Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very common name among the Swahili!Ila hili sijawah skia "HAVINITISHI"
Mbona wewe unaitwa Mixologist hatusemiAmani iwe nanyi
Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.
Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?
Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.
Watalaamu embu dadavueni
Kama namkumbuka vile, yule mama alizawadiwa mihela kwenye ziara ya JPM Pale Morogoro viwandaniLipo kipindi cha JPM kuna Mama kuna Mama alikuwa analia shida JPM akamuuliza unaitwa nani Mama, naitwa HAVINITISHI mpaka Magu akacheka [emoji3][emoji3][emoji3]
Muharram,wanaliharibu Kama walivyoharibu Muhammad (mwamedi), muharram ni moja ya miezi kwenye kalenda ya kiislamMwarami maana yake ni nini? Nilidhani ni la kidini.
Magufuli,mlenda,magangaWasukuma wanaongoza kwa majina ya ajabu