Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafiki tu. Porini huko kuna vifo vya kikatili zaidi kati ya wanyama wenyewe au niseme viumbe hai.Binadamu wa sasa wanazidi kuwa wepesi 😀
Hadi kuchinja wanyama ss inaonekana ni ukatili eti wanapata maumivu 😄
Kwahiyo hawasikii maumivuBinadamu wa sasa wanazidi kuwa wepesi 😀
Hadi kuchinja wanyama ss inaonekana ni ukatili eti wanapata maumivu 😄
Aisee😪😪Anapigwa marungu hadi anakufa then ndio anachinjwa.
Maumivu wanasikia ila ndio hivyo wao ni kitoweo 😃Kwahiyo hawasikii maumivu
Naona umedandia kitu ambacho hukifahamu! Ulishawahi kwenda kwenye machinjio yoyote ya kisasa? Kuna kitu kinaitwa stunning gun, hiki ni mfano wa pistol yenye bolt ambayo hufyatuliwa na Baruti lakini pia inaweza kuwa ya kufyatua na umeme. Bolt hiyi hutumia kumfanya mnyama awe unconscious, yaani anapoteza fahamu. Hapo ndipo huchinjwa pasipo maumivu yoyote! Na kuna sehemu ya kulenga hiyo bolt ili mnyama atakapopigwa azimie. Kitaalam tunaita Humane slaughter!!Hivi what if mtu ukifa unazaliwa tena kiumbe kingine, mfano unazaliwa ng’ombe? Incase ni hivyo, si ingependeza kama kabla ya kuchinjwa upigwe kwanza nusu kaputi, au nakosea?
Hili jamaa yetu halijui! Ndiyo shida ya mtu wa maendeleo ya jamii kutoa ushauri kwenye sekta za kitaalam!Changamoto ni "wash out period" yani muda ambao dawa itaishi kwenye mwili wa ng'ombe kabla ya kutoka nje kupitia mkojo au njia zingine.
Inapaswa ng'ombe alie kwenye tiba akae walau siku 14-28( kutegemea na dawa) ndipo achinjwe, ili kiruhusu dawa hiyo itoke nje ya mwili na kuepuka madhara kwa mtumiaji
Ndio maana hatutumii nusu kaputi kabla ya kuchinja wanyama hawa
Safi sanaNaona umedandia kitu ambacho hukifahamu! Ulishawahi kwenda kwenye machinjio yoyote ya kisasa? Kuna kitu kinaitwa stunning gun, hiki ni mfano wa pistol yenye bolt ambayo hufyatuliwa na Baruti lakini pia inaweza kuwa ya kufyatua na umeme. Bolt hiyi hutumia kumfanya mnyama awe unconscious, yaani anapoteza fahamu. Hapo ndipo huchinjwa pasipo maumivu yoyote! Na kuna sehemu ya kulenga hiyo bolt ili mnyama atakapopigwa azimie. Kitaalam tunaita Humane slaughter!!
Hatakiwi kupoteza fahamu that's the point, na kuchinja kawaida hapati maumivu kama kupiga risasi.Kama ni hivyo, apigwe risasi ya kichwa, then ile akipoteza fahamu tu, achinjwe papo hapo.., tafiti ziendelee, vyovyote iwavyo, si vyema kwa sisi viumbe tuliopewa ufahamu (intelligence) kuendelea kutesa viumbe wengine namna hii wakati tunaweza kufanya tafiti na kuwapa unafuu. Ila hiyo ‘Bolt stunning’ bado naamini ni nzuri, maana ubongo unachomwa na kitu chenye ncha kali, hivyo lazima apoteze fahamu
Stunning mnyama anakuwa unconscious..ila akichinjwa damu yote ina mwagika tembelea machinjio ya kisasa kama dodoma ama arusha uone inavyofanyika.Kwa sisi waisilamu na mayahudi Kuna kitu kinaitwa Dhabiha na Shechita hii ni njia ya kawaida ya kuchinja na kuacha damu imwagike.
Baadae Nchi za magharibi zikaanzisha hio njia ya kustun kwamba ili mnyama asipate maumivu anapigwa shoti Kisha anachinjwa.
Ila tafiti mbalimbali za kisayansi zilizofanywa ni kwamba mnyama anapata maivu makubwa akiwa stunned kuliko akichinjwa kawaida.
Utafiti huu umefanywa na Professor Wilhelm Schulze wa Chuo kikuu Cha Ujerumani, Na hata 2008 waziri wa Chakula wa Ufaransa kwenye report yake uchijani wa kawaida ilikuwa ni WA kibinadamu zaidi kuliko ku stun.
Utafiti mwengine wa Dr. Karuna Chaturvedi ulionesha Nyama ya kuchinja kawaida ni nzuri kuliko ya kustun ki afya sababu mnyama anapochinjwa kawaida bado moyo una pump damu, sababu pale anapochinjwa Pana mshipa mkubwa basi inamwagika damu nyingi hivyo damu inatoka na sumu sumu na micro organism wengine.
Pia utafiti wa Dr modi huko India Nyama ya kuchinja kawaida inakuwa ni soft na tamu zaidi, Ina PH chini ya 7 (wingi wa acid) sababu mnyama hapati shida sana anapokufa tofauti na ile ya kustun ambayo Ina acid ya kutosha.
Hivyo mkuu kama unataka kuishi Kwa afya mnyama akichinjwa kawaida ni vizuri zaidi kidini na kisayansi. Kama unataka magonjwa ya ajabu ajabu tafuta means za kumchinja mnyama bila damu kumwagika.
Unazijua aina za stunning ama unaongea tu..kasome kitu kinaitwa captive bolt..kuna kutumia gas stunning..electrical stunning n.kHatakiwi kupoteza fahamu that's the point, na kuchinja kawaida hapati maumivu kama kupiga risasi.
Mi naona hiyo bolt stunning yankumpotezea fahamu ni angalau, anakuwa hajui kinachoendeleaHatakiwi kupoteza fahamu that's the point, na kuchinja kawaida hapati maumivu kama kupiga risasi.
Safi sana, tunataka hoja kama hivi, sio hisia za mtuStunning mnyama anakuwa unconscious..ila akichinjwa damu yote ina mwagika tembelea machinjio ya kisasa kama dodoma ama arusha uone inavyofanyika.
Acha kupotosha watu..
Hiyo ya kusema anapata maumivu sana hujatolea ufafanuzi..ila kisayansi kiumbe kilicho nusu kaputi kinapataje maumivu?
Acha illusion zako za kidini hili ndio tatizo la wafia dini.
Sikatai ni mawazo yako ila in modern world mambo hayaendi kwa hisia bali kwa tafiti..na stunning ilifanyiwa tafiti hadi kuwa recommend way ya kumuua mnyama bila maumivu.
Na hii husaidia sana damu nyingi kutoka kwenye nyama ili kuogeza quality ya nyama.
Kasome articles mbalimbali zinaelezea hili kwa undani acha kuleta illusions.
#MaendeleoHayanaChama
Usipoua basi unakufa ww, haiwezekani species zote tukaishi bila kuuana, Nadhani system ya maisha hairuhusu hili. Lazima uue ili uishi na kuna siku utauwawa ili kiumbe kingine kiishi. Inawezekana hakuna kitu kinaitwa natural death bali kuna viumbe vingine ambavyo huvioni kwa macho ya kawaida vinauvamia mwili wako na kuua either kwa magonjwa, uzee n.k Hapo kaburini ww ni chakula kizuri sana kwa viumbe wengine. Hadi fuvu lako ni msosi.Kwanza hatupaswi kuwachinja. Sisi ni wauaji
EcologyWanyama wanateseka jamani fikiria simba anavyomla swala au pundamilia