Kwanini ndugu zetu wazaramu wanawapa watoto majina fikirishi?

Kwanini ndugu zetu wazaramu wanawapa watoto majina fikirishi?

Amani iwe nanyi

Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.

Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?

Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.

Watalaamu embu dadavueni
Mbona wewe unaitwa Mixologist hatusemi
 
Lipo kipindi cha JPM kuna Mama kuna Mama alikuwa analia shida JPM akamuuliza unaitwa nani Mama, naitwa HAVINITISHI mpaka Magu akacheka [emoji3][emoji3][emoji3]
Kama namkumbuka vile, yule mama alizawadiwa mihela kwenye ziara ya JPM Pale Morogoro viwandani
 
Back
Top Bottom