Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Kwanini Nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe?

Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.

Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?

Mwenye majibu atujuze tafadhali.


View attachment 3044191
Ukimkamua utamaluza utamu wa nyama.
 
Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.

Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?

Mwenye majibu atujuze tafadhali.


View attachment 3044191
maziwa ya nguruwe yanatumika kama dawa ya kumwachisha mlevi sugu pombe!!
 
Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.

Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?

Mwenye majibu atujuze tafadhali.


View attachment 3044191
Tumtafute Mr Manguruwe atatujibu maana kijiji cha manguruwe wanakunywa mpaka supu ya nguruwe
 
Kwahiyo kila mnyama anayezaa na kunyonyesha, afu analiwa na binadamu bas akamuliwe maziwaa?
Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani mama wa wtt 10 au 12 unataka umkamue kweli??
 
Kwahiyo kila mnyama anayezaa na kunyonyesha, afu analiwa na binadamu bas akamuliwe maziwaa?
Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Take this: Bila kujali chanzo cha maziwa; maziwa YOTE ni chakula na mtu akitaka anaweza kuyala bila shida yoyote na hakuna madhara.
Sasa tukianza kuingiza humo mambo ya Imani, Mila, Desturi na Ubinafsi ndo hapo tunakuwa na kutengana - Ila maziwa yatabaki kuwa ni maziwa na ni chakula. Ni juu yako ww binafsi uamue kusuka au kunyoa.
 
unamimina kwenye chai,ukijifanya ni ya maziwa ya ng'ombe kwa yeye tu!!!! ila asijue,,,ili asistuke nanyi kunyweni chai ya maziwa ila ng"mbe
Aisee asante. Hii naiweka ktk. vitendo haraka sana. Inarudiwa-rudiwa au ni mara moja tu basi?
 
Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.

Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?

Mwenye majibu atujuze tafadhali.


View attachment 3044191
😄
 
Back
Top Bottom