Ningechangia kwajinsi nijuavyo kwakuwa ni field yangu hiyo ila wakuu waliotangulia wamekuelimisha sawia.
Unaju mtu anaekimbilia kukosoa neno moja ambalo mtu amekosea, na likiinyesha kabisa mwandishi alikusudi kuandika vile, unakua unajishusha. Kwenye kutamka maneno yanakosea nini kuandika.
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).
Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.
Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?
Kwanza umeshawahi kupanda ndege? Ndege zinaporuka anga za mbali, e.g. KLM inapofika anga za juu, kule kuna baridi sana kiasi cha kufikia -50 Centigrade au zaidi. Kinachotokea ndege inapotoa moshi ule unakutana na mgandamizo mkubwa sana na baridi sana kiasi kuwa ule moshi unagandishwa ghafla.
Umeshawahi kujiuliza unapoamka asubuhi sana sehemu za baridi sana,. hewa unayotoa wakati unapumua kwa nini inakuwa kama moshi?
Ule sio moshi ile ile barafu inayeyushwa na joto linalotoka kwenye bomba la moshi, hakuna ndege inayotowa moshi vile alafu iwe mzima itakua mbovu hiyo.
The atmospheric pressure indulges in sequences of neutralise masses of massive gases called hydrogen enduring by a moving plane in ozone layer. The impact of friction in midair collision between the moving plane at a very high supersonic speed equivalent to sound barrier irritate the ping sounds and leaves along trait of unusual gasses which amazes people like you in the grounds to contemplate and ask mediocre questions pertaining and embarking in this unsolved myths of long trail of gases left behind by big planes penetrating in an international flying zone. I think have helped u
Ule sio moshi ile ile barafu inayeyushwa na joto linalotoka kwenye bomba la moshi, hakuna ndege inayotowa moshi vile alafu iwe mzima itakua mbovu hiyo.[/QUOTEsawa sawa mkuu ,!!! kwahiyo barafu inayo yayushwa maji yanaenda wapi!??
Ule sio moshi ile ile barafu inayeyushwa na joto linalotoka kwenye bomba la moshi, hakuna ndege inayotowa moshi vile alafu iwe mzima itakua mbovu hiyo.
Sisi wasafwa tunaiita nyerere,tunaamini n ndiye MTU Wa kwanza kwa watanzania kuipanda hiyo nyerere
Kwanza umeshawahi kupanda ndege? Ndege zinaporuka anga za mbali, e.g. KLM inapofika anga za juu, kule kuna baridi sana kiasi cha kufikia -50 Centigrade au zaidi. Kinachotokea ndege inapotoa moshi ule unakutana na mgandamizo mkubwa sana na baridi sana kiasi kuwa ule moshi unagandishwa ghafla.
Umeshawahi kujiuliza unapoamka asubuhi sana sehemu za baridi sana,. hewa unayotoa wakati unapumua kwa nini inakuwa kama moshi?
The atmospheric pressure indulges in sequences of neutralise masses of massive gases called hydrogen enduring by a moving plane in ozone layer. The impact of friction in midair collision between the moving plane at a very high supersonic speed equivalent to sound barrier irritate the ping sounds and leaves along trait of unusual gasses which amazes people like you in the grounds to contemplate and ask mediocre questions pertaining and embarking in this unsolved myths of long trail of gases left behind by big planes penetrating in an international flying zone. I think have helped u
The atmospheric pressure indulges in sequences of neutralise masses of massive gases called hydrogen enduring by a moving plane in ozone layer.
The impact of friction in midair collision between the moving plane at a very high supersonic speed equivalent to sound barrier irritate the ping sounds and leaves along trait of unusual gasses which amazes people like you in the grounds to contemplate and ask mediocre questions pertaining and embarking in this unsolved myths of long trail of gases left behind by big planes penetrating in an international flying zone.
I think have helped u
Copenhagen mkuu una uhakika gani kama lugha uliyotumia kujibu swali kama mtoa mada anaielewa..kama hayo maelezo uliyotoa umeyaelewa si ungeyaweka tu kwenye lugha aliyotumia kukuulizia swali