Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Wote hao wamechemsha mbele ya kitimoto nyie km mnakufa kufeni ila ndo nguruwe kashachukua tuzo kiulaiinii na hatuachi kumla km ni maziwa nayo tutakunywa na manyoya yake yatapata kazi,Kwanza waliotoa tuzo kuna nyama nyingi hawajagusa dadaangu na I bet ngamia nyama ya kwanza,maana nchi nyingi zinachukulia ngamia nyama ya kiislamu/kiarabu ๐๐๐๐๐๐๐.
Kuna nyama pori nyingi ni tamu sana kuliko nguruwe,jaribu kuzitafuta.
Kamle digidigi,pofu na mbogo maji halafu rejelea hapa mkuu.
saiv moyo wake unatumika kama mbadala kwa wenye matatizo ya moyo๐ ๐ ๐