Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani...
Nguruwe ni nguruwe na Ngombe ni ngombe; kwa nini unataka wanyama wawili wasiofanana wafanane?
Ni sawa na kuuliza kwa nini simba hali majani kama nyati eti tu kwa sababu wote wanaishi mbugani/porini
 
1. Ladha ya maziwa yake ni mbaya, wanasema eti yana maji mengi na mafuta mengi, na eti ni kwavile hali mimea peke yake.

2. Akiwa ananyonyesha anakuwa mkorofi sana

3. Ni mfupi, kwahiyo kumkamua ni kazi

4. Anatoa maziwa kidogo, itakuwa ngumu kuzalisha maziwa kwa wingi, ukizingatia anazaa watoto wengi tofauti na ngombe, mbuzi au kondoo

Chanzo: Reddit
 
1. Ladha ya maziwa yake ni mbaya, wanasema eti yana maji mengi na mafuta mengi, na eti ni kwavile hali mimea peke yake.

2. Akiwa ananyonyesha anakuwa mkorofi sana

3. Ni mfupi, kwahiyo kumkamua ni kazi

4. Anatoa maziwa kidogo, itakuwa ngumu kuzalisha maziwa kwa wingi, ukizingatia anazaa watoto wengi tofauti na ngombe, mbuzi au kondoo

Chanzo: Reddit
Sawa mkuu
 
1. Ladha ya maziwa yake ni mbaya, wanasema eti yana maji mengi na mafuta mengi, na eti ni kwavile hali mimea peke yake.

2. Akiwa ananyonyesha anakuwa mkorofi sana

3. Ni mfupi, kwahiyo kumkamua ni kazi

4. Anatoa maziwa kidogo, itakuwa ngumu kuzalisha maziwa kwa wingi, ukizingatia anazaa watoto wengi tofauti na ngombe, mbuzi au kondoo

Chanzo: Reddit
Haya ndiyo majibu
 
Back
Top Bottom