Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Anasema ameoa labda ataongeza mwingine ndoa za bomani wanaruhusiwa hata 100 mradi uwe na mtaji wa Ng'ombe za kutoshaIla kwenye post Fulani uliwahi kuniambia kuwa umeoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema ameoa labda ataongeza mwingine ndoa za bomani wanaruhusiwa hata 100 mradi uwe na mtaji wa Ng'ombe za kutoshaIla kwenye post Fulani uliwahi kuniambia kuwa umeoa
Umetoa kitu Cha wapi leo Maputo au Kapilimposhi ?nothing else to contribute in this thread.
Just sit in back stage have some nice weed, 🚬🚬. listen to amapiano 🎵
.......Kush master......
Sawa mkuu hongera sana kwa kuoa maana team kataa ndoa nimeona km walikua wanataka wakuandalie kadi ya uanachama,Nimeoa Mkuu.
Mkuu tiririka wamekufanya nini wameru au ulikutana na mmeru aliechanganyikana na mmachame ?Wanawake wa kaskazini? Bora ninyamaze tu. Hasa Wameru.
Nimekaa kwenye mahusiano na Mwanamke wa Kimeru kwa Mda wa Miaka mi tano. Ila Itoshe tu kusema nilijifunza mengi, na sitokuja kurudia kua na Mwanamke wa huko hata aweje.
Ila kwenye post Fulani uliwahi kuniambia kuwa umeoa
Sawa mkuu hongera sana kwa kuoa maana team kataa ndoa nimeona km walikua wanataka wakuandalie kadi ya uanachama,
Kumbe ni haki yao kukataa ndoa ?Kadi ya KATAA NDOA wapewe Vijana under 30, ni Haki Yao
Onyesha chetiNimeoa kweli Mkuu.
Kumbe ni haki yao kukataa ndoa ?
Onyesha cheti
Chuo wanamaliza wana miaka 20 wajipange mara ngapi ?Kwa umri huo hapa nchini Vijana wengi hawajajipanga Mkuu. Ni Haki yao
Chuo wanamaliza wana miaka 20 wajipange mara ngapi ?
Sawa sawa, mabepari wanaoa kimkakati.Uko sahihi sana, kwetu sisi capitalist hawa ndiyo wanawake tunaowaoa. Ngoja wandengereko waje na mitazamo yao
Some where in a spice island 🌴 in Tanzania.Umetoa kitu Cha wapi leo Maputo au Kapilimposhi ?
Yes ni kweli Ila si umesikia idadi ya vijana wanaotaka wachangiwe mahari ili waoe imefika 1000, habari hio si unayo mkuu ?Kuoa sio mchezo hasa Kwa MTU mwenye malengo.
Pemba au Unguja au kitu Cha Mafia ?Some where in a spice island 🌴 in Tanzania.
......kush master.....
Kua umeoa mkuu maana umekinzana na ulichokiandika pale juu, evidence must be supportive & available in order to remove any kind of misunderstandingKuthibitisha nini Mkuu
unguja, 🤭Pemba au Unguja au kitu Cha Mafia ?
Weeese haya mkuu we kula Mali ya Mungu hio hainaga kwikwo,unguja, 🤭
🍁 ...... kush master..... 🍁
Majani ya uzima....Weeese haya mkuu we kula Mali ya Mungu hio hainaga kwikwo,