Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

Ninaomba kueleweshwa, kwanini upoelekea juu kutoka usawa wa bahari (altitude) joto hupungua angali unaelekea karibu zaidi na jua? Ninaomba maelezo kwa lugha nyepesi kidogo.
Thanks.

Ya unavyoelekea juu joto hupungua lakini hadi usawa fulani tu. Hapi ni baridi kiasi cha kutengeneza barafu na ndo maana mvuke hupoa kiasi cha kuganda kwa wingi hadi kufanya mvua kubwa. Ukienda juu zaidi kuna layer inaitwa Thermosphere. Hapo kuna joto la kutosha kuyeyusha chuma. Ukivuka hapo joto linapungua tena. Kwa ufupi Gravity inahusika sana katika kupelekea hali kami hii. Mfano rahisi ona jinsi ukanda wa pwani ulivyo na joto kuliko sehemu za miinuko kama Kilimanjaro , Iringa na Mbeya. Ona hadi Mlima Kilimanjaro una barafu ilihali upo ukanda wa Tropiki. Aisee ile barafu ya Kilimanjaro kwa mbali unaona kama kabarafu ka kawaida lakini siku nilipofika Uhuru peak nilishangaa maana kuna mabarafu yamejipanga na marefu kuliko magorofa ya posta.
 
Mkuu, kweli wewe ni oil chafu, 50 centigrade ndo baridi kali??!!!!

We unamkandia mwenzio wakati wewe ndiyo umeboronga. Yeye kaandika -50 (minus 50). Badala ya kuangalia kwa makini inakazania kuponda. Ona sasa umeshangaza umati. Hebu tupunguze tabia ya kutafuta kosa moja kwenye 99 ya mbolea. Au nyie ndo wale badala ya kushkuru "mvua imenyesha" mnalalamika "mvua imeleta matope"
 
Tutawaambia warekebishe itoe mstari wa arusha....
 
Copenhagen mkuu una uhakika gani kama lugha uliyotumia kujibu swali kama mtoa mada anaielewa..kama hayo maelezo uliyotoa umeyaelewa si ungeyaweka tu kwenye lugha aliyotumia kukuulizia swali

kweliii banaa atutafsirieee
 
Last edited by a moderator:
Ule sio moshi ni mtawanyiko wa gesi kutokana na kasi yake.
 
Angalia vzr kaandika hiv -50 na siyo hiv 50.macho makengeza ww

Shukrani kwa maelekezo, lakini hakukuwa na haja ya kuandika hayo ya "macho makengeza" hasa kwa mtu usiyemjua.
 

Hata kama sijawahi kupanda ndege wewe ulipo fika juu angan ulitoka nje au ulifungua dirisha ukahisi hilo baridi la -50?
 
Hata kama sijawahi kupanda ndege wewe ulipo fika juu angan ulitoka nje au ulifungua dirisha ukahisi hilo baridi la -50?

Siyo lazima mtu akiwa angani
afungue dirisha la ndege kujua hali ya joto iliyopo nje kwani vipimo vya ndani ya ndege vinatoa taarifa ya hali ya hewa iliyopo nje ya ndege kwa waliopo ndani ya ndege.
 
Kuna muda angani inapita rocket au ndege(sina uhakika kama ni plane)
Inakuwa inatoa moshi mwingi unaotengeneza kama njia ivi,
unakuta hata hiyo ndege yenyewe imeshapita na haionekani tena lakini ule moshi unabakia umechora njia,
Sasa wakuu hivi kile ni chombo gani?
Manake najiuliza katika karne hii wameshindwa kweli kubuni chombo kisichotoa moshi namna ile au ule moshi unaotoka unamaanisha nini?
Hebu mwenye Ufahamu atudadavulie ili tukifahamu zaidi,
 
ngoja uje upewe majibu.

MOJA YA MAJIBU YATAKUWA

ule sio moshi bali ni...

heeey subiri watalaam waje
 

[emoji115]Ngoja wakuu waje![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…