Kama ule sio moshi l hivyo basi ndege ya jeshi la wananchi la Tanzania itakua mbovu sana sababu inapita maeneo ya ilala kiasi cha mita mia moja toka chini lakini inatoa moshi mweusi
japokua wachangiaji hapo juu wameelezea vizuri but nijuavyo jamaa ameuliza juu ya ROCKET na rocket mara nyingi zina move perpendicular to the Earth na ule Moshi unaotoka ndio unaosaidia ku push up...na bila kuwepo kwa huo moshi isingeweze kupaa kwa namna hyo.
Kawaida ili ndege ipae angani inahitaji mafuta "fuel" na kisaidizi cha kuunguza mafuta"oxidizer",kwa ndege zinazoruka karibu na uso wa Dunia hubeba "fuel" tu,oygen iliyopo angani hutumika kama "oxidizer",ila anga za juu(high altitude) hakuna oxygen,hivyo basi ndege zilukazo anga za juu hulazimika kubeba "fuel" pamoja na "oxidizer"(note that fuel may be in the form of solid or liquid form,thus the internal combustion within a rocket engine of fuel together with the carried oxidizer accompanied together with the mist formed in high altitude is what we see as a thick smoke)
Kile unachoona kama moshi mweupe kinaelezewa na nadharia ya 'refraction' katika physikia ya mwanga.
Joto kali hotoka kwenye exhaust ya ndege/roketi hufanya joto la hewa kwenye njia inapopita ndege liwe juu kuliko maeneo ya pembeni yake. Kwa mujibu wa kanuni za Physikia, 'refraction' ya mwanga hutokea kutokana na tabaka la la hewa yenye joto kubwa katikati ya sehemu ya hewa yenye joto la chini, hivyo kufanya unapoangalia uona kama moshi mweupe.
Hali hii hupotea polepole jinsi joto la hewa linaporudia kwenye usawa wake.
Na wewe si uandike kiswahili, mavocabulary meengi mpaka yanaboa
Copenhagen mkuu una uhakika gani kama lugha uliyotumia kujibu swali kama mtoa mada anaielewa..kama hayo maelezo uliyotoa umeyaelewa si ungeyaweka tu kwenye lugha aliyotumia kukuulizia swali
Unaju mtu anaekimbilia kukosoa neno moja ambalo mtu amekosea, na likiinyesha kabisa mwandishi alikusudi kuandika vile, unakua unajishusha. Kwenye kutamka maneno yanakosea nini kuandika.
..............................kule kuna baridi sana kiasi cha kufikia -50 Centigrade au zaidi...................
Asa kama ni barafu izo ndege si zingerudi zimechubuka rangi kwa kugonga hizo barafu.?
Mkuu, hiyo ni baridi sana????? 50 degree centigrade katika hali ya hewa ni joto sana. Labda kama ulikua na maana tofauti na nilivyoelewa mimi.
Amesema "-50 centigrade"
Mbovo ndio nini?
iweke kwa kiswahili,wengine kingereza majanga.:eyebrows:The atmospheric pressure indulges in sequences of neutralise masses of massive gases called hydrogen enduring by a moving plane in ozone layer.
The impact of friction in midair collision between the moving plane at a very high supersonic speed equivalent to sound barrier irritate the ping sounds and leaves along trait of unusual gasses which amazes people like you in the grounds to contemplate and ask mediocre questions pertaining and embarking in this unsolved myths of long trail of gases left behind by big planes penetrating in an international flying zone.
I think have helped u
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).
Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.
Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?