Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kondoo maziwa yake yananyweka kama ya mbuzi.mbona kondoo haujauliza maziwa yake
Matam sana na pia ni dawa ya kifua.maziwa ya mbuzi je...?
kumbe nlkua sijui mkuuMatam sana na pia ni dawa ya kifua.
Hata kifua kikuu cha early stage unapona kwa maziwa ya mbuzi.
Mchafu ni mfugaji sio my wetu.😹😹😹 alivyo mchafu vile
Mbona kuna ng'ombe wa maziwa, kwanini watu wasifuge nguruwe wa maziwa.Mguruwe huzaa kulingana na idadi ya matiti yake!
Akiwa na matiti 12, atazaa watoto 12 na kila mtoto ananyonya titi lake, ng’ombe ana matiti manne ila anazaa mtoto mmoja, nadra sana kizaa watoto wawili so anakuwa na maziwa ya ziada ndio hukamuliwa! Nguruwe hawezi kuwa na maziwa ya ziada
Bora umeongezea na wewe mkuu.Mbona kuna ng'ombe wa maziwa, kwanini watu wasifuge nguruwe wa maziwa.
Anavyotisha vile? Kweli nyie majasiri 😹😹Mchafu ni mfugaji sio my wetu.
kuna kondoo wa maziwa.Maziwa ya kondoo?
Kuna kondoo wa maziwa ila hawapatikani hukuMaziwa ya kondoo? Pia hayo sijasikia.
Anazaa watoto wengi , ukikamua ,vitoto vitapata wapi maziwaNajua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
Nguruwe na maziwa tena duhhh!!
Kuku ni ndege Na nguruwe ni mnyama usijitoe akili broMwisho wa siku utauliza kwa nini kuku hatoi maziwa ila analiwa!
Hata Kondoo, Bata...Hawatoi Maziwa, na wanaliwa.Mwisho wa siku utauliza kwa nini kuku hatoi maziwa ila analiwa!