Kwanini ni lazima nioe Mwanamke wa Kaskazini?

check me at your own time,
on a private message of mine,

🍁....... kush master......🍁
 
Kua umeoa mkuu maana umekinzana na ulichokiandika pale juu, evidence must be supportive & available in order to remove any kind of misunderstanding

Duuh! Hapa sio Mahakamani Mkuu.

Nilichoandika ni swali ambalo nimelijibu, kifasihi na kifalsafa. Fasihi haihitaji uthibitisho, sio sayansi Bali Sanaa. Sayansi ndio inahitaji uthibitisho. Kwa habari za falsafa tuache
 
Yes ni kweli Ila si umesikia idadi ya vijana wanaotaka wachangiwe mahari ili waoe imefika 1000, habari hio si unayo mkuu ?

Vijana hawakutaka kuchangia Ila Mtoa misaada ndiye aliyetaka kutoa sadaka ya msaada wa Mahari Kwa wanaohitaji kuoa.
Hvyo walituma maombi Kutokana na tangazo.

Mahari za kiislam sio tatizo kwao, maana sio biashara. Tofauti na Wakristo au kimila
 
Mkuu hapa unaongelea toleo lipi?
Maana hii generation ya mwisho haina sifa tajwa hapo juu.
 

Eka mbe
 
Bora nikumbatie transfoma nikiwa nimeloa maji,kuliko kuoa demu ya R
 
Nilichoelewa na ambacho nakubaliana na mtoamada ni kwamba unavotafuta mwenzawako wa kudumu maishani hakikisha LAZIMA unakuwa na VIGEZO vyako.

Sio kwa sababu umri umefika basi wewe unazoa tu yoyote anayejitokeza hapo mbeleni. Na hapa ndo wengi tunapofeli. Kumbuka huyu ndo msaidizi wako mkuu kwaiyo lazma awe ni mtu unafahamu atasaidia kusukuma ndoto zako kwenda mbele.
 
Weuweeee kula chuma hicho[emoji1]we oa tu kwan hakuna mtu anakufanyia maamuzi
 
True, wanawake wengi wa kaskazini si malaya ila wanaliwa sana haswa wake za watu kutokana na wanaume wao kuwa bize kuiba, kuroga, na kutafuta hela kwa njia yeyote ile huku wakiwasusa wake zao majumbani. Siwezi oa mwanamke wa Kaskazini hata iweje, I never trust them. Kama hawakutilii dawa kwenye chakula uwe zwazwa basi watakuua tu ili warithi mali zako na kutajirisha kaka zao na ukoo.
 
Sisi tunayakimbia matatizo watu wengine wanayakimbilia...all in all endelea na process utakipata unachokitafuta
 
Mwamba ngoma huvutia kwake najua umekuja kuwatetea dada zako mana wameshambuliwa mno, sasa mtu pesa ninayo nimeamua kuoa nipate amani yamoyo nawanangu tena mke anipande kichwan badala yakunikatia kiuno
 
Kutajirisha koo zao. Ila wanasema haya mambo yalikuwaga zamani,siku hizi hayapo. Yanakuzwa sana haya mambo
 
Yote kwa yote!
Wanaume WEAK hawapendi
Kuoa ladies ambao wana challenge, wanahoji, wanaleta arguments na mawazo mbadala!

Sema kila mtu ashinde mechi zake!
Kwa tafsiri yako challenge maana yake ni kukosa adabu, kuhoji maana yake ni kukosa lugha nzuri ya kuwasiliana na mwanaume, hapo kwenye argument upo sahihi kabisa kwasababu mwanamke mwenye kujitambua huwa hafanyi arguments na mwanaume wake wanafanya discussions.
 
Sasa mbona anakuwa ananitafuta tena mara kwa mara na kunisihi nisikae kimya nisimpotezee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…