Kwanini ndugu zetu wazaramu wanawapa watoto majina fikirishi?

Kwanini ndugu zetu wazaramu wanawapa watoto majina fikirishi?

Kwa hiyo kumwita mtoto John, Emmanuel, Abdallah, Mohammed ni sawa.

Ila ukimwita Aishi, Tabu, Ubaya, Apendwae, Aizari, Msiba ,Nyamayao, Cha wote, Mzuri sio sahihi?

Mnajua hata maana na hayo majina mnayojifaharisha nayo?

Mimi katoto kangu ka kike nimekiita SALAMA na WA kiume Aishi akipatikana wa tatu ni TABU.
Nyamayao hivi huwa lina maana gani
 
Amani iwe nanyi

Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.

Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?

Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.

Watalaamu embu dadavueni
Ni kwa sababu wazazi wana akili fikirishi ndo maana wanatoa majina fikirishi
 
Amani iwe nanyi

Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.

Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?

Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.

Watalaamu embu dadavueni
Hayo majina yana maana zake mkuu, mfano ukikuta dada wa kizaramo anaitwa Mwazani, basi huyo alizaliwa na papuchi kubwa (mwazi), Pili na Tatu, idadi ya kuzaliwa kwa hao watoto nk
 
Back
Top Bottom