Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 3,804
Nitakua natabasamu tuu nikimwangaliaUsije ukamuuliza mkuu 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakua natabasamu tuu nikimwangaliaUsije ukamuuliza mkuu 😅😅
Siku akivaa suruali ya kubana, ndio utaelewa vizuri. Lazima papuchi ijichore haswa 😅😅Nitakua natabasamu tuu nikimwangalia
Havai hayo mavazi...Siku akivaa suruali ya kubana, ndio utaelewa vizuri. Lazima papuchi ijichore haswa 😅😅
Hatari 😅Havai hayo mavazi...
Dah nimecheka sana!!
Unawashangaa wazaramo vipi wanyakyusa na mikabila mingine ya bara au kwa vile yanatamkwa kikabila? Huenda kwa Kiswahili kuna watu wanaitwa Mavi.Amani iwe nanyi
Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.
Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?
Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.
Watalaamu embu dadavueni
Mwazani huwa ni kifupi cha mwana wa Ramadhani kama baba yake ni ramadhani au kazaliwa mwezi wa Ramadhani kama ilivyo Mwajuma, Mwanaaly, Mwashabani , Mwanaheri, Mwanaenzi, Mwarashi, Mwadawa, Mwamtumu, Mwahija nk.Mwazani asee jina la Boss wangu ili ila siwezi muuliza maana ya jina lake.
Ila ukanda wa Pwani na kusini wanamajina ya ajabu Sana[emoji3]Mwazani huwa ni kifupi cha mwana wa Ramadhani kama baba yake ni ramadhani au kazaliwa mwezi wa Ramadhani kama ilivyo Mwajuma, Mwanaaly, Mwashabani , Mwanaheri, Mwanaenzi, nk.
Ipo hivi kama Mapambano,Zawadi,Furaha, Shida ,HAVINTISHI,CHAUSIKU, NK Basi hivyo hivyo Ulaya HAPPY,GIFT,LIVINGSTON, GODBLESS, Shida ya Bongo tumebeba uharabu na Uzungu utafikiri Kama Kwetu hatuna majina lakini ukifutilia ni Ulimbukeni wa kufuata Mila za Watu. Ebu fikiri ELLYBARICK, AMBELE,MWITA, SHUJAA, MAPINDUZI,BARAKA . AFRICA ilibarikiwa hekima Sana kabla hata ya Wageni.Amani iwe nanyi
Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.
Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?
Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.
Watalaamu embu dadavueni
🤣🤣 wakina somoe, kaisi, sikitua, siwema, mpenzi, Jongo, Lipipa, Litanda, Tabu mfuko, Siwazuri, Sijali, Stumai, Madai, Mwarami 🤣🤣.Ila ukanda wa Pwani na kusini wanamajina ya ajabu Sana[emoji3]
Hilo ni Jina la ukoo( sir name)siyo Jina la kwanzaWachaga nao wamekosa majina mpaka wanamwita mtu mboro
Muite wa kwako tajiri au pesa ukitarajia kwamba jina ndio linaamua hatma ya mtu[emoji44][emoji44]Ni fikirishi sana, nadhani hawawazi madhara yake kwa huyo mtoto, mfano ukimwita SHIDA mtoto si anaweza pigika maisha yake yote?
Kwa Nini effects ziwe kwenye majina mabaya tu? Mfano ukimwita mwanao tajiri atakua tajiri Kwa sababu ya jina? Au ukimwita pesa msomi upendo furaha basi atakuwa na hizo sifa Kwa sababu ya jina?Hakuna haja ya utafiti. Yaani jina ndio kila kitu. Labda tu kuwe na utaratibu wa mtoto kuchagua jina analotaka baada ya kufikisha umri fulani.
Kwasababu tupo wengi tusiopenda majina tuliyopewa na wazazi wetu na ndio maana tunajipa majina mbadala (nickname). Kuna watu majina yao yamebeba tafsiri halisi ya maisha yao na ndivyo walivyo
Nina jirani yangu hapa mwanae anaitwa mboroHilo ni Jina la ukoo( sir name)siyo Jina la kwanza
Sio mboro ni mboroo halafu huo ni ukooWachaga nao wamekosa majina mpaka wanamwita mtu mboro
Mara nyingi ni magomvi na migongano ya hapa na pale baina ya ndugu na wanafamilia ndio huleta hayo mambo na hata kwenye shughuli za ngoma huko ndio vijembe vinapigwa haswa hadi wakati mwingine watu hushindwa kuvumiliana na kuishia kupigana kabisa.IPO hasa kama binti alieolewa kakutana na mambo ya kishirikina ukweni lakini na yeye anajiamini Yuko fiti...ndo anawajibu "Havintishi'