Kwanini ng’ombe wasipigwe nusu kaputi kabla ya kuchinjwa?

Msiwasahau kuku kwenye mjadala huu.
Wanachinjwa kwa wingi na kikatili. Angalau ng'ombe anaveshwa hadi hereni.
 
Mkimaliza hapo tutafte na anesthesia kwa ajili ya bikra za mabinti zetu
 
Hivi what if mtu ukifa unazaliwa tena kiumbe kingine, mfano unazaliwa ng’ombe? Incase ni hivyo, si ingependeza kama kabla ya kuchinjwa upigwe kwanza nusu kaputi, au nakosea?
Naona umedandia kitu ambacho hukifahamu! Ulishawahi kwenda kwenye machinjio yoyote ya kisasa? Kuna kitu kinaitwa stunning gun, hiki ni mfano wa pistol yenye bolt ambayo hufyatuliwa na Baruti lakini pia inaweza kuwa ya kufyatua na umeme. Bolt hiyi hutumia kumfanya mnyama awe unconscious, yaani anapoteza fahamu. Hapo ndipo huchinjwa pasipo maumivu yoyote! Na kuna sehemu ya kulenga hiyo bolt ili mnyama atakapopigwa azimie. Kitaalam tunaita Humane slaughter!!
 
Hili jamaa yetu halijui! Ndiyo shida ya mtu wa maendeleo ya jamii kutoa ushauri kwenye sekta za kitaalam!
 
Safi sana
 
Hatakiwi kupoteza fahamu that's the point, na kuchinja kawaida hapati maumivu kama kupiga risasi.
 
Stunning mnyama anakuwa unconscious..ila akichinjwa damu yote ina mwagika tembelea machinjio ya kisasa kama dodoma ama arusha uone inavyofanyika.

Acha kupotosha watu..

Hiyo ya kusema anapata maumivu sana hujatolea ufafanuzi..ila kisayansi kiumbe kilicho nusu kaputi kinapataje maumivu?

Acha illusion zako za kidini hili ndio tatizo la wafia dini.
Sikatai ni mawazo yako ila in modern world mambo hayaendi kwa hisia bali kwa tafiti..na stunning ilifanyiwa tafiti hadi kuwa recommend way ya kumuua mnyama bila maumivu.

Na hii husaidia sana damu nyingi kutoka kwenye nyama ili kuogeza quality ya nyama.
Kasome articles mbalimbali zinaelezea hili kwa undani acha kuleta illusions.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hatakiwi kupoteza fahamu that's the point, na kuchinja kawaida hapati maumivu kama kupiga risasi.
Unazijua aina za stunning ama unaongea tu..kasome kitu kinaitwa captive bolt..kuna kutumia gas stunning..electrical stunning n.k

Kajielimishe itakusaidia zaidi kuliko kuishi kwa hisia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mboresho kwenye uchivaji nadhani yavenze na walaji wakatae then iletwe stuming hiyo ilakuwa powa wana,yaani kuchimba kawaida ng'ombe ni ukavili kweli yani...that why mimi sipendi nyama kebisa
 
Safi sana, tunataka hoja kama hivi, sio hisia za mtu
 
Kwanza hatupaswi kuwachinja. Sisi ni wauaji
Usipoua basi unakufa ww, haiwezekani species zote tukaishi bila kuuana, Nadhani system ya maisha hairuhusu hili. Lazima uue ili uishi na kuna siku utauwawa ili kiumbe kingine kiishi. Inawezekana hakuna kitu kinaitwa natural death bali kuna viumbe vingine ambavyo huvioni kwa macho ya kawaida vinauvamia mwili wako na kuua either kwa magonjwa, uzee n.k Hapo kaburini ww ni chakula kizuri sana kwa viumbe wengine. Hadi fuvu lako ni msosi.

Mfano: Ukiachia mbali kuua ng'ombe Mwili wako kupitia seli zinazokuumba unaua seli, virus na bakteria kila wakati ili uendelee kuwa hai na ukiacha huo mchezo basi zenyewe zinakufa na zikifa ndo ww hivyo.

Huenda MUNGU aliumba pumzi akaipa makazi duniani na ikajigawanya katika vyanzo vya maumbile tofauti matrilioni yaliyopo humu duniani. Huenda pumzi ya uhai ni ile ile ila miili ndo tofauti na ikitoka kwenye umbile lako inaenda kwenye umbile jingine, huwezi kukumbuka sababu kumbukumbu ni sehemu ya mwili kupitia ubongo sio pumzi na ukifa ubongo nao unakufa. HUENDA LAKINI.
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…