EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kwasababu Allah kakataza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu. Hiyo ni scientifically proved. Hata kanuni za kiafya zinaafiki hilo pasi na shaka.Ndivyo mnavyokariri na kujidanganya mkuu!?
Hao ng’ombe wanatoa maziwa bila kuzaa?Mbona kuna ng'ombe wa maziwa, kwanini watu wasifuge nguruwe wa maziwa.
Ukimkamua utamaluza utamu wa nyama.Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
maziwa ya nguruwe yanatumika kama dawa ya kumwachisha mlevi sugu pombe!!Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
Tumtafute Mr Manguruwe atatujibu maana kijiji cha manguruwe wanakunywa mpaka supu ya nguruweNajua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
Yawezekana mwenzako yupo field anapiga researchhaya ndio yale Maswali yasio na kichwa wala miguu.
Waw! Ngoja nimpelekee mjomba wangu. Lakini unayatumiaje mkuu? Naomba unipe mwongozo bro.maziwa ya nguruwe yanatumika kama dawa ya kumwachisha mlevi sugu pombe!!
Na wengine tunajifunza mumo humo. Elimu haina mwisho.Yawezekana mwenzako yupo field anapiga research
unamimina kwenye chai,ukijifanya ni ya maziwa ya ng'ombe kwa yeye tu!!!! ila asijue,,,ili asistuke nanyi kunyweni chai ya maziwa ila ng"mbeWaw! Ngoja nimpelekee mjomba wangu. Lakini unayatumiaje mkuu? Naomba unipe mwongozo bro.
Take this: Bila kujali chanzo cha maziwa; maziwa YOTE ni chakula na mtu akitaka anaweza kuyala bila shida yoyote na hakuna madhara.Kwahiyo kila mnyama anayezaa na kunyonyesha, afu analiwa na binadamu bas akamuliwe maziwaa?
Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee asante. Hii naiweka ktk. vitendo haraka sana. Inarudiwa-rudiwa au ni mara moja tu basi?unamimina kwenye chai,ukijifanya ni ya maziwa ya ng'ombe kwa yeye tu!!!! ila asijue,,,ili asistuke nanyi kunyweni chai ya maziwa ila ng"mbe
Yes exactly; na lengo lako la kumfuga huyo mpendwa sio kumkamua maziwa au kuwauwa watoto wake kwa njaa na utapiamlo uliokithiri.Anazaa watoto wengi, ukikamua tena watoto wanakufa njaa.
😄Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
Nyama ya mbwa inaliwaPaka na mbwa wanaliwa nyama? soma vizuri bandiko mkuu
wee mzee,FUSO sio sawa na ISTAnazaa watoto wengi, ukikamua tena watoto wanakufa njaa.
Hoja yako ni nini?Hao ng’ombe wanatoa maziwa bila kuzaa?