Hivyo, hatukuchukua tahadhari sana za kujikinga na watu waliendelea na maisha yao kama kawaida au kama hakujawahi kuwepo na ukimwi. Lakini leo hii nenda UK ya Tanzania na waulize watu kuhusu ukimwi kama umepiga sana au la na ujaribu kulinganisha na mjadala wetu huu. Itoshe tu kusema, kama hatutakuwa waangalifu na kuchukua tahadhari tutajifunza kwa njia ngumu maana tunaweza kudhani hao wagonjwa 100 aliowataja Rais kabla ya kugundua kama ni wagonjwa walishawaambukiza wangapi au je ndugu wa wale ambao wana virusi, lakini siyo serious si wanatunzwa au wanaangaliwa na ndugu zao? Na 'kidogo kidogo hujaza kibaba'. Hivyo, tusidharau kitu hata kama idadi bado ni ndogo maana hata hao walioathiriwa zaidi walianza pia na idadi ndogo tu ya wagonjwa.
Mkuu kumbuka this is fake news NO KORONA
 
Mimi niko Marekani hapa, we ni nani amekwambia hivyo? Kinga hizi zina kiwango cha efficacy yake na data ziko wazi. Hakuna kinga ambayo ni 100% na hizi hali kadhalika. Mfano Pfizer nadhani efficacy yake ni 96%. Hii ina maana kuna asilimia 4 ambao bado wanaweza kuambukizwa hata baada ya kuchanjwa. Na uzuri ni kwamba hata waliochanjwa wakiambukizwa mara nyingi severity ya ugonjwa ni ndogo na hata hawahitaji kulazwa labda kama ni wazee au kama wana compromised immune system kutokana na magonjwa kama kansa na mengineyo yanayoshambulia kinga ya mwili. Marekani hapa kila kitu kilikuwa kimefungwa nchi inapoteza mabilioni ya dola kila siku na sasa wamechanjana zaidi ya asilimia 60 kila kitu kimefunguliwa na maisha yanarudi kama kawaida. Sasa hizi stori za vijiweni huko sijui mnazipata wapi!
Ao mkuu mpo salama kwa 96%???
 
Eti dhalimu alikuwa sahihi na bado akakimbilia chato kujificha kwa miezi miwili!!! Na kwa ubishi wake wa kutotaka kuvaa masks mwenyewe aliyaita matambara basi COVID-19 haikufanya ajizi bali kulala naye sambamba leo anaitwa MWENDAZAKE!!!! Hakuna anayekutisha ni maisha yako mwenyewe na MAKABURI umeyaona. Chukua hatua muafaka za kujikinga ubishi wa kijinga KAMWE hautakukinga kumbuka zaidi ya watu 3.5 duniani Covid-19 imesitisha uhai wao.
Hayati Magufuli hakuwa dhalimu kama ulivyo mwongelea hapo juu vibaya. Instead alikuwa mpenda haki, kipenzi cha wanyonge, mchapa kazi, asiyependa ufisadi na unyonyaji mwana mwema wa Africa. Wanao na wajukuu zako watasoma hivyo na wataelewa.
Mwenye chuki kama wewe ni muhanga wa matendo mema ya jpm. So sadist Pole.
 
Corona bongo haipo watuache tuendelee na uzalishaji haya mambo ya wanaharakati wa bongo kushadadia kila kitu cha kimagharibi ni upuuzi.
 
Hivi kwa Nini tunalazimishwa kuchukua mkopo kupambana na covid?

Na kwa Nini mkopo huo uwe na masharti ya jinsi ya kuutumia?

Nadhani Kuna shida kubwa Sana juu hili Gonjwa?

Je, hiyo chanjo mbona wanasema IPO kwenye majaribio?

Km IPO kwenye majaribio,kwa Nini ilazimishwe kutumika moja kwa moja kwa binadamu?

Je, uhakika ya kwamba inakinga Ni upi wakati IPO kwenye majaribio??
Na, kwa Nini hyo chanjo watu wachanje na bado tahadhari waendelee kuchukua??

Sasa Nini logic ya kuchanja??

Ni sawa na uchomwe chanjo ya sualua na bado unaambia usitoke nje, utaambukizwa kwa Nia ya hewa, Sasa nini maana ya chanjo?
Tena unacjomwa AT YOUR OWN RISK
 
Back
Top Bottom