Kwanini ndizi mshare hazipatikani Kanda ya Ziwa?

Sisi hio mshale ukikuta mtu kapika ni unashangaa kama wewe ulivyoshangaa ndizo bukoba. Mimi mara ya kwanza ndizi mshale nilikula dsm na nikashangaa hii ndizi au mhogo au hazikupkwa zikaiva. Ila sasa nimezizoea hasa iwe kwenye mchemsho
 
Ndizi zinapikwa na nyama au maharage. Uchagani wanapika na nyama nyingi. Tatizo lako ni kuwa bado unaishi yale maisha ya kimaskini ya kula ugali mwingi na mboga kidogo. Umewahi kusafiri kwenda majuu? Mara nyingi wanapotaja vyakula kwenye menu huanza na eg Kuku, Ng'ombe etc ndiyo wanataja side dish. Yaani kwenye chakula kinachozingatiwa ni ile main dish.
 
Kama anavyoshangaa ndivyo nami nilishangaa Kilimanjaro wanavyokula ndizi ngumuuu eti hadi za kukaanga ndio hizohizo🙆🙆🙆
Unakula ndizi zinabaki zimesimama tumboni!! Halafu hazina hata ladha.
Ndizi mshare ni laini. Inategemea tu na mazingira iliyostawishwa. Ukiweka mbolea na maji kwa wingi zinakuwa laini.
 
Sisi hio mshale ukikuta mtu kapika ni unashangaa kama wewe ulivyoshangaa ndizo bukoba. Mimi mara ya kwanza ndizi mshale nilikula dsm na nikashangaa hii ndizi au mhogo au hazikupkwa zikaiva. Ila sasa nimezizoea hasa iwe kwenye mchemsho
Ni mazoea tu. Hata Kilimanjaro siku hizi wanakula hizo ndizi Bukoba japo siyo sana. Zamani ilikuwa ni kama hakuna walaji. Kitu kingine ni kuwa wahaya wanapenda vitu bokoboko sana. Ni kama asili yao. Kwa upande mwingine wachaga wanakula vitu vigumu. Nyama hata iwe ngumu namna gani mchaga hashindwi kula.
 
Sisi hio mshale ukikuta mtu kapika ni unashangaa kama wewe ulivyoshangaa ndizo bukoba. Mimi mara ya kwanza ndizi mshale nilikula dsm na nikashangaa hii ndizi au mhogo au hazikupkwa zikaiva. Ila sasa nimezizoea hasa iwe kwenye mchemsho
Mshale❎
Mshare✅
 
Ww mlughalugha wacha kujistukia 😅
 
Haya matoke mshare mnayependeaga nn madude magumu Kama nn.ndizi bukoba is the best hata kibogoyo anakula vzuri tu.kula ndizi Kama lunch au dinner ni dalili namba moja kuu ya umaskini.Over
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…