Kwanini ng’ombe wasipigwe nusu kaputi kabla ya kuchinjwa?

Kwanini ng’ombe wasipigwe nusu kaputi kabla ya kuchinjwa?

Stunning mnyama anakuwa unconscious..ila akichinjwa damu yote ina mwagika tembelea machinjio ya kisasa kama dodoma ama arusha uone inavyofanyika.

Acha kupotosha watu..

Hiyo ya kusema anapata maumivu sana hujatolea ufafanuzi..ila kisayansi kiumbe kilicho nusu kaputi kinapataje maumivu?

Acha illusion zako za kidini hili ndio tatizo la wafia dini.
Sikatai ni mawazo yako ila in modern world mambo hayaendi kwa hisia bali kwa tafiti..na stunning ilifanyiwa tafiti hadi kuwa recommend way ya kumuua mnyama bila maumivu.

Na hii husaidia sana damu nyingi kutoka kwenye nyama ili kuogeza quality ya nyama.
Kasome articles mbalimbali zinaelezea hili kwa undani acha kuleta illusions.

#MaendeleoHayanaChama
Sasa Mimi nimeleta tafiti takriban 4 hapo juu ni mfia dini, wewe ulioandika blah blah bila tafiti hata moja unajiona upo sahihi?

Unaweza ukaleta utafiti wako tofauti na hizo tafiti za juu? Unaweza mpinga Professor Wilhelm Schulze wa University of Germany Kwa kuleta utafiti wako ukionesha njia ya Kustun mnyama hapati maumivu mengi?

Unaweza pingana na hao watafiti wengine kwamba Nyama ya kustun Ina PH chache na Ina mwaga damu yote?

Kama ni ndio tafiti zako zipo wapi?
 
Mi naona hiyo bolt stunning yankumpotezea fahamu ni angalau, anakuwa hajui kinachoendelea
Unaona ila huna utafiti wa kuthibitisha, Kuna watu wamekaa maabara miaka na miaka wame dedicate maisha Yao kufanyia tafiti hizo TU, wao Wana majibu mazuri kuliko sisi tunaokuwa driven na opinion kuliko uhalisia.
 
Unazijua aina za stunning ama unaongea tu..kasome kitu kinaitwa captive bolt..kuna kutumia gas stunning..electrical stunning n.k

Kajielimishe itakusaidia zaidi kuliko kuishi kwa hisia.

#MaendeleoHayanaChama
Wewe ambae umejielimishe dondosha nondo hapa tuone, kuchinja kawaida, kutumia umeme, gas na vyengine ulivyosema, ni kiasi Gani Cha maumivu mnyama anapata.
 
Wewe ambae umejielimishe dondosha nondo hapa tuone, kuchinja kawaida, kutumia umeme, gas na vyengine ulivyosema, ni kiasi Gani Cha maumivu mnyama anapata.
Mimi tokea juzi nimeacha kula nyama all together, nimewaza sana , aisee, siwezi kuendelea kuwa this barbaric. Huwezi amini, Nikiona nyama naona kinyaa kabisa, total disgust!
 
Mimi tokea juzi nimeacha kula nyama all together, nimewaza sana , aisee, siwezi kuendelea kuwa this barbaric. Huwezi amini, Nikiona nyama naona kinyaa kabisa, total disgust!
Na hii isiwe kwa nyama ng'ombe kama kweli una huruma na wanyama na ndege, ili uwale lazima uhai wao upotee, hivyo ikiwezekana hata samaki usile, mpaka uwapate wewe jua wamekatizwa uhai wao.
 
Na hii isiwe kwa nyama ng'ombe kama kweli una huruma na wanyama na ndege, ili uwale lazima uhai wao upotee, hivyo ikiwezekana hata samaki usile, mpaka uwapate wewe jua wamekatizwa uhai wao.
Nini samaki, walitaka kunipa dagaa kama mbadala, nikagoma pia..
 
Mimi tokea juzi nimeacha kula nyama all together, nimewaza sana , aisee, siwezi kuendelea kuwa this barbaric. Huwezi amini, Nikiona nyama naona kinyaa kabisa, total disgust!
Na hii isiwe kwa nyama ng'ombe kama kweli una huruma na wanyama na ndege, ili uwale lazima uhai wao upotee, hivyo ikiwezekana hata samaki usile, mpaka uwapate wewe jua wamekatizwa uhai wao.
Asiishie samaki tu hata mimea tunaiua. Kisayansi mmea ni kiumbe hai, Mchicha wa watu unaishi vizuri unaukatiza uhai wake na kuupika na kuula.
 
Asiishie samaki tu hata mimea tunaiua. Kisayansi mmea ni kiumbe hai, Mchicha wa watu unaishi vizuri unaukatiza uhai wake na kuupika na kuula.
Tunaongelea wanyama wenye advance neuro systems zenye kuhisi maumivu. Hapa nakula viazi vitamu na rosti la nyanya chungu , bamia na salad hatari sana, nashushia na chai maziwa na mayai ya kukaanga, ni hatari
 
Tunaongelea wanyama wenye advance neuro systems zenye kuhisi maumivu. Hapa nakula viazi vitamu na rosti la nyanya chungu , bamia na salad hatari sana, nashushia na chai maziwa na mayai ya kukaanga, ni hatari
Miaka michache iliopita hakukuwa na ushahidi wa mnyama kupata maumivu watu walikuwa wakiwachukulia kama viumbe hai wasiokuwa na akili.

Hio mimea
1. Inapiga kelele na Ina respond inapokatwa

2.tofauti n mnyama ambaye ameshakufa wakati unamla, mmea unaweza kuwa hai, hivyo unakuwa unakula kitu Hali ya kuwa kinajiona


3.tafiti mbalimbali zinaonesha mimea ina akili na Ina respond hadi Kwa muuaji, mfano Kuna utafiti unaoonyesha mmea unatambua mtu alieua mmea mwengine kati ya watu 6,
 
Human being is the most clue creature in the world. Ila kuna maombi, Sala/Dua kabla hujamchinja mnyama.
 
Back
Top Bottom