Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Ina Maana yule Mtangazaji Siwatu Luanda, yawezekana alikuwa Mzaramu?Majina ya wazaramu Yana message ...
Mara nyingi yalikuwa Yana define watu walivyo hasa ukweni ..
Binti akiolewa jinsi atakavyo pokelewa ukweni ndo atakavyo toa majina Kwa watoto wake....Sikudhani...manake hakudhani Hali iko kama alivyoikuta huko ukweni ..Siwatu...manake familia ya mume sio watu...labda wanamtesa...Sikitu manake hakuna shida atavumilia Tu n.k n.k Siwazuri...,Mateso n.k mostly huwa ni mama alieolewa ana define wakwe au majirani.....wazaramo wenyewe wanajua