Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Mguruwe huzaa kulingana na idadi ya matiti yake!
Akiwa na matiti 12, atazaa watoto 12 na kila mtoto ananyonya titi lake, ng’ombe ana matiti manne ila anazaa mtoto mmoja, nadra sana kizaa watoto wawili so anakuwa na maziwa ya ziada ndio hukamuliwa! Nguruwe hawezi kuwa na maziwa ya ziada
Kamba
 

Attachments

  • 20230602_061515.jpg
    20230602_061515.jpg
    30 KB · Views: 3
Back
Top Bottom