Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Yeye mwenyewe anajua hakuna anachofanya zaidi ya kuzunguka zunguka basiSiku zote kazi nzuri inajitangaza, Hayati JPM hayupo lakini kila siku anatangazwa, anatangazwa kwa sababu ya kazi zake ambazo ni alama. Huwezi mdanganya hata Mtanzania wa chini kabisa kumuhusu JPM.
Kwanini kwa Rais Samia inatumika nguvu kubwa sana kumtangaza ili aaminiwe?
Mbuzi wengine hawanakama wanazurura tu huku na kule[emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2569962
Hakuna wakati katika nchi hii nguvu kubwa ilitumika kumtangaza JPM kuwa anafanya mazuri kwa nchi kama awamu ya tano. Kumbe ilikuwa ni kinyume chake. Sasa mama naye anavurunda na nguvu kubwa imeanza kutumika kumpamba. Wapinzani kaeni chanjo.Siku zote kazi nzuri inajitangaza, Hayati JPM hayupo lakini kila siku anatangazwa, anatangazwa kwa sababu ya kazi zake ambazo ni alama. Huwezi mdanganya hata Mtanzania wa chini kabisa kumuhusu JPM.
Kwanini kwa Rais Samia inatumika nguvu kubwa sana kumtangaza ili aaminiwe?
Inaonekana we mfuatiliaji mzuri wa utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu hakuna nguvu kubwa inayotumika lakini kinachotokea ni kwamba Mama anafanya sana yani kila siku tunapata updat ya kitu kipya alichokifanya ndani ya miaka miwili amefanya kazi kubwa ambazo zilitakiwa kufanywa kwa miaka 4 au 5 lakini yeye amefanya ndani ya miaka 2 Watanzania tumshukuru sana Mungu ametupa kiongozi MchapakaziSiku zote kazi nzuri inajitangaza, Hayati JPM hayupo lakini kila siku anatangazwa, anatangazwa kwa sababu ya kazi zake ambazo ni alama. Huwezi mdanganya hata Mtanzania wa chini kabisa kumuhusu JPM.
Kwanini kwa Rais Samia inatumika nguvu kubwa sana kumtangaza ili aaminiwe?
Nashukuru jana timu yetu ya taifa imefungwa maana nalenyewe lingeandikiwa bango barabarani, Sasahivi hivi Barabara ya Bagamoyo kutoka Mwenge hadi tegeta kumejaa mabango ya kusifu Samia utafikiri niwakati wa kampeini,sijajua 2025 itakuwaje,akuna haja ya mabango wananchi tuna macho tunaona,akuna haja ya kuharibu fedha ya Serikali kulipia mabango wakati Sisi wananchi tunayo macho.Siku zote kazi nzuri inajitangaza, Hayati JPM hayupo lakini kila siku anatangazwa, anatangazwa kwa sababu ya kazi zake ambazo ni alama. Huwezi mdanganya hata Mtanzania wa chini kabisa kumuhusu JPM.
Kwanini kwa Rais Samia inatumika nguvu kubwa sana kumtangaza ili aaminiwe?
Ripoti ya CAG umeiona?Hakuna nguvu yoyote inayotumika, ni ukweli bayana kuwa mama Samia anafanya vizuri.
Kwani kaiba rais Samia??Ripoti ya CAG umeiona?
Na ni kwanini unatumia nguvu kubwa sana kuonesha kuwa hafanyi vizuri? Jibu swali hili kwanza.Siku zote kazi nzuri inajitangaza, Hayati JPM hayupo lakini kila siku anatangazwa, anatangazwa kwa sababu ya kazi zake ambazo ni alama. Huwezi mdanganya hata Mtanzania wa chini kabisa kumuhusu JPM.
Kwanini kwa Rais Samia inatumika nguvu kubwa sana kumtangaza ili aaminiwe?
Si kiongozi mzuri,ripoti ya CAG imeonyesha,ndio maana nguvu kubwa inatumika.Chema chajiuza,kibaya chajitangaza.Siku zote kazi nzuri inajitangaza, Hayati JPM hayupo lakini kila siku anatangazwa, anatangazwa kwa sababu ya kazi zake ambazo ni alama. Huwezi mdanganya hata Mtanzania wa chini kabisa kumuhusu JPM.
Kwanini kwa Rais Samia inatumika nguvu kubwa sana kumtangaza ili aaminiwe?