Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #61
Sikatai kuhusu Hilo. But sijawahi ona hata Kwa bahati mbaya tu huko mnadani.Kabla hajafika mnadani kashafanyiwa booking kitaaambo! Tena wanafanya kwa siri mno wazee wa gaza
Ndo uhalisia mkuuMkuu huko unakoenda sio🐼
Usiogope mkuu nguruwe Hana shida kama wewe sio muuminiMi mtu anayetetea matumizi ya nguruwe huwa namuogopa sana aiseeee....
Mkuu wewe pia unafatilia tbc taifa sioUsiogope mkuu nguruwe Hana shida kama wewe sio muumini
Kwahiyo u special wake ndo unamfanya asiingie mnadani?Nguruwe ana heshima yake, ni kitoweo kitakatifu hakiwezi kuuzwa mnadani kama vitoweo visivyo na soko
Mzee unatukosea sana kufananisha pork tenderloin, pork chops na pork loin na vitu vya kawaida kama Kuku 😂😂😂Mkuu hii ndo naweza kukubaliana nawewe.Ukisema Luxurious meat wengine watakuambia hata kuku kwao ni luxurious!!
Kabisa mnadani?Iringa hapa viwanja vya chama vina mnada daily
Nguruwe ni Dhahabu au Almasi mchangani, bei ya Nguruwe mmoja mkubwa mwenye kilo za kutosha ni sawa na ng'ombe wawili lakini pia wana maeneo yao maalumu na minada yao maalumu wanapouzwa, kingine vurugu za nguruwe si unazijua utaweza kuchunga nguruwe au ushawahi ona nguruwe anachungwa km mbuzi? Nguruwe mtata mchunge akupige jinoNi kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Uzi ufungwe, umemaliza braza MshanaKizuri Chajiuza kibaya chajitembeza
Mkuu mi mwenyew hapo ndo mahala pake. Sikatai ubora wake na utamu alio nao kwamba ni WA kipekee sana😋😋Mzee unatukosea sana kufananisha pork tenderloin, pork chops na pork loin na vitu vya kawaida kama Kuku 😂😂😂
View attachment 3140209
Ushushie na wine kidogo 😍😍😍
View attachment 3140210
Nguruwe ni kiteweo cha wachawi hivyo minada yao ni ya kichawiJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Bata sisi tumeuza sana mnadani na masokoni mkuu.No jibu kama ilivyo kwa bata
Sio kweli. Huo ni mtazamo wako Mimi sio mchawi na ninakula vizuri tu.Nguruwe ni kiteweo cha wachawi hivyo minada yao ni ya kichawi
Nimeona mara kadhaa wakichungwa mkuu. Halafu swala la utata mbona linadhibitiwa tu Kwa kujengewa maeneo rafiki?Nguruwe ni Dhahabu au Almasi mchangani, bei ya Nguruwe mmoja mkubwa mwenye kilo za kutosha ni sawa na ng'ombe wawili lakini pia wana maeneo yao maalumu na minada yao maalumu wanapouzwa, kingine vurugu za nguruwe si unazijua utaweza kuchunga nguruwe au ushawahi ona nguruwe anachungwa km mbuzi? Nguruwe mtata mchunge akupige jino
Wanasema hivi mchawi hajijui!Sio kweli. Huo ni mtazamo wako Mimi sio mchawi na ninakula vizuri tu.
Vitu adimu na vyenye thamani havionekani kila mahali ,🤣🤣🤣Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Hapana Mimi mtandao wangu pendwa ni huku jf na x Kwa mbali Facebook tbc ni miaka zaidi ya8 Sina habar nayo japo Huwa nawaona huko mitandaoniMkuu wewe pia unafatilia tbc taifa sio