Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Dah! Umenikumbusha mbali sana. Enzi hizo za utoto tulikuwa tunakusanyika tunatengeneza mduara halafu mmoja anakaa katikati kuimbisha:
Nyama nyama nyamaaa,? nasi tuliozmzunguka tunaitika NYAMAAA.
Anaendelea lakini kwa haraka: Ya ng'ombeee?; tunaitika NYAMAAA
Ya mbuziiii? - tunaitika NYAMAAAA
Ya Fisiiii? - m;m;m hakuna anayeitika.
Ya kuku? - NYAMAAA
Ya mbwaaa? - a' m'm'
 
Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.

Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?

Mwenye majibu atujuze tafadhali.


View attachment 3044191
Maziwa ya nguruwe ni tiba nzuri sana dhidi ya nguvu zankishirikina lakini pia kupatikana kwake ndio mtihani kwa sababu mengi hutumiwa na watoto wake kunyonya hadi hayatoshi , kuyapata hadi nguruwe awe amezaa halafu watoto mtafute namna ya kuwa feed.

Na hata cheese za maziwa ya nguruwe ni miongoni mwa cheeze ghali kama ilivyo kwa maziwa ya farasi au punda
 
Basi tu, ni mazoea yetu! Majibu uliyopewa mengi yanaelezea hali halisi, NGURUWE anazaa watoto wengi ambao wanahitaji sana maziwa ya mama yao.

Hakuna maziwa ya ziada, muda wa kunyonya watoto wake wanyonye na wapate maziwa.

Lkn pia jamii yetu haijazoea kunywa maziwa ya nguruwe kama ilivyo ya kondoo/ Mbuzi/punda/ kwa nadra sna kondoo na mbuzi yananyweka.

Maziwa ya nguruwe kama utafanikiwa kuyakamua basi utakuwa umepata LISHE moja bora sana, kama ilivyo kwa baadhi ya makabila WABABA wanaonyonya .maziwa ya wake zao WANAONYONYESHA.
 
Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.

Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?

Mwenye majibu atujuze tafadhali.


View attachment 3044191
Nanukuu: "Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?"
Umeuliza maswali 3:-
1.Kwa nini nguruwe hakamuliwi maziwa kama ng'ombe?
Jibu: Hatuna sababu ya kumkamua kwani hatuna hitajio la maziwa yake.
2.Je, maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu?
Jibu: Athari chanya i.e. +ve effects unajipatia nutrients mwilini mwako na Afya yako itaimarika. Athari hasi i.e. -ve effects Hakuna.
3.Kwa nini nyama yake inaliwa? Nimejibu hapo Na.2 kwamba maziwa yake hayana Athari zozote -ve. Kwa hiyo nyama pia haina shida. Hata Serikali imeridhia uliwaji wake au ww hujaona mizoga(carcass)imegongwa mhuri wa Govt. Inspected carcass?
 
Nanukuu: "Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?"
Umeuliza maswali 3:-
1.Kwa nini nguruwe hakamuliwi maziwa kama ng'ombe?
Jibu: Hatuna sababu ya kumkamua kwani hatuna hitajio la maziwa yake.
2.Je, maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu?
Jibu: Athari chanya i.e. +ve effects unajipatia nutrients mwilini mwako na Afya yako itaimarika. Athari hasi i.e. -ve effects Hakuna.
3.Kwa nini nyama yake inaliwa? Nimejibu hapo Na.2 kwamba maziwa yake hayana Athari zozote -ve. Kwa hiyo nyama pia haina shida. Hata Serikali imeridhia uliwaji wake au ww hujaona mizoga(carcass)imegongwa mhuri wa Govt. Inspected carcass?
Nyama ya nguruwe inayo athari japo athari yake sio ya haraka.
Japo maziwa sijajua ngojea tufuatilie.
 
Nyama ya nguruwe inayo athari japo athari yake sio ya haraka.
Japo maziwa sijajua ngojea tufuatilie.
Nyama ya nguruwe haina athari yoyote ikipikwa na kuiva sawasawa. Sio kuchoma au kuroast. Ipikwe kwanza kwa kuchemshwa halafu ndipo utaratibu mwingine wa mapishi uendelee.
 
Nyama ya nguruwe haina athari yoyote ikipikwa na kuiva sawasawa. Sio kuchoma au kuroast. Ipikwe kwanza kwa kuchemshwa halafu ndipo utaratibu mwingine wa mapishi uendelee.
Ndivyo mnavyokariri na kujidanganya mkuu!?
 
Look at this dunderhead.
Usikute hata essay wewe ulikua unapata 2/20.
Jibu halijitoshelezi.
Hata ng'ombe wa kawaida hutoa maziwa hafifu.
Watu wakaja na mbinu ya kufuga ng'ombe wa maziwa tu ili atoe maziwa mengi.
Kwanini kwa nguruwe wasifanye hivyo!?
Akili fupi kama mkojo wa asubuhi.
We ndo mwenye akili fupi,kwa sababu tayari una sababu zako kwenye hilo fuvu lako
 
Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.

Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?

Mwenye majibu atujuze tafadhali.


View attachment 3044191
hujazuiwa, we nenda kamkamue tu uyachemshe unywe. au?
 
Kuna mtu atasema siri ambayo wazungu hawataki tujue ni maziwa ya nguruwe yanaongeza nguvu za kiume.
 
Back
Top Bottom