MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Hakikainashangaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikainashangaza
Kuna siku nilisoma story ya jamaa kubakwa mahabusu Hadi kufa...alikuwa anaitwa Hasara Omary..Ni fikirishi sana, nadhani hawawazi madhara yake kwa huyo mtoto, mfano ukimwita SHIDA mtoto si anaweza pigika maisha yake yote?
Japo bado ni myth lakini si vyema kumpa mtoto majina ya aina hiyo. Sijawahi sikia mtu anaitawa ibilisi au yuda iskariotiKuna siku nilisoma story ya jamaa kubakwa mahabusu Hadi kufa...alikuwa anaitwa Hasara Omary..
Kila siku nilikuwa najiuliza kama jina lilichangia kumpa matatizo
Kuna makabila mengi majina yao yana maana fikirishi . Kuna mtu tafsiri ya jina lake ni mwanjaaa/njaa (nyanzala/ mayala), mtembezi ( nyamisi) cha pombe, chausiku/usiku(nyangeta) shida (makoye), nkWasukuma wanatisha!
Tafiti zifanyike kama kuna uhusiano wa jina la mtoto na maisha anayokabiliKuna makabila mengi majina yao yana maana fikirishi . Kuna mtu tafsiri ya jina lake ni mwanjaaa/njaa (nyanzala/ mayala), mtembezi ( nyamisi) cha pombe, chausiku/usiku(nyangeta) shida (makoye), nk
wenye majina yenye maana nzuri angalau ni wanyakyusa na waha
Hakuna haja ya utafiti. Yaani jina ndio kila kitu. Labda tu kuwe na utaratibu wa mtoto kuchagua jina analotaka baada ya kufikisha umri fulani.Tafiti zifanyike kama kuna uhusiano wa jina la mtoto na maisha anayokabili
Tafiti zitajibu maswali mengi na kutoa shuhuda zinazo thibitishwa na numbers, bado kuna haja ya kufanya tafitiHakuna haja ya utafiti. Yaani jina ndio kila kitu. Labda tu kuwe na utaratibu wa mtoto kuchagua jina analotaka baada ya kufikisha umri fulani.
Kwasababu tupo wengi tusiopenda majina tuliyopewa na wazazi wetu na ndio maana tunajipa majina mbadala (nickname). Kuna watu majina yao yamebeba tafsiri halisi ya maisha yao na ndivyo walivyo
Nina jamaa yangu anaitwa Mgeni Kifo mtokambaliAmani iwe nanyi
Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.
Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?
Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.
Watalaamu embu dadavueni
Ametisha
Lipo kipindi cha JPM kuna Mama kuna Mama alikuwa analia shida JPM akamuuliza unaitwa nani Mama, naitwa HAVINITISHI mpaka Magu akacheka [emoji3][emoji3][emoji3]Ila hili sijawah skia "HAVINITISHI"
😂😂😂Lipo kipindi cha JPM kuna Mama kuna Mama alikuwa analia shida JPM akamuuliza unaitwa nani Mama, naitwa HAVINITISHI mpaka Magu akacheka [emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo CHAWOTE ni mtihaniKwa hiyo kumwita mtoto John, Emmanuel, Abdallah, Mohammed ni sawa.
Ila ukimwita Aishi, Tabu, Ubaya, Apendwae, Aizari, Msiba ,Nyamayao, Cha wote, Mzuri sio sahihi?
Mnajua hata maana na hayo majina mnayojifaharisha nayo?
Mimi katoto kangu ka kike nimekiita SALAMA na WA kiume Aishi akipatikana wa tatu ni TABU.
Wanyakyusa, Wapare na Wahaya wana majina yana maana nzuri mara nyingiKuna makabila mengi majina yao yana maana fikirishi . Kuna mtu tafsiri ya jina lake ni mwanjaaa/njaa (nyanzala/ mayala), mtembezi ( nyamisi) cha pombe, chausiku/usiku(nyangeta) shida (makoye), nk
wenye majina yenye maana nzuri angalau ni wanyakyusa na waha
Majina hupewa mtoto kwa maana maalumu.Huyo CHAWOTE ni mtihani
Wapo mawaziri na Wabunge wengi tu walioshika madaraka ambao ni Wazaramo acha kudanganya watuMajina hayo kuyakuta bungeni au wizarani nipo pale
TAIFA SECONDARY
Acha tabia za kike wewe. Majina mengi yaliyotajwa hapo ni ya kike na asilimia kubwa ya wabunge ni wanaume tumia common sense.Majina hayo kuyakuta bungeni au wizarani nipo pale
TAIFA SECONDARY
Usisahau na Wachagga bwanaKuna makabila mengi majina yao yana maana fikirishi . Kuna mtu tafsiri ya jina lake ni mwanjaaa/njaa (nyanzala/ mayala), mtembezi ( nyamisi) cha pombe, chausiku/usiku(nyangeta) shida (makoye), nk
wenye majina yenye maana nzuri angalau ni wanyakyusa na waha